Huyu profesa ni mtu mwenye maadili ya uongozi. Hongera sana profesa Mwenyezi Mungu atakufungulia mlango mwingine upate riziki yako.
Ha haha! Mbona unategesha upande mmoja tuu?kuaminika?Mkuu nisingependa kumwaga ushahidi humu JF, baadhi yao ni waheshimiwa sana na sio vizuri kuanza kugeuka Cyprian Musiba, itoshe tu kwa ushahidi wangu huu wa kimazingira kuaminika.
Zimbabwe watu kama wewe walifanya Mugabe aharibu nchi kwa kumchekeaCAG amestaafu kwa mujibu wa sheria
Kama wapinzani wanampenda wamwajiri maana kila mwaka wanapata hati chafu ya ubadhirifu wa pesa
CAG apumzike aache kutafuta huruma ya Wananchi yeye sio wa kwanza kushika hicho cheo Kila mtanzania mwenye sifa alistahili kuwa CAG
Muda wake umeisha apumzike amefanya kazi yake
Aache kutumika na wanasiasa wasaliti wa nchi
😆😆😆😆Sasa mshtukiza kama jiwe au Job uone mchecheto! Maana kuna hirizi za kuhamisha, ndulele za kuchomoa na mazagaza kibao!
Utafiti ulisema wengi wanaounga mkono CCM ni watu ambao hawakwenda shule kabisa, walioshia la saba na wachumia tumbo!
Lowasa mumeshammaliza sasa anavaibreti kama trekta la Valmet lililochakaa sijui hata mumetumia sumu gani.Nyeupe kama ya Lowassa
cc; Wakudadavuwa njoo huku bibie uone tafiti za TWAWEZA. Hawa walipaswa wapimwe mkojo!
CAG amestaafu kwa mujibu wa sheria
Kama wapinzani wanampenda wamwajiri maana kila mwaka wanapata hati chafu ya ubadhirifu wa pesa
CAG apumzike aache kutafuta huruma ya Wananchi yeye sio wa kwanza kushika hicho cheo Kila mtanzania mwenye sifa alistahili kuwa CAG
Muda wake umeisha apumzike amefanya kazi yake
Aache kutumika na wanasiasa wasaliti wa nchi
Hahahaaa noma kweli,inabidi atulie tu.Asije tu akabishana na mhimili
Mzee Assad wala hana kinyongo na vilaza kama nyinyi...ni suala la muda tu watanzania watajua nyeupe na nyeusi!Assad kaiharibu na kuivunjia heshima sana hiyo ofisi.
Zitto kamuharibu huyu mzee..akalime sasa Unguja.
Viva Magufuril
Inauma sana mkuu...sasa tunaenda kumalizia International Airport Chato, kisha tunajenga uwanja wa mpira wa kisasa...hakuna wa kutukagua!Ndugai na yule kichaa mwingine wamefurahi sana sasa tutegemee kodi zetu kuanza kupigwa kiholela na hili gege la majizi linalojitia uzalendo. Hapa kazi ni wizi tu
Usilete udini mkuu,Japo namimi sijafuraishwa na Kuondolewa kwa CAG Assad.
Hapa ndipo mnapoipa ahueni CCM mnaingia kwenye kanuni ya divide n rule. Tutaacha kujadili hoja iliyopo mezani tuingie kwenye udini.
Haya ni maneno ya mtu anayewashwa washwaCAG amestaafu kwa mujibu wa sheria
Kama wapinzani wanampenda wamwajiri maana kila mwaka wanapata hati chafu ya ubadhirifu wa pesa
CAG apumzike aache kutafuta huruma ya Wananchi yeye sio wa kwanza kushika hicho cheo Kila mtanzania mwenye sifa alistahili kuwa CAG
Muda wake umeisha apumzike amefanya kazi yake
Aache kutumika na wanasiasa wasaliti wa nchi
"Kama kulikuwa na mahusiano hafifu nitaimarisha mahusiano kati ya Ofisi ya CAG na Bunge."
Mungu ambariki ni muadilifu tutamkumbuka kwa uzalendo wake
Hiki ni kitendo kilichofanyika bila kuchelewa , hajataka kuleta longolongo ili waseme kuna mafaili yametoroshwa .
Kila la heri Profesa Assad
******
Prof. Assad:
"Hii ni taasisi na makabidhiano ya taasisi yanaenda kwa maandishi, kwa hiyo makabidhiano kwa maandishi yatafanyika Dodoma kwa sababu ndiyo kule makao makuu yetu yalipo"
"Kazi ya CAG ni kusaini ripoti lakini ripoti unachukua wajibu wa kazi ya watu wengi sana, ambao waliifanya maeneo mbalimbali hapa Tanzania, kwa hiyo nukta yangu ni kuwatazama vizuri sana watu hawa"
"Kama kuna yeyote nilimkosea kwenye utendaji wetu wa kazi basi anisamehe na mimi kuna kuna mambo alinikosea nimemsamehe."
"Baada ya hapa mimi nitafanya kazi ya kulima kwa sababu miezi 2 iliyopita nilianza kuwekeza kwenye kulima, wakinihitaji watu wa Mjini nitakuja, kuhusu changamoto ni nyingi nimepitia mnataka niseme hapa nitatia ukakasi hakuna haja ya kutia ukakasi."
"Nimepokea ofisi hii kutoka kwa Uttoh miaka mitano iliyopita naamini sikufanya uharibifu wowote mimi naamini mabadiliko yanaweza kutokea, lakini yatokee kwenye namna ilivyopangwa vizuri."
CAG Kichere :
"Kama kutakuwa na mabadiliko yatafanyika kwa umakini mkubwa ili tusiharibu mfumo wa utendaji kazi."
"Nimefanya kazi TRA najua ugumu wa kukusanya mapato, nimekuja kulinda mapato, tena nitalinda kwa wivu mkubwa sana, sitakuwa na simile kwa watu wanaotumia mapato ya Serikali vibaya."
"Kama kulikuwa na mahusiano hafifu nitaimarisha mahusiano kati ya Ofisi ya CAG na Bunge."
Sina maana hiyo ila kuingiza mada ambazo zitatuondoa kwenye mjadala ulioko mezani siyo afya kwa GT.Kwahyo hilo kwakua linakufeva ww tusiliongee.
Sina maana hiyo ila kuingiza mada ambazo zitatuondoa kwenye mjadala ulioko mezani siyo afya kwa GT.
Kwani unateseka?CAG amestaafu kwa mujibu wa sheria
Kama wapinzani wanampenda wamwajiri maana kila mwaka wanapata hati chafu ya ubadhirifu wa pesa
CAG apumzike aache kutafuta huruma ya Wananchi yeye sio wa kwanza kushika hicho cheo Kila mtanzania mwenye sifa alistahili kuwa CAG
Muda wake umeisha apumzike amefanya kazi yake
Aache kutumika na wanasiasa wasaliti wa nchi