PROF TIBAIJUKA: MISSION YA MBOWE HAIJAKAMILIKA!
“Nimemsikiliza huyu Katibu. Sidhani kama anafahamu haja ya kutenganisha Chama Tawala na Chama cha Upinzani. Anaongea kama aliyekariri mambo. Anatumia mfano wa Zitto Kabwe (@zittokabwe) kuachia ngazi.
Mbowe alielezea vizuri jana suala la Mission yake hata kama sisi wanaCCM tunayo yetu ya kumpinga. Sasa je aachie ngazi kwani kaikamilisha? Nyerere angeachia ngazi mapema hili Taifa lingeimarika?
Hivo mimi nadhani tunahitaji elimu zaidi ya uraia kutofautisha uongozi wa Vyama na uongozi wa nchi."
Prof Anna Tibaijuka (@AnnaTibaijuka) ameandika haya kwenye moja ya group la WanaCCM!
“Nimemsikiliza huyu Katibu. Sidhani kama anafahamu haja ya kutenganisha Chama Tawala na Chama cha Upinzani. Anaongea kama aliyekariri mambo. Anatumia mfano wa Zitto Kabwe (@zittokabwe) kuachia ngazi.
Mbowe alielezea vizuri jana suala la Mission yake hata kama sisi wanaCCM tunayo yetu ya kumpinga. Sasa je aachie ngazi kwani kaikamilisha? Nyerere angeachia ngazi mapema hili Taifa lingeimarika?
Hivo mimi nadhani tunahitaji elimu zaidi ya uraia kutofautisha uongozi wa Vyama na uongozi wa nchi."
Prof Anna Tibaijuka (@AnnaTibaijuka) ameandika haya kwenye moja ya group la WanaCCM!