Capital G
JF-Expert Member
- Jul 2, 2017
- 3,445
- 5,336
Dah hizi pesa hata zingeelekezwa kwenye ajira tu au madawati, tuboreshe mahospital n.k
Sent from my SM-J730F using JamiiForums mobile app
Sent from my SM-J730F using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbowe anawalazimisha wabunge kuchangia sehemu ya mishara yao umehoji!Mkoa wa geita hawana mamlaka ya kumlazimisha mkuu wa nchi atumie fedha za umma kwenye mambo yasiyo na tija kwa umma.
Chato haina sifa ya kuwa mkoa maana chato ni kiwilaya sawa na kibondo au ukerewe
Kama walivyogoma kujenga ufipa!Hakuna kiongozi atakubali kupoteza rasilimali fedha za umma eti kujenga makao makuu ya mkoa chato.
Ndio ushakuwa kazi iendeleee!Haina sifa ya kua mkoa, full stop.
Huyo amelewa chimpumu achana naye!Pesa zitatengwa na huo utakuwa mkoa mpya.
Wewe naona hata huelewi chochote kuhusu ugawaji wa mikoa. Geita haina mamlaka ya kukataa au kukubali kuhusu kugawa mkoa. Wao wanachofanya ni kutoa mapendekezo tu.Mama pumzika zako makongo Dar ya huko waachie wana Chato na Mama Mkoa Geita wameshakubali .....acha iwe utaambiwa ya kuambiwa wilaya mojawapo au 2 Kagera itamegwa kwenda Chato....pambana na wajukuu mama awamu 6 hii sukuma gang wanalia huko legacy ......ya kulazimishia
Walioomba ipewe hadhi ya mkoa ni watu wenye umri mkubwa wanaojua wanaongea nini na kwa nini.Chato haina sifa wala vigezo vya kua mkoa, aidha si kipaumbele kwa sasa. Kama airport acha waendelee kuanikia mpunga.
Walioomba ipewe hadhi ya mkoa ni watu wenye umri mkubwa wanaojua wanaongea nini na kwa nini.
Mbona pale kwenu Nanguruwe zamani ilikuwa Ntwara!Mkoa wa geita hawana mamlaka ya kumlazimisha mkuu wa nchi atumie fedha za umma kwenye mambo yasiyo na tija kwa umma.
Chato haina sifa ya kuwa mkoa maana chato ni kiwilaya sawa na kibondo au ukerewe
Huo utakuwa mkoa. Sisi wa Ngara na maeneo hayo tunaelewa maana ya Chato kuwa mkoa. Tunaelewa maana ya wilaya kadhaa kuunganishwa pamoja ukapatikana mkoa mpya.Tibaijuka hana umri mkubwa?
We mburula huna akili, umebakia kutafuta mabwana humu Jf. Pumbavu kabisa.Chato haina sifa hiyo na hata uwanja wa ndege pale zilitumika fedha za watanzania vibaya.
Hana umri mkubwa ana miaka mingi.Tibaijuka hana umri mkubwa?
Huo utakuwa mkoa. Sisi wa Ngara na maeneo hayo tunaelewa maana ya Chato kuwa mkoa. Tunaelewa maana ya wilaya kadhaa kuunganishwa pamoja ukapatikana mkoa mpya.
Wengi humu wanapinga kwa sababu ya kupinga mengi aliyokuwa akiyafanya hayati JPM, wanazo hoja za kisiasa zaidi kuliko uhalisia.
Mimi nadhani kama ni lazima kumuezi huyo shujaa wao basi mkoa wa Geita ubadilishwe jina uitwe CHATO na makao makuu ya mkoa yahamishiwe wilaya ya CHATO kuokoa au kupunguza matumizi yasiyo na ulazima.Mama atatoa ngoma juani.....atawapa kupisha kelele sukuma gang
Mbona mwendazake alipokuwepo walikuwa wame mute sahv ndiyo wanaongea
Ova
Mchango ni hiariMbowe anawalazimisha wabunge kuchangia sehemu ya mishara yao umehoji!