Prof. Samuel Manyele wa Tume ya vinyesi vya Ng'ombe Mto Mara

Kwamba unaona Mnyere ni miye πŸ˜‚πŸ˜‚, kuna hata haja ya kukujibu wewe?

View attachment 2158426
Baada ya mneseji hizi chache, nimeshaelewa uko kiwango gani.

Kwa kuthibitisha hilo hebu tujadili vigezo unavyotumia kulazimisha kwamba huyu profesa ni mbombezi.

What exactly, do you think, is the indicator of his intellect?
 
Labda haya Maji ya Mto Mara yapelekwe kwenye mashamba kwa kuwa yana nguvu na ya bure mara 25!?
 

Kwamba nisilete mambo ya mitandaoni ambayo kila mtu anajiandikia πŸ˜‚πŸ˜‚?

Kulikoni kunikasirikia hivyo? Kwa sababu nilichukua wakati kumkagua huyu bwana nikapata background yake?

Au ulitaka nikukague wewe? Kwa sababu ya hicho ki avatar uchwara chako unadhani labda wewe ni mali sana?

Jikite kwenye mto Mara mjomba huko ndiko mada iliko.

Hiiiiii bagosha!
 
Baada ya mneseji hizi chache, nimeshaelewa uko kiwango gani. Kwa kuthibitisha hilo hebu tujadili vigezo unavyotumia kulazimisha kwamba huyu profesa ni mbombezi. What exactly, do you think, is the indicator of his intellect?
Hujamuelewa huyo jamaa
 
Who are you to say ulimkagua?

Can we trust your personal assessment as a yardstick of someones quality?

Don't mislead JF's good analytical minds based on your non-seriousness behaviour!
 
Baada ya mneseji hizi chache, nimeshaelewa uko kiwango gani. Kwa kuthibitisha hilo hebu tujadili vigezo unavyotumia kulazimisha kwamba huyu profesa ni mbombezi. What exactly, do you think, is the indicator of his intellect?

Kwamba mbobezi ni wewe basi ndugu πŸ˜‚πŸ˜‚?

Usitake ncheke.

Credentials zake huyu zinasema ni mbobezi. Tunatambua pia kuwa kwa kuwa aliwahi kuwa Mkemia Mkuu wa Serikali, hakukosa:

1. Ujuzi kamili uliohitajika kwa kazi hii
2. Human resource yote aliyohitaji ya kusaidiana naye
3. Vifaa vyovyote alivyohitaji

Unaelewa sababu ya background check sasa?

Ripoti ya Vinyesi vya Ng'ombe mto Mara haishawishi

Zaidi sana tuko huko pia.

Kujimwambafy tabia zenu bakini nazo. Sisi yetu ni kuchambua mambo.

Si zaidi wala si pungufu.

Habari ndiyo hiyo.
 
Still writing illogical!
 
Who are you to say ulimkagua? Can we trust your personal assessment as a yardstick of someones quality? Don't mislead JF's good analytical minds based on your non-seriousness behaviour!

Kiingereza?

You are very ignorant Mr. Muchunguzi. At my own liberty I am free to write anything of my liking.

Kwani wewe ni JF mjomba? Au hata policies zake nazo huzijui?

Am I here seeking to be trusted? Labda kama wewe ni Kerubi? Huko si ndiko waumini mnakotakiwa ati?

Personal assessment? Where do you read any?

Bure kabisa!
 
Akawadanganye wanasiasa...Wana science tunaongozwa na moral pamoja na ethics
 
Watu wanazo citations mpaka 2000 lakini wengine bado wana walakini....Uki publish na mtu mwenye sifa duniani hizo citation ni kama tu kuona wasanii wanapata likes ngapi...Msiwe obsessed na mambo ambayo yana subjectivity
 
Still writing illogical!

Mr. Muchunguzi buana you seem to had aimed where you could not reach. It is not uncommon.

Pole sana.

Kwetu akibobea mtu tunampongeza. Hatuwezi kubobea wote.

Habari ndiyo hiyo.
 
Kisha Prof. Akawarusha kwenye wetlands kwa ndege ambako anajua huko lazima atawaokota wasiojua science...

Wetlands are like kidneys ndiko kwenye concentrations za polutionas xozote zinazoletwa na flows ili zichujwe actually ndipo sehemu ambapo sumu zote zinakuwa detoxicated...

Ukiona imezidiwa ujue basi mgonjwa kalishwa sumu na mafigo yameharibika...

We kuonyesha picha za ng'ombe wale kisha ku associate na kinyesi hiyo ni science made in TZ
 
Kwanza kuna wataalamu wa bonde, kwanini iundwe tume wakati kuna chombo chakushughulikia hayo mambo na inafanya management ya mabonde yote including kuangalia issues kama hizo?
 
Hili ni la msingi sana...Watu wakikosa trust na science itakuwa kama era ya COVID19 tena
 
Hili ni la msingi sana...Watu wakikosa trust na science itakuwa kama era ya COVID19 tena

Hata SUA na taasisi za mifugo kuendelea kufumba macho, mbona ni kujichimbia makaburi wenyewe?

Fikiria 25kg ya kinyesi cha ng'ombe kwa siku, kikoje?

Inatia huzuni sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…