Prof. Tibaijuka: Uongozi wa Chama na wa Nchi ni tofauti, mission ya Mbowe haijakamilika

Prof. Tibaijuka: Uongozi wa Chama na wa Nchi ni tofauti, mission ya Mbowe haijakamilika

Nasikitika kuona mpaka Profesa ameathirika na program ya NATIONAL IMBECILEZATION

She is too low for this
 
Vyama vingi vilianzishwa si ili kushika madaraka ya hii nchi bali kuonyesha dunia kuwa tuna demokrasia lakin kiuhalisia nchi ni ya chama kimoja. Hata huyo mbowe ni kada wa ccm aliepewa kazi ya kuongoza chama cha upinzani. Kwa hiyo tibaijuka anajua hiyo siri ndo maana anamtetea mbowe dhidi ya vijana ambao wana nia ya upinzani kutwaa madaraka.

Mbowe hawez kutoka kwenye kile kiti na akitoka atahakikisha anamuandaa mtu atakaefuata nyayo zake.

Reffer historia ya chadema na historia ya upinzani?
 
Vyama vingi vilianzishwa si ili kushika madaraka ya hii nchi bali kuonyesha dunia kuwa tuna demokrasia lakin kiuhalisia nchi ni ya chama kimoja. Hata huyo mbowe ni kada wa ccm aliepewa kazi ya kuongoza chama cha upinzani. Kwa hiyo tibaijuka anajua hiyo siri ndo maana anamtetea mbowe dhidi ya vijana ambao wana nia ya upinzani kutwaa madaraka.

Mbowe hawez kutoka kwenye kile kiti na akitoka atahakikisha anamuandaa mtu atakaefuata nyayo zake.

Reffer historia ya chadema na historia ya upinzani?
Toa ujinga wako hapa. Eti kada wa ccm, hovyoooo. Wewe unaweza kukubali kukaa ndani kwa miezi 08 tena kwa kesi ya kusingiziwa ya ugaidi kwa kuwa tu ni chawa au kada? Hii thinking ya kijinga namna hii mnaitoa wapi?
 
CCM kumejaa wajinga, hivyo prof. Tibaijuka na mzee Warioba wanapata taabu sana kuendana nao.

Hata mwenyekiti wao mnamuonaje? Kuna kitu anajuwa yule?
Nadhani 'kumejaa wajinga' haitoshelezi kuelezea CCM ni nini ikizingatiwa wamebaki madarakani hadi leo. Mjinga hawezi hili. Ni kujitia upofu na kuwapa nafasi ya kuendelea na mambo yao. Mojawapo ya uhalisia ni kwamba kwa Tanzania CCM ndio 'deep state', kwamba ni lazima 'DOLA' ibakie kwao na kwamba 'umma sio waajiri wa dola hiyo'
 
PROF TIBAIJUKA: MISSION YA MBOWE HAIJAKAMILIKA!

“Nimemsikiliza huyu Katibu. Sidhani kama anafahamu haja ya kutenganisha Chama Tawala na Chama cha Upinzani. Anaongea kama aliyekariri mambo. Anatumia mfano wa Zitto Kabwe (@zittokabwe) kuachia ngazi.

Mbowe alielezea vizuri jana suala la Mission yake hata kama sisi wanaCCM tunayo yetu ya kumpinga. Sasa je aachie ngazi kwani kaikamilisha? Nyerere angeachia ngazi mapema hili Taifa lingeimarika?

Hivo mimi nadhani tunahitaji elimu zaidi ya uraia kutofautisha uongozi wa Vyama na uongozi wa nchi."

Prof Anna Tibaijuka (@AnnaTibaijuka) ameandika haya kwenye moja ya group la WanaCCM!
Chama anachozungumzia ni Chadema siyo hicho ulichokikariri wewe.
 
CCM kumejaa wajinga, hivyo prof. Tibaijuka na mzee Warioba wanapata taabu sana kuendana nao.

Hata mwenyekiti wao mnamuonaje? Kuna kitu anajuwa yule?
wahame tu kama wanapata shida mbona vyama vipo vingi kwani lazima wabaki ccm?
 
PROF TIBAIJUKA: MISSION YA MBOWE HAIJAKAMILIKA!

“Nimemsikiliza huyu Katibu. Sidhani kama anafahamu haja ya kutenganisha Chama Tawala na Chama cha Upinzani. Anaongea kama aliyekariri mambo. Anatumia mfano wa Zitto Kabwe (@zittokabwe) kuachia ngazi.

Mbowe alielezea vizuri jana suala la Mission yake hata kama sisi wanaCCM tunayo yetu ya kumpinga. Sasa je aachie ngazi kwani kaikamilisha? Nyerere angeachia ngazi mapema hili Taifa lingeimarika?

Hivo mimi nadhani tunahitaji elimu zaidi ya uraia kutofautisha uongozi wa Vyama na uongozi wa nchi."

Prof Anna Tibaijuka (@AnnaTibaijuka) ameandika haya kwenye moja ya group la WanaCCM!
Naona mnajarobu kujusty udictator w mbowe
 
Hahah! Wanaccm wanaona chadema Ni Kama inakufa hivi, so wanajua kwamba wao ndio wanakubalika. Kumbe hawajui kwamba raia wengi now hawataki kusikia ccm Wala chadema.
 
PROF TIBAIJUKA: MISSION YA MBOWE HAIJAKAMILIKA!

“Nimemsikiliza huyu Katibu. Sidhani kama anafahamu haja ya kutenganisha Chama Tawala na Chama cha Upinzani. Anaongea kama aliyekariri mambo. Anatumia mfano wa Zitto Kabwe (@zittokabwe) kuachia ngazi.

