hip hop uchwara
JF-Expert Member
- Jan 13, 2023
- 2,616
- 1,282
Sawa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiki Kiingereza chako Kibovu, cha kutia Aibu na Kilichokuaibisha ulichokurupuka na Kujitutumua Kukiandika / Kuniandikia 'Wordsmith" Mimi GENTAMYCINE cha "Otherwise these is absolutely rubbish" ulijifunzia wapi Pumbavu Punguwani Mmoja Wewe?Huyu siyo talented bhana Ana tumia akilinza watu kachawi haka kajamaa
UkweliJanabi nae fix tu.
Mpaka kusikia kiu maana yake ushauchelewesha mwili kuupa maji, si vyema kunywa maji eti baada ya kuhisi kiu.
Pili.
Maji mtu anakunywa kutokana na uzito wake.
Ni kweli lita 5 ni nyingi mnoo, lakini lita 2-3 inabidi tunywe kwa siku kwa mtu mzima.. hapo factor ya kazi(kuutumikisha mwili) tumeweka pembeni.
Weka manenoWapi?
Alihusika na nini?.......Battery au?Eti huyu ndo alihusika....
🤭🤭🤭🤭🤫🤫🤫😷😷😷
Kwani we unakula chakula wakati gani?Janabi nae fix tu.
Mpaka kusikia kiu maana yake ushauchelewesha mwili kuupa maji, si vyema kunywa maji eti baada ya kuhisi kiu.
Pili.
Maji mtu anakunywa kutokana na uzito wake.
Ni kweli lita 5 ni nyingi mnoo, lakini lita 2-3 inabidi tunywe kwa siku kwa mtu mzima.. hapo factor ya kazi(kuutumikisha mwili) tumeweka pembeni.
Sina muda maalum, mie sili mpaka nisikie njaa, ...Kwani we unakula chakula wakati gani?
Flouride ni nzuri sana ila ikizidi ndio mbayaMaji yanaongezwa flouride ama chlorine ambazo si nzuri kwa afya
Kila mmoja anakuja na lake alafu wote ni maprofesa na wamebobea kabisa kwa miaka mingi kwenye sekta ya afya, ni bora kuishi utakavyo weza ilimradi tuu hufanyi mambo ya kuhatarisha afya yakoKabisa...
Hawana kauli moja Kila mtu na lake...
Wataalamu wa afya nao wanawekwa siasa kwenye afya ..
POPOMA umefurahi mwenyeweGENTAMYCINE ANTIBIOUTIQUE Mimi...!!!
Unataka kuchukua nafasi yake!?Anastaafu lini huyu mzee?
Ngoja nami nilale mkuunimestuka ghafla usingizi umekata