mbingunikwetu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 13,897
- 18,477
data ulizotoa ni nchi tano tu. na hizo nchi sio zenye watu wengi hapo europe.Wamepokea wengi lakini wengi wameachana nazo kimyakimya kwa kuhofia kukorofishana na wakubwa. Hizo nilizopost ndio more recent! Chanjo zote za Uingereza na Marekani zimelalamikiwa. Na kwa kuwa nimezifuatilia kwa karibu na kwa taarifa za watu binafsi walioko huko. Hata wazungu wengi tu wamezigomea. Ndio wakaja na wazo la vaccine passports ili kuwashinikiza wote wachanjwe. Asiyechanjwa aendelee lockdown au azuiwe kutembelea public places. Hali ni tete hasa Uingereza!
Ingekuwa wakenya wamesema hayo tungekuwa bega kwa bega lkn tz aah watuache kwanza tunashuguli nyingi za kuvuna maindi kabla nzige hawajayaoteaMganga mkuu wa Serikali Prof Makubi amesema serikali imeunda tume maalumu ya wataalamu itakayofuatilia masuala ya chanjo ya Corona.
Prof Makubi amesema tume hiyo itafuatilia masuala ya msingi yahusuyo chanjo hizo kwa muda wote hadi pale serikali itakapojiridhisha kama itumie chanjo hizo ama la.
Chanzo: ITV habari
Maendeleo hayana vyama!
Unashangilia wakati huko zinakotoka wanasitisha matumizi baada ya kuanza kuwatoa roho?Hatimaye sayansi yashinda!
Maendeleo ya kweli hayajawahi kuibagaza sayansi!
Mnasikizaga na vyombo vya habari vya nje kweli? Wakati nchi kibao wanasitisha hizo chanjo ili zichunguzwe upya unaongea upuuzi so far duniani. Magufuli wa right and better than any president huwezi kimbilia chanjo kabla hujajua madhara yake in long run. Wenzako waliokimbilia sasa wanarudi kuanza utafiti upya na ni izo nchi zilizoendelea so saa nyingine kuliko kufanya maamuzi ya kukurupuka bora kusubiri kwanza usijejikuta unaua watu wengi zaidi kuliko ambavyo corona ingeuaHatimaye sayansi yashinda!
Maendeleo ya kweli hayajawahi kuibagaza sayansi!
Mwali keshalegea anatafuta pozi la kukubali tu ili asionekane malaya ...Mganga mkuu wa Serikali Prof Makubi amesema serikali imeunda tume maalumu ya wataalamu itakayofuatilia masuala ya chanjo ya Corona.
Prof Makubi amesema tume hiyo itafuatilia masuala ya msingi yahusuyo chanjo hizo kwa muda wote hadi pale serikali itakapojiridhisha kama itumie chanjo hizo ama la.
Chanzo: ITV habari
Maendeleo hayana vyama!
Sio lazima kuchanjwa watu wote bali ni makundi maalumSeriali ikubali ikatae,sitokaa nichome chanjo labda without my knowledge au kwa kushikwa kwa nguvu.
Maigizo tuu!Wanachokifanya ni kupoteza lengo tu, kiufupi wameshakubali na haitochukua muda utasikia kamati imejiridhisha chanjo itumike hapa bongo.
Kwanza korona ipo tz?Sasa hapo wamelegea kivipi? hata mwanzo Magufuri alionya wizara ya afya wasililete chanjo pasipo kujilidhisha, sasahivi wizara ndio imeunda timu ya wataharamu kuchunguza hiyo dawa ya chanjo,kujua kama inatufaa au la,sasa mbona sioni jipya la kusema kwamba wameregea tiyari,tusubiri majibu ya wataharamu.
Sisi tuna wataalamu ambao viwango vyao ni vya juu zaidi kuliko wanaozitengeneza chanjo, sasa kuunda time ya kufuatilia chanjo ambayo tulikwisha ikataa iliyotengenezwa na watu wa viwango vya chini ni kupoteza pesa bure.Mganga mkuu wa Serikali Prof Makubi amesema serikali imeunda tume maalumu ya wataalamu itakayofuatilia masuala ya chanjo ya Corona.
Prof Makubi amesema tume hiyo itafuatilia masuala ya msingi yahusuyo chanjo hizo kwa muda wote hadi pale serikali itakapojiridhisha kama itumie chanjo hizo ama la.
Chanzo: ITV habari
Maendeleo hayana vyama!
Mwisho, whatever happen TZ ndo itashinda as usual.Teh teh teh Mataga hamna tofauti na Kasuku,kila mlio mