Prof Shivji: Nini kifanyike ili kujitoa kwenye mkataba wa DP-World?

Naapa, ningelishangaa sana kama nisingelikuta jina la huyo jamaa munayemfitini miaka na miaka
kikwete ni jizi, fisadi, dalali wa rasilimali zetu, mtu asiefaa kwa lolote!

alianza akiwa waziri wa madini
 
Sijui haws watu watu walikua wanafikiri nini maana wamefanya jambo la kijinga na ovu sana kwa uhai wa nchi halafu jambo baya zaidi hawataki kuachana nalo wanaendelea tu kudanganya wananchi.
Kaka unaijua ndoano au mshale? Waulize wavuvi na wawindaji
 

Unayoyasema yangewezekana tu kama wanaoteuliwa kuyaongoza hayo mashirika wangekuwa wanachaguliwa kitaalam, kwa kushindanishwa waziwazi mbele ya umma, (public vetting). Hapo wangeweza kupewa key performance indicators ambazo zingetokana na annual plan inayoonyesha nini wanatakiwa ku-achieve. Sasa viongozi wa sekta muhimu kama hizo wanachaguliwa kwa kufuata utashi wa kisiasa na undugu, KPI zitakuwa zimetundikwa wapi?
 
Wapige haraka kura ya kutokua na imani nae, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
hukumpata sawasawa, kwa utaratibu ni Raisi anayeweza kuiivunja Bunge, na si kinyume chake!
 
Tumeonekana kituko na Moja ya Taifa la hovyo kabisa kama si wendawazimu!!!

Wabunge Wanapitisha kitu cha hovyo kabisa namna hii hata pasipo-kujadiliwa Kifungu KWA Kifungu!?

Kifungu cha 23 ni mwendawazimu pekee Anaweza kukikubali👇👇👇
 

Attachments

  • Screenshot_20230621-201509.png
    39.5 KB · Views: 2
  • Screenshot_20230621-201611.png
    37.2 KB · Views: 1
  • Screenshot_20230621-201742.png
    37.1 KB · Views: 1
Maneno meeengi mkiambiwa muandamane hamtaki
 
Tujitoe tu kutoka kwenye mkataba huu HARAMU!! Ni bora tuwe na mgogoro kama walivyo Djibouti dhidi ya DP WORLD. Tukapambane Mahakamani
Ujitoe na Nani we boya. Wananchi kupitia Bunge tumeridhia kila sentensi kwenye mkataba. Asanteni Waheshimiwa Wabunge Kwa umoja wenu
 
Tukitoe twende wapi ?!!!

Hivi Dr.Slaa aliihoji TICTS ilipanza kazi zake miaka 22 iliyopita?!!!

Vipi kuhusu Swiss Port pale uwanja wa ndege?!!!

Tatizo wamejaa maneno maneno tu ambayo huwa hayaivishi mboga jikoni.....

#SiempreJMT[emoji120]
 
Wakimaliza kuchukua Bahari na maziwa tuwauzie na Mito na chemi chemi zote wawekeze.

Maana wao ni wataalam wa kuwekeza sana
Ya ndotoni mwako...

Katika huu mkataba na DPW hakun a kumilikishwa ARDHI......

#SiempreJMT[emoji120]
 
Tujitoe tu kutoka kwenye mkataba huu HARAMU!! Ni bora tuwe na mgogoro kama walivyo Djibouti dhidi ya DP WORLD. Tukapambane Mahakamani
Hakuna kurudi nyuma....

Tungeanza kujitoa katika mkataba na ACACIA......

#SiempreJMT[emoji120]
 
Tukitoe twende wapi ?!!!

Hivi Dr.Slaa aliihoji TICTS ilipanza kazi zake miaka 22 iliyopita?!!!

Vipi kuhusu Swiss Port pale uwanja wa ndege?!!!

Tatizo wamejaa maneno maneno tu ambayo huwa hayaivishi mboga jikoni.....

#SiempreJMT[emoji120]
Point. Hakuna kujitoa mpaka mwisho
 
Yaani unawaita washauri wa Rais kuwa ni chawa ?!!![emoji15][emoji15][emoji1787]

Umevuka mipaka.....

#SiempreJMT[emoji120]
 
Tutakuwa kitovu cha madawa ya kulevya, kwasababu yataingia bila ya sisi kuwa na uwezo wa kuzuia.
Madawa ya kulevya yanaongozwa kuingizwa marekani kila uchao pamoja na kuwa na DEA na vyombo lukuki.....

Unatuletea "illusions" zako hapa ?!!!

Kwani mkataba na TICTS uliyaongeza madawa ya kulevya nchini ?!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…