Prof. Samuel Manyele wa Tume ya vinyesi vya Ng'ombe Mto Mara

Ile disaster inakulikana chanjo

Kuna report ya jamaa wa Great Lake initiative na po kuna several online reports hata kwenye East African newspapers zimewahi kugusia hizi issues

Prof ana issue huyo
 
Ile disaster inakulikana chanjo

Kuna report ya jamaa wa Great Lake initiative na po kuna several online reports hata kwenye East African newspapers zimewahi kugusia hizi issues

Prof ana issue huyo

Naona habari zaidi hapa:

 
Niko wazi mkuu huyu jamaa yumkini si reja reja.

Alikuwa Mkemia Mkuu wa Serikali huyu mwamba?

Yumkini hawezi kuwa reja reja.
Usizoee kuwa wazi mkuu kwani sio kitu kizuri.
 
Usizoee kuwa wazi mkuu kwani sio kitu kizuri.

Tafsiri yako ya kuwa wazi isiyokuwa universal haina maana yoyote nje yako wewe mwenyewe.

Huo si ndiyo ustaarabu mjomba?

Au kuna mahali nimekugusa?

Pole lakini Mh. Waziri.
 
Huyu Prof,nadhani ndiye huwa akifika kwao,anafikia loji hadi anasepa,kule Msanzi,Sumbawanga,au nimechanganya?

Kama niyeye,sijui anatumiaga theory ipi kufanya hivyo,anyway.

tumeipokea ripoti kwa hisia tofautitofauti.
 
Hapa itabid Professor aelezee pia kama kinyesi cha ng'ombe kina sumu ,ni kwa jinsi gani Nyama ya Ng'ombe wenye Kinyesi hicho ni salama kula?
 
Hapa itabid Professor aelezee pia kama kinyesi cha ng'ombe kina sumu ,ni kwa jinsi gani Nyama ya Ng'ombe wenye Kinyesi hicho ni salama kula?

Ila mwenyewe kasema nje ya ng'ombe vinyesi vimeshambuliwa na bacteria kutengeneza gas ya Methane.

Process hiyo ikala Oxygen iliyokuwa kwenye maji.

Samaki hawajafa kwa sumu ila kwa kukosa hewa ya Oxygen kwenye maji.

Umeona hoja yako inaposambaratika kwa mujibu wa madai yake?
 
Nakuelewa mkuu lkn kumbuka lupia inatabia ya kuvunja sheria na kununua haki.
 
Wewe mtu unaelekea kuwa bwege. Hizo publication ndo CV ya Tanzania?

Huyu mtu ni wa hovyo kabisa!

Amewahi kufanya nini ktk hiyo nyanja ya uchafuzi wa mazingira hadi atueleze mavi ya ng'ombe kuwa sumu ya samaki?

Mshenz huyu! Naona anawinda kurudishiwa nafasi ya mkemia mkuu wa serikali ambayo aliitumia vibaya.
 
Tangu waziri aliyemteua na yeye mwenyewe na timu yake wote hovyo!

Naona kama ni wewe Mnyere unajiita brazaj.

Sijui kwa nini unaleta publication ka akigezo cha ubobezi ameandika vitu gani bhana?

wewe vipi bado una ujinga wa primary mbona?
 

Bwege mbona ni wewe mjomba?

Hata kusoma hata unelewa wewe kweli au ni ile ile ya kujishasha kikwetu Missenyi, buana?



Wapi unaposoma CV?

Wapi unaposoma sumu?

Kwamba kafanya nini? Kwani wewe umefanya nini hata kujipa mwenyewe ujasiri wa kuhoji hayo kwa wengine?

Busara kujikita kwenye mada kuliko kujishasha ati kuwa wewe ndiye kinara.

Bure kabisa!
 
Mimi ni Mkulima wa parachichi hapa Njombe.

Usileta mambo ya mitandaoni ambayo kila mtu anajiandika.

Kwani Lipumba siyo profesa mbombezi?

Naomba nami nikufahamu wewe ni nani?

Maana hapa sasa unaanza kuleta mambo ya walimu wa vyuo vikuu wanapofundisha mwaka wa kwanza.

Be careful! Tupo graduates tuko mikoani tunalima na tunafahamu mbombezi ni nani na feki ni nani!
 
Tangu waziri aliyemteua na yeye mwenyewe na timu yake wote hovyo! Naona kama ni wewe Mnyere unajiita brazaj. Sijui kwa nini unaleta publication ka akigezo cha ubobezi ameandika vitu gani bhana? wewe vipi bado una ujinga wa primary mbona?

Kwamba unaona Mnyere ni miye 😂😂, kuna hata haja ya kukujibu wewe?

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…