Profesa Assad ni muongo, duniani 73% ya ndege zote za biashara hununuliwa kwa pesa taslimu

Kwa taarifa yako kwa wale wa UD wanajua yule jamaa ni mzee wa ma benz tangu ametoka US.Hicho ki IST kama kimekuuma pambana na hali yako.

Tatizo liko kwa yule anayejiita mtetezi wa wanyonge kumbe ni mpigaji konki per se.
Kwa taarifa yako..nimefanya nae kazi UD.
 
Sidhani kama serikali inakatazwa kuwa na biashara zake. Unapaswa kujua uchumi wa nchi ukitegemea mashirika binafsi ni nini kinaweza kutokea na hata kuhatarisha usalama nchi.

Pili kuhusu SGR ilisemwa wazi ya hilo, yamkini hata kwenye ndege imesemwa lakini mimi sina taarifa hivo siwezi kujibia jambo nisilolifahamu kwa kutaka sifa au kutetea hoja yangu. Nitasema jambo ambalo nina ufahamu nalo tu.
 
Ndugu hapa ATCL umepotosha kwa 100%. Hasara ya ATCL haina uhusiano wowote na mtaji uliowekezwa na serikali wakati wa kununua zile ndege. Hasara ile imetokana na gharama za uendeshaji wa kila siku vs mapato
 
Hii naicopy niongezee kwenye comment yangu , Jiwe hakuwa hata na PHD yule aliishia la saba Kwa akili zake
 
Mataga safari hii lazima muanzishe chama chenu.
 
Professa kilaza huyo amejawa na husda....
alibinywa barabara....
 
Haya tumeondika sasa uzeni hizo za cash nenda mkanunue kwa mkopo then mje mtuambie faida mlotengeneza
 
Asante sana kwa comnent yenye ukweli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…