Lissu alipinga mno zile ripoti huenda aliona kasoro ila akahukumiwa kumiminiwa risasi.
JokaKuu Tindo Mag3 zitto junior
Huenda Lissu hakuwa mbali sana na ukweli.
JokaKuu Mag3 zitto junior Nguruvi3 Tindo Pascal Mayalla
..Prof alipaswa kusema yalikuwa madai ya UONGO.
..kuna UONGO mwingine kuwa tutagawana na Barrick 50/50 ya faida / economic benefit.
..Kabudi atoke hadharani na kukiri na kutubu kuwadanganya Watanzania.
NB:
..Kabudi akawaangukie Lissu na Mzee Alute, kwani aliwahi kusema amesoma na ni rafiki wa Mzee Alute.
Cc Pascal Mayalla, Nguruvi3