POSHO ZA WIZARA YA FEDHA MWEZI MARCH,APRIL NA MEI.

Tarehe 31/03/2021 Shilingi 251,000,000/= (kazi maalum)

Siku hiyo hiyo tena tarehe 31/03/2021 Shilingi 198,000,000/=

-Mwezi April ilikuwa balaa.

Tarehe 08/04/2021 Shilingi 44,500,000/=

Tarehe 13/04/2021 Shilingi 155,295,000/=

-Tarehe 30 April nayo ilikuwa balaa

Tarehe 30/04/2021 Shilingi 43,900,000/= (kuandaa mpango wa kuhifadhi mazingira)

Tarehe 30/04/2021 Shilingi 14,400,000/=
(siku ya wanawake)

Tarehe 30/04/2021 Shilingi 43,000,000/=

Mei mosi siku ambayo sio ya kazi.

Tarehe 01/05/2021 Mei Mosi asubuhi Shilingi 184,100,000/=

Tarehe 01/05/2021 Mei Mosi Mchana Shilingi 264,000,000/=

Tarehe 03/05/2021 Shilingi 146,500,000/=
(Kuandika mpango Kazi wa manunuzi watu 125 [emoji3])

Siku hiyo hiyo tena Shilingi 171,200,000/=(kuandaa nyaraka za bunge)

#WeMissYouJPM.
#Tunakukumbuka JPM.
 
Mwendazake alitaka kulifanya Chato kuwa jiji...bila kufuata misingi na taratibu....Mungu akampa sub dakika ya 52.
 
Nani aende kujenga kiwanda chato mna akili Nyie kweli ?
 
Wakuu, naomba mnijuze. Hivi Chato inalingana na miji kama ya Bagamoyo, Manyoni, Kilosa , Kongwa au Itigi? Tukumbuke miji hii ilikuwa maarufu tokea ukoloni!!!!!!
 
Mimi huyo Prof aliposhindwa kuongoza Wizara ya Ardhi wakati wa JK nikamuondoa kwenye orodha ya Maprof. Pia alipopokea mgao wa pesa toka kwa Rugemalira sina imani naye tena!
 
sawasawa jiwe,naona umeamua kufufuka
Huyu naye atulie ale mafao naona anawashwa washwa..sisi tumeamua chato iwe mkoa yeye kina muuma nini?kwanza ni moja ya mafisadi papa wa nchi hii..asifanye tukubuke aliyoyafanya.

#MaendeleoHayanaChama
 
Kwa uelewa wangu Chato haina vigezo. Tusidanganyane.
Kama kweli JF ni Jukwaa lenye hadhi tunayoitegemea, ningefurahi na kushukuru kupata 'a counter argument', juu ya mawazo haya yaliyowekwa hapa.

Hii ni nafasi nzuri sana ya namna ya kujadili na kubadilishana ,awazo kwenye jambo muhimu sana kama hili.
 
Ingekua vizuri kama angeandika haya enzi za mwendazake

By the way, hivi zile hela za mbogamboga alirudisha?
 
Mimi huyo Prof aliposhindwa kuongoza Wizara ya Ardhi wakati wa JK nikamuondoa kwenye orodha ya Maprof. Pia alipopokea mgao wa pesa toka kwa Rugemalira sina imani naye tena!
Ni kipi usichokubaliana nacho katika mchango wake, hilo ndilo la maana kuliko kumzungumzia yeye kama yeye.
 
Aliyekuwa mbunge wa Mukeba huko Kagera Prof Anna Tibaijuka amesema Chato haina hadhi ya kuwa mkoa zaidi ya kuwa ni wazo la ubinafsi uliopitiliza.

Tibaijuka amesema kuanzisha mkoa wa Chato ni matumizi mabaya ya fedha za walipa kodi.

Kazi Iendelee!
 
Waugawe mkoa wa Geita ili kukifanya kijiji cha Chato kiwe mkoa, daah jaman eeeeh kuna mikoa ni mikubwa Kama Morogoro na Tabora lakin hawaon umuhimu wa kuigawa, wao wanakazania kuigawa Geita
 
Ni kipi usichokubaliana nacho katika mchango wake, hilo ndilo la maana kuliko kumzungumzia yeye kama yeye.
Mkoa hauanzishwi kwa kufuata vigezo alivyovitoa bali ni idadi ya wakazi, eneo na rasilimari. Watu wanawaza mji wa Chato tu badala ya kuunganisha eneo zima yaani kuanzia Kankonko hadi Karagwe ukijumuisha na hiyo Chato na pori la Burigi
 
Mkoa hauanzishwi kwa kufuata vigezo alivyovitoa bali ni idadi ya wakazi, eneo na rasilimari. Watu wanawaza mji wa Chato tu badala ya kuunganisha eneo zima yaani kuanzia Kankonko hadi Karagwe ukijumuisha na hiyo Chato na pori la Burigi
SAWA.

Mawazo kama haya ndio jibu sahihi kwa hoja zake, na siyo kumshambulia yeye kama ulivyofanya hapo mwanzo.

Binafsi, mimi bado nasimama na hoja zake kuhusu sifa za Chato kufanywa kuwa mkoa.
 
RFA huwa wana kipindi cha busara za mlevi. Tumefikia kiwango cha kuhitaji busara za Tibaijuka kweli? Yaani bado ana akili ya kujua vigezo? taifa gani hili sasa!
 
Mkoa hauanzishwi kwa kufuata vigezo alivyovitoa bali ni idadi ya wakazi, eneo na rasilimari. Watu wanawaza mji wa Chato tu badala ya kuunganisha eneo zima yaani kuanzia Kankonko hadi Karagwe ukijumuisha na hiyo Chato na pori la Burigi
Jamani sisi wa kakonko hatutaki jamani mbona mnatutenganisha na kigoma yetu sisi sio km wale wanyama waliotolewa Serengeti kupelekwa buligi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…