Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Ufipa inajengwa na rasilimali za watanzania wenye mapenzi meema.Kama walivyogoma kujenga ufipa!
Hakuna mtutu wala virungu wala vifaru
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ufipa inajengwa na rasilimali za watanzania wenye mapenzi meema.Kama walivyogoma kujenga ufipa!
Hakuna mtu wa kukubali kupoteza fedha za umma kisa chatoNdio ushakuwa kazi iendeleee!
Umelewa ugoro unao uza pale chato unapofanya zamu ta lindoHuyo amelewa chimpumu achana naye!
Kuwa na umri mkubwa siyo kuwa na busara wala akili.Walioomba ipewe hadhi ya mkoa ni watu wenye umri mkubwa wanaojua wanaongea nini na kwa nini.
Swali kubwa sana kwakeTibaijuka hana umri mkubwa?
StupidMbona pale kwenu Nanguruwe zamani ilikuwa Ntwara!
Hivi huwa mna nini vichwani mnapotoa statements kama hizi! Wewe ni Samia? Na ikiwa mkoa aibu utaziweka wapi?Hakuna kiongozi atakubali kupoteza rasilimali fedha za umma eti kujenga makao makuu ya mkoa chato.
Wewe ni Mushuti maana Ngara na biharamulo na wilaya za kigoma wote ni WASHUTIHuo utakuwa mkoa. Sisi wa Ngara na maeneo hayo tunaelewa maana ya Chato kuwa mkoa. Tunaelewa maana ya wilaya kadhaa kuunganishwa pamoja ukapatikana mkoa mpya.
Wengi humu wanapinga kwa sababu ya kupinga mengi aliyokuwa akiyafanya hayati JPM, wanazo hoja za kisiasa zaidi kuliko uhalisia.
Usilinganishe mama Tibaijuka na huyo mlevi wa bhangeHana umri mkubwa ana miaka mingi.
Kwa mfano huwezi kusema le mutuz ana umri mkubwa japo ana miaka 71!
Habari ya kuwa mkoa chato hizo sahau kabisa kama ulivyo sahau baada ya mazishiHivi huwa mna nini vichwani mnapotoa statements kama hizi! Wewe ni Samia? Na ikiwa mkoa aibu utaziweka wapi?
Wewe unapajua Chato au unapaaoma kwenye magazeti?Hiyo Bukoba wakati inapewa hadhi ya makao makuu ya mkoa ilikuwa ni pori tu lakini leo ni mji mkubwa.
Mama Tibaijuka wala asiwe na hofu Chato itajengeka kadri muda unavyokwenda.
Mkataa kwao mtumwa!!Stupid
Wewe ni mpuuzi, bishaHabari ya kuwa mkoa chato hizo sahau kabisa kama ulivyo sahau baada ya mazishi
Wanafanana.Usilinganishe mama Tibaijuka na huyo mlevi wa bhange
HahahaWatu wa chato ni manyama mkuu... angethubutu kuongea angepewa pyuu pyuuu pyuuu....
Kumbuka Yule mkurugenzi wa itigi alivyomfwata Mtu kanisani ku mpyuu pyuu pyuu
Sina muda wa kubishana na walinzi wa kaburiWewe ni mpuuzi, bisha
Kumbe unajuaWanafanana.
Bhange hakuna wa kumzidi Sugu!
Leta orodha ya sifa zinazotakiwa sehemu husika kuwa Mkoa.Haina sifa ya kua mkoa, full stop.