Profesa Assad amkabidhi ofisi CAG mpya, hakuona haja ya kupiga danadana

Mkuu nisingependa kumwaga ushahidi humu JF, baadhi yao ni waheshimiwa sana na sio vizuri kuanza kugeuka Cyprian Musiba, itoshe tu kwa ushahidi wangu huu wa kimazingira kuaminika.
Ha haha! Mbona unategesha upande mmoja tuu?kuaminika?
Ungesema itoshe kuaminika au kutoaminika! Maana Mimi ningechaguwa ushahidi huo wa kimazingira kuto aminika!
Ila NIMEKUELEWA.
 
Zimbabwe watu kama wewe walifanya Mugabe aharibu nchi kwa kumchekea
 
Kwani huna Comment Nyingine zaidi ya hii Mkuu? Naona kila uzi unaomhusu CAG mpya unaleta maneno haya haya.
 
Assad kaiharibu na kuivunjia heshima sana hiyo ofisi.

Zitto kamuharibu huyu mzee..akalime sasa Unguja.

Viva Magufuril
Mzee Assad wala hana kinyongo na vilaza kama nyinyi...ni suala la muda tu watanzania watajua nyeupe na nyeusi!
 
Ndugai na yule kichaa mwingine wamefurahi sana sasa tutegemee kodi zetu kuanza kupigwa kiholela na hili gege la majizi linalojitia uzalendo. Hapa kazi ni wizi tu
Inauma sana mkuu...sasa tunaenda kumalizia International Airport Chato, kisha tunajenga uwanja wa mpira wa kisasa...hakuna wa kutukagua!
 
Haya ni maneno ya mtu anayewashwa washwa
 
Mungu ambariki ni muadilifu tutamkumbuka kwa uzalendo wake
 
Mada inahusu Kukabidhi ofisi acha siasa zako wapinzani wamefikaj apa mkuu? Kwani unateseka?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…