Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 24,314
- 38,919
Kuna baadhi ya mambo unaweza kuelewa ila siyo kwa Geita, Mbeya ninaijua vizuri ilikuwa maendeleo imbalance, kuna wilaya za pembezoni zilikuwa hazikumbukwi, ila tangu mgawanyiko angalau kuna tofauti kidogoHizo Wilaya zilitoka wapi? KUna watu ni wapuuzi tu! Wanaongeza mzigo kwa nchi na kusababisha watu kutengana. Hata wilaya zikifika 100, eneo ni constant, haliongezeki.