Mbowe alielezea vizuri jana suala la Mission yake hata kama sisi wanaCCM tunayo yetu ya kumpinga. Sasa je aachie ngazi kwani kaikamilisha? Nyerere angeachia ngazi mapema hili Taifa lingeimarika?

Hivo mimi nadhani tunahitaji elimu zaidi ya uraia kutofautisha uongozi wa Vyama na uongozi wa nchi."

Prof Anna Tibaijuka (@AnnaTibaijuka) ameandika haya kwenye moja ya group la WanaCCM!
Faida mojawapo ya kusoma na kuelimika ni kuwa na uwezo wa kutoa maoni kwa uhuru! Profesa katoa maoni ya kisomi.
 
Nimemsikiliza huyu Katibu. Sidhani kama anafahamu haja ya kutenganisha Chama Tawala na Chama cha Upinzani. Anaongea kama aliyekariri mambo. Anatumia mfano wa Zitto Kabwe (@zittokabwe) kuachia ngazi.

Kweli kabisa hoja za Prof. Tibaijuka

Kujiuzulu kwa Nyerere, 1962​

Mwaka 1962 Nyerere alijiuzulu nafasi yake ya uwaziri mkuu ili kutumia muda wake wote katika kazi yake kama rais wa TANU. Kitendo hiki kinaonekana kuchochewa na hisia zake kwamba alikuwa amejitenga na cheo na kwamba alipaswa kujihusisha na kazi za kisiasa katika ngazi za chini ili kupata nafasi muhimu kwa TANU na kurejesha uungwaji mkono. ya watu. Zaidi ya hayo, alihisi kwamba serikali ilitambuliwa kupita kiasi naye kibinafsi na kwamba ilikuwa lazima kwa wenzake kujifunza kuendelea bila yeye. Muhimu zaidi, kwa maoni ya Pratt, ilikuwa ni hisia ya Nyerere kwamba alipaswa kuwasilisha kwa watu haja ya kufanya kazi kwa bidii na maoni kwamba kazi hiyo inampasa yeye kwa niaba ya Tanganyika badala ya kujitukuza. Nyerere alipendekeza kutoa muda wote kwa jukumu lililompa heshima ya mwalimu (mwalimu).


Nyerere alitumia muda mwingi wa 1962 akizunguka nchi nzima kusikiliza na kuzungumza na viongozi wa ndani wa TANU na cheo na faili, lakini hakuhusika na ujenzi wa shirika wala, kwa wakati huo, na kuongeza ushiriki wa TANU katika kutunga sera au utawala. Aliendelea kuchukulia serikali na sio chama kuwa ndio chimbuko la sera.
Kazi yake kuu ilikuwa kufundisha, ambayo aliifanya kwa mdomo na kwa maandishi. Katika vijitabu alivyotayarisha wakati huu alidai kuwa jamii ya Kiafrika ilikuwa na utaratibu wa kimaadili ambapo watu walijali wao kwa wao lakini kwamba utaratibu huu ulikuwa unatoa nafasi kwa umiliki wa fujo. Dhana hiyo ya utaratibu wa kimaadili wa kitamaduni wa Kiafrika inasisitiza dhana ya Nyerere ya ujamaa, ambayo, inazidi kuwa sehemu muhimu ya ujumbe wake. Lakini wakati huu alijishughulisha na taasisi za ujamaa bali na maadili yake, na hakujishughulisha na Umaksi au mawazo mengine ya Kizungu kuhusu ujamaa bali kile alichofikiria kuwa mizizi yake ya Ujamaa.
Kwa maoni yake, katika jumuiya za kitamaduni za Kiafrika, wanajamii waliitunza jumuiya hiyo, na jumuiya hiyo iliwajali wanachama wake. Watu binafsi hawakuwa na haja wala hamu ya kunyonya kila mmoja. Mitazamo hii ilibidi aihifadhi na kwa kiwango ambacho walikuwa wamepotea, walipatikana. Mnamo 1962 Nverere aliandika: "Ujamaa wa kweli ni mtazamo wa akili. Kwa hivyo ni juu ya watu wa Tanganyika ... kuhakikisha kuwa mtazamo huu wa ujamaa haupotei kupitia vishawishi vya kujinufaisha kibinafsi (au kutumia vibaya vyeo). wa mamlaka) .


Yaliyounganishwa na dhana hii ya msingi ya tabia ya msingi ya jamii ya kitamaduni ya Kiafrika yalikuwa mapendekezo ya sera ya jumla ya Nyerere: kwa sababu unyonyaji - kuishi kwa kazi ya wengine - haukuwa wa haki na unaharibu maelewano ya kijamii, unyonyaji kama huo lazima ukomeshwe. Kwa kweli katika jamii ya vijijini hiyo ilimaanisha mwisho wa umiliki wa mtu binafsi wa ardhi. Hii ilionekana kuruka mbele ya dhana ya awali kwamba wakulima wanaoendelea walipaswa kutiwa moyo na kwamba mafanikio yao, labda katika soko, yalikuwa kuwa mfano kwa wengine. Zaidi ya hayo, tofauti kubwa za mapato lazima zizuiwe. Msomi wa uchumi wa Asia na Ulaya hakupaswa kurithiwa na Mwafrika.
Jukumu la chama pia lilishughulikiwa, si kwa muundo na utendaji wa kina bali kuhusiana na mafanikio ya jamii yenye uadilifu na maadili. TAW ilikuwa ni kuwataka wanaTanganvika kufanya kazi kwa bidii, hasa ili kuondokana na umaskini, lakini ilikuwa kufanya hivyo kwa kuishi na kujifunza miongoni mwao, si kwa kuwawekea fikra zake. Viongozi zaidi wa TANU walipaswa kuruhusu, hata kuhimiza ukosoaji wa ndani.

Source : GlobalSecurity.org
 
Back
Top Bottom