Kwa hiyo Kabudi ametuthibitishia leo kwa niaba ya serikali ya Tanzania kuwa hiyo ripoti ya makinikia iliyosema TZ tunawadai Barrick zaidi ya 300Trilion ilikuwa ni Uongo na Ulaghai wa kutafuta kuvuna pesa za mabeberu kwa njia haramu.
Kuna haja ya kwenda Chato kulipiga pingu kaburi la Magufuli na kulitandika viboko au kuligeuza choo cha umma cha kitaifa ili watu wawe wanakwenda kujisaidia haja kubwa na ndogo kitaifa.
Lissu alipinga mno zile ripoti huenda aliona kasoro ila akahukumiwa kumiminiwa risasi.
JokaKuu Tindo Mag3 zitto junior
Huenda Lissu hakuwa mbali sana na ukweli.
JokaKuu Mag3 zitto junior Nguruvi3 Tindo Pascal Mayalla
CCM wataendelea kung'ang'ania madaraka kwa sababu hiyo hiyo...taifa la Tanzania linaendeshwa kwa ulaghai, utapeli, uzandiki na propaganda. Huo ndio ukweli mchungu tunaotakiwa kuukiri kwa mapana yake.Huu ni uthibitisho kwamba JPM alikuwa anaendesha nchi kwa ulaghai, utapeli, uzandiki, na propaganda. Alizungukwa na waongo na wanafiki, na yeye alipenda uongo na unafiki.
Kumuita professor maskini wa akili ni kumvunjia heshima.Walau tumepata kitu kikubwa, nakubaliana na Prof. Kabudi, though ana umaskini wa akili na mali, he has intellectual arrogance kubwa sana Prof . huyu.
Mkuu chiembe, umefunguka sana. Kunywa maji sasa upoe.
Pamoja na yote hayo nchi yetu imejaa wajinga, bado wanamkumbuka eti wanamuita Shujaa.
Hakuna mjinga mwenye heshima.Kumuita professor maskini wa akili ni kumvunjia heshima.
Hiyo ndiyo inaitwa "machinga mentality" iko Tanzania zaidi kama ile ya "mitumba mentality". Machinga wanakupangia bei kwa kutazama sura yako mnunuzi, pia wanafanya na wewe biashara kama vile hamtaonana tena. "Machinga mentality" kama ilivyo "mitumba mentality" inaendeshwa kwa mantiki ya "the lowest common denominator" kwenye jamii bila kujali inaathiri vipi ustawi wa maendeleo ya nchi ya muda mrefu ambao huwa unaendeshwa kwa mujibu wa "the highest common factor". Kama wasomi hawagundui tofauti hii na elimu yao pia inakuwa ya "Machinga and Mitumba Mentality" inataichukua Tanzania miaka si chini ya 30 kututoa hapa tulipo. Ndiyo maana mashujaa wetu sasa hivi ni watu waongo, wezi, wasanii, watu wa mipasho, waganga wa kienyeji na uozo kede kede uliopo. Itabidi aje Kiongozi kama malaika kuizindua Tanzania!!Huyo atakuwa ni mfanyabiara mjinga. Cha juu ni lazima kiwe within the target ya bei yako. La siyo utafukuza wateja wako. Sasa hii ya Trillion 360 to Billion 700 itakuwa ni akili ya jalalani tu.
Naona unabwabwa tu hapa kisa una chuki zako dhidi ya Lissu. Kama kinara wa majadiliano yale kwa upande wa Tz, Profesa Kabudi anakiri leo kwa kusema ile ripoti ilibeba uongo, uzushi na ulaghai, mimi na wewe ni nani tusikubali hayo?Wenye akili walimwelewa na hadi sasa wanamwelewa kabudi. Wajinga ndio hawaelewi.
Kuna kitu 'mbinu za majadiliano' kwa wale lazima kitu kielezwe kwa kingereza ndio wakubali kuna fani..negotiation skills, strategy etc, etc. Nendeni mkamueleze huyo kichaa lissu aliyediriki hadi kumdharau mwalimu wake wa sheria chuo kikuu Prof Kabudi.
Asingethubutu kusema...Angekwepo JPM angethubutu kusema hivyo au angeendelea na msimamo wake?
Ndiyo maana wanasema Mwanasiasa hatakiwi kuaminika, hata kama wakisema muda huu ni Giza jitahidi utoke nje kuhakiki
wala siyo billions 700...hiyo billions 700 wamepata billions 58 tu inayolipwa kwa installments nyingine wameambiwa itaanzisha kampuniya twiga na nyingine kufanya miradi ya kijamiiiKutoka trillion 360 mpaka bilioni 700! Hakyamama tumeonekana vilaza namba 1 duniani
Hawezi fungiwa sababu kinachoongelewa bungeni huwa kina privilege,Kama Professor alishiriki kuudanganya umma wa Watanzania,
Basi afungiwe jiwe kubwa na ATOSWE baharini.
