Prof. Tibaijuka: Chato haina sifa kuwa Mkoa
Mkoa wa geita hawana mamlaka ya kumlazimisha mkuu wa nchi atumie fedha za umma kwenye mambo yasiyo na tija kwa umma.

Chato haina sifa ya kuwa mkoa maana chato ni kiwilaya sawa na kibondo au ukerewe
Mbowe anawalazimisha wabunge kuchangia sehemu ya mishara yao umehoji!
 
Mama pumzika zako makongo Dar ya huko waachie wana Chato na Mama Mkoa Geita wameshakubali .....acha iwe utaambiwa ya kuambiwa wilaya mojawapo au 2 Kagera itamegwa kwenda Chato....pambana na wajukuu mama awamu 6 hii sukuma gang wanalia huko legacy ......ya kulazimishia
Wewe naona hata huelewi chochote kuhusu ugawaji wa mikoa. Geita haina mamlaka ya kukataa au kukubali kuhusu kugawa mkoa. Wao wanachofanya ni kutoa mapendekezo tu.
 
Mkoa wa geita hawana mamlaka ya kumlazimisha mkuu wa nchi atumie fedha za umma kwenye mambo yasiyo na tija kwa umma.

Chato haina sifa ya kuwa mkoa maana chato ni kiwilaya sawa na kibondo au ukerewe
Mbona pale kwenu Nanguruwe zamani ilikuwa Ntwara!
 
Tibaijuka hana umri mkubwa?
Huo utakuwa mkoa. Sisi wa Ngara na maeneo hayo tunaelewa maana ya Chato kuwa mkoa. Tunaelewa maana ya wilaya kadhaa kuunganishwa pamoja ukapatikana mkoa mpya.

Wengi humu wanapinga kwa sababu ya kupinga mengi aliyokuwa akiyafanya hayati JPM, wanazo hoja za kisiasa zaidi kuliko uhalisia.
 
Huo utakuwa mkoa. Sisi wa Ngara na maeneo hayo tunaelewa maana ya Chato kuwa mkoa. Tunaelewa maana ya wilaya kadhaa kuunganishwa pamoja ukapatikana mkoa mpya.

Wengi humu wanapinga kwa sababu ya kupinga mengi aliyokuwa akiyafanya hayati JPM, wanazo hoja za kisiasa zaidi kuliko uhalisia.

Ngara ya wapi upo wewe wakati mla furu tu wa hapo chato? Kifupi mlivyokula vinatosha acheni wengine nao wale...

Zamu ya wengine now.
 
Back
Top Bottom