Profesa Assad aliumia sana kuvuliwa u-CAG. Mpaka leo namwona bado ana chuki kubwa sana. Tatizo ni nini?

Profesa Assad aliumia sana kuvuliwa u-CAG. Mpaka leo namwona bado ana chuki kubwa sana. Tatizo ni nini?

ana hasira sana na serikali kwasababu alikuwa na matarajio makubwa kwamba itamtumia, alipoingia serikalini akasahau kuwa pamoja na usomi unatakiwa kufanya kazi kwa busara na hekima kulingana na waliokuzunguka. mfano, mimi sinywi pombe, ila nafanya biashara na kazi na walevi, ila hata siku moja sijawahi kuwaita walevi, nikiwaita walevi nina uhakika hata huo ulevi wanaweza wasibadilike kwasababu wataona sijatumia busara kuwashauri, na hata biashara nao wanaweza kukata tusiendelee nao. yeye kaja kichwakichwa kwenye awamu ambayo ilikuwa haipendi kukosolewa moja kwa moja bali kukosolewa kwa hekima na busara. sasaivi amekaa anakula matunda ya kutokuwa na busara.

worse enough, hata baada ya mwendazake kuondoka, awamu ya mama ambaye ni very considerate, yeye bado ameonekana hana busara, sasa asaidiwaje huyu?
Hakujua kuwa kuna tofauti ya kuingoza nchi na kuna tofauti ya kuongoza taasisi. Ye taasisi aliifanya nchi yake yenye mamlaka zote. Kuna wakati katika mpango wa kubana matumizi alipunguziwa bajeti, aliwaka sana. Akasema watu wake watashindwa kwenda nje kwa ajili ya mafunzo na kujiendeleza. Kifupi aliamini ile ni taasisi huru isiyoguswa kwa lolote na yeye ndio rais wake.
 
Mara anataka kiongozi anayesikiliza, hivi kiongozi akisikiliza kila mtu tutafika.
Kuwasikiliza watu, wananchi waliokupa nafasi uliyopo ni jukumu muhimu kwako.
Ili uweze kuelewa waliyonayo na kuweza kuwajibu na kujua cha kutatua, watakiwa kuwa na mfumo/mifumo imara. Lakini sio kwa mtindo wa one man show.
 
Hata afya yake imezorota sana anaoenakana kuwa na maumivu makubwa.

Huyu Assad ni msomi mzuri tu na anaweza pata kazi sehemu mbalimbali ila shida nadhani ni mihemko, jazba na chuki vinamfanya aumie. Anapaswa akubali tu kuwa ilikuwa ni wakati wake kupisha wengine asibebe uchungu wa kuona alidhalilishwa sana.

Atajiumiza bure mtu mwenyewe aliyefanya hivyo ni Marehamu so a-move on tu maisha yaendelee asikunjane moyo.
Aliyemuumiza mbona nae kaumizwa?

Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
 
Hata afya yake imezorota sana anaoenakana kuwa na maumivu makubwa.

Huyu Assad ni msomi mzuri tu na anaweza pata kazi sehemu mbalimbali ila shida nadhani ni mihemko, jazba na chuki vinamfanya aumie. Anapaswa akubali tu kuwa ilikuwa ni wakati wake kupisha wengine asibebe uchungu wa kuona alidhalilishwa sana.

Atajiumiza bure mtu mwenyewe aliyefanya hivyo ni Marehamu so a-move on tu maisha yaendelee asikunjane moyo.
Unajuaje anaumia?
 
Au midevu ndiyo matusi [emoji848][emoji1787]
Inter...
Ustaarabu ni kuuliza kitu usichokijua kwa adabu.

Mathalan ungeuliza, "Kwani kusema ""midevu"" ni matusi?"

Naam "midevu" ni lugha ya kutuniza.

Kutuniza kunakwenda sambamba na kutukana.

Haya mimi nakueleza kwa malezi niliyopata mimi kwa wazazi wangu.

Yawezekana kwenu haya si matusi.
 
Hata afya yake imezorota sana anaoenakana kuwa na maumivu makubwa.

Huyu Assad ni msomi mzuri tu na anaweza pata kazi sehemu mbalimbali ila shida nadhani ni mihemko, jazba na chuki vinamfanya aumie. Anapaswa akubali tu kuwa ilikuwa ni wakati wake kupisha wengine asibebe uchungu wa kuona alidhalilishwa sana.

Atajiumiza bure mtu mwenyewe aliyefanya hivyo ni Marehamu so a-move on tu maisha yaendelee asikunjane moyo.
Prof Asadi sio mtu wa hivyo kama unavyomfikiria, yaaani kwa nafasi yake ya uanazuoni lazima aseme na ashauri pale anapoona kuna haja ya kufanya hivyo.
Kama angekuwa mtu wa kusaka vyeo asingesimama imara kutetea kile anachoamini, huyu ni mtu wa dini na mtu anayejishusha sana.
Msomi mwenye msimamo na weledi wa hali ya juu.
 
Hakujua kuwa kuna tofauti ya kuingoza nchi na kuna tofauti ya kuongoza taasisi. Ye taasisi aliifanya nchi yake yenye mamlaka zote. Kuna wakati katika mpango wa kubana matumizi alipunguziwa bajeti, aliwaka sana. Akasema watu wake watashindwa kwenda nje kwa ajili ya mafunzo na kujiendeleza. Kifupi aliamini ile ni taasisi huru isiyoguswa kwa lolote na yeye ndio rais wake.
Ndivyo tunavyotamani tuwe na taasisi huru
Zisizoingiliwa kirahisi kwa maslahi ya taifa haswa wakaguzi wa fedha zetu
Sio mtu anaingilia tu taasisi kwa maslahi yake binafsi
 
Aliondolewa kimagumashi sana
Yule kichomi ndugae sijui yuko wapi sasa?
Mwendazake kaacha athari kubwa sana na kuidumaza nchi yetu
Tutachukua hata miaka ishirini ili kuamka tena!
kwani hana alternative nyingine ya maisha isipokiwa u CAG, Kama alibweteka ndo imekula kwake!! madaraka ni kupokezana ,mbona mwenzie ndugai hakunji moyo !!? Mizee mingine hovyo kabisa!!
 
Mi naona bora kuondolewa kwa Assad kulikuwa na unafuu maana ilibidi atumikie vipindi viwili ila alipomakiza kimoja hakuteuliwa tena kuendelea na kingine! Lakini Ndugai aliondolewa vibaya sana! Tena kwa vichambo kama vyote licha ya kuomba radhi lakini wapi!

Ukiwaangalia hawa watu wawili unaona kabisa Ndugai anachuki za wazi kwa Mh Rais aliemuondoa kimezengwe ila Assad bado anakinyongo mno! Sijui analikuwa na nn pale kwenye kiti cha CAG.

Sent using Jamii Forums mobile app
tangu ndugai ame step out,hatujaona akihangaika mitandaoni au redioni kutoa maneno ya kinyaa Kama mzee assadi,yaani mzee hatulizi ubongo ukatulia ,tangu aondoke wamle kichwa kwenye uCAG anahangaika kila siku kubwata mitandaoni ,atulize kichwa ,maisha yaendelee.
 
Hata afya yake imezorota sana anaoenakana kuwa na maumivu makubwa.

Huyu Assad ni msomi mzuri tu na anaweza pata kazi sehemu mbalimbali ila shida nadhani ni mihemko, jazba na chuki vinamfanya aumie. Anapaswa akubali tu kuwa ilikuwa ni wakati wake kupisha wengine asibebe uchungu wa kuona alidhalilishwa sana.

Atajiumiza bure mtu mwenyewe aliyefanya hivyo ni Marehamu so a-move on tu maisha yaendelee asikunjane moyo.
Hayo ni mawazo yako tu.
 
Tatizo letu kila jambo la kusemea nchi,anaeongea anaonekana na chuki binafsi,hiviii nani anapaswa kuiongelea Tanzania tukawa na Amani nae?

Daudi mfalme,wakati anampiga Goliath, Saul alimsifia sanaa,kijana mdogo ameweza kuwapa ushindi.

Lakini alipoanza kumkosoa kuhusu namna anavyotawala,akawa adui wa nchi. Tukitaka kufanikiwa kama nchi ni vyema tujifunze kumsikiliza mtu nini anaongea kuliko kuangalia wapi ametokea. Tanzania ni yetu sote.
Bila kusema, yatarudia mengine...
 
Wigwa,
Una ushahidi wa haya usemayo?
Ushahidi uko wazi. CAG ni nafasi ya kuteuliwa kwa vipindi visivyozidi viwiwli vya miaka mitano mitano, siyo ya kuteuliwa kwa miaka kumi kama ambavyo Assad alivyotaka. Assad amewahi kusema kuwa anachukia kusikia kuwa yeye ni CAG mstaafu kwani anataka atambuliwe kuwa ni CAG aliyesimamishwa kabla ya muda wake, which does not make sense. Uteuzi wa CAG uko kwenye mamlaka ya rais ambaye atateua CAG kila baada ya miaka mitano, anaruhusiwa kumteua yule yule aliyepo kwa mara nyingine (kama hajamaliza vipindi viwili) na vile vile anaweza kubadilisha akaweka mwingine.

Ni kwa vile Magufuli alifariki, ni vigumu kujua kuwa alikuwa amepanga kumpa kazi gani tofauti na ya u-CAG kwa vile alikuwa anapenda sana wasomi kama Nyerere. Alimfukuza Andengenye hadharani lakini baadaye akamfanya kuwa Mkuu wa Mkoa wa Kigoma. Aliwahi kuwafukuza akina Simbachawene na Mwigulu tena hadharani kabisa lakini baadaye akawapa kazi nyingine.

Huyu Assad aliumia sana na mpaka leo inamuumiza badala ya kuamini kuwa Mungu akifunga mlango mmoja atafungua mwingine. Wasomi hujivunia mafanikia yao na kuyaacha yajitangaze yenyewe, hawalalamikii kuonewa. Enstein alifelishwa Doctorate mara tatu na profesa wake Minkowski lakini baada ya kutoka hapo, maisha yakaendelea kama tunavyomjua Einstein leo. Watu dhaifu huwa na tabia za kulalamika wakidai kuonewa kila siku.
 
Kwa mujibu wa katiba mzee. Wewe unajua historia tu? Ukasome katiba. Ukishakuwa CAG, ukistaafu huwezi kuteuliwa nafasi nyingine ndani ya JMT. Labda apewe kwa kuvunja katiba.
Nina uhakika unamtetea kwa sababu ni muislamu mwenzio na mna asili ya Tanga wote-homeboy wako.
Mohamed Said siyo mtu wa Tanga, fanya utafiti dogo, unaaibisha wazazi kukupeleka shule lakini ujinga haujatoka kichwani....[emoji3]
 
Kichuguu...
Huo ndiyo ushahidi wako...

Hapana shida.

Sasa mimi nikisema kuwa labda kinachokuhangaisha ni hasad na chuki nini jibu lako?
Inaelekea hukuelewa jibu langu kwa vile nilichanganya mambo mengi, ila ushahidi kamili ni huu

1653084660652.png
 
Back
Top Bottom