Mkuu suala la kodi kumbambika lilikuwa la kawaida sana..Maana yake kuna kodi nyingi za wawekezaji na wafanyabiashara wanabambika tu
Kwa kweli, manake yule mwingine alijaribu kusema sema akaishia kupata majeraha ya Risasi na isingekuwa Rehema za Mungu saivi tungekuwa tunaongea mengineAsingethubutu kusema...
Angejaribu kusema angepotea au kutoweshwa tusijue alipo
@Moderator tuasaidie hii post kuifanya pinned katika kila post itakayo mzungumzia Magufuli na awamu ya tano. Itawasaidia sana watu kuelewa wana jadili mtu au utawala wa aina ganiHuu ni uthibitisho kwamba JPM alikuwa anaendesha nchi kwa ulaghai, utapeli, uzandiki, na propaganda. Alizungukwa na waongo na wanafiki, na yeye alipenda uongo na unafiki.
Ajabu mpaka Leo Kuna mijitu mijinga inaendelea kuimba ujinga wa awamu ya tano. Anajifanya kupambana na ufisadi huku pembeni ana Makonda, na Sabaya. Tenda za kujenga stiglers, sub contractors wote ni vikampuni vyake, pamoja na inner cycle yake. Wenye vikampuni hivyo ndio wanapiga mdomo sana kuhusu mradi, kwa sababu wamekaa pale wananyonya nchi. Akina polepole, ana kikampuni pale kina tenda, kinafiki anajifanya mzalendo kuupenda mradi, nyuma ya pazia ana kampuni inakula Hela zetu pale stiglers.
Stendi ya Magufuli Mbezi, kikampuni chake, kimevuta Hela, na stendi hakijaimaliza, inabidi Hela itafutwe kwingine, masoko mapya nchi nzima, stendi ya nyamhongolo, barabara za Kanda ya ziwa via mayanga construction, barabara ya kigoma inayojemgwa na nyanza road, kampuni ambayo ana hisa, imejengwa miaka zaidi ya 20 haiishi huku akiwa bize kufutia ukandarasi kampuni za wenzake.
Wafanyakazi anatimua timua huku wale wa Chato wakiajiriwa bila interview na kujazwa serikalini.
Uwanja wa ndege Chato, imejenga kampuni yake, hospitali ya Kanda Chato...endless list.
Hakuna utawala mchafu kama wa awamu ya JPM.
Miradi mingi ya ujenzi wa madaraja na barabara ni kampuni za JPM lakini alikuwa anawapachika wachina.
Oohh masikini na wanyonge, jitu limejaza matrilioni kwenye akaunti za Siri, mfugale anaulizwa hizi Hela vipi, badala ya kujibu, na yeye anakufa
Sasa hao jamaa wa mgodi wakaidai bilioni 700 ambayo waliilipa kupitia professorial rubbish
Kukiri kuwa hakuwa sahihi kuiita "JALALA" ORGANISATION TUKUKA SANA ALIYOITUMIKIA KWA MIAKA MINGI HADI AKASTAAFU, bado haoitoshi. Hekima ni kwamba anatakiwa sasa arudi tena kwenye organisation hiyo akawaombe msamaha viongozi wake waliopo kwa muda huu ikiwa ni pamoja na WAFANYAKAZI WOTE WA ORGANISATION HIYOKauli hii ya Profesa Kabudi inadhihirisha kuwa Lissu alikuwa sahihi Sana kwa sababu hata kama ni mbinu za kutaka mjadala, kwa wasomi kama maprofesa kutumia mbinu ya uongo "ulio dhahiri" kiasi hiki ulikuwa ni upungufu wa weledi.
Labda tuwasikie Wataalam wa daplomasia ya uchumi waje watufafanulie mbinu hii ya "Uongo mkubwa wa dhahiri" kama Lissu alivyokuwa "Profesorial Rubbish".
======
View attachment 2376614
- Asema zilikuwa mbinu za majadiliano, ataja tishio la Acacia
- Afafanua suala hilo limekwisha, atamtafuta mwigulu amweleze
- Atamba uamzi ule umeleta heshima, faida kubwa kwa nchi
- Asema alikosea kutumia neno jalala, asisitiza kibiblia ni sahihi.
Nukuu za Prof. Palamagamba Kabudi kwenye gazeti la leo la Jamhuri, Oktoba 4, 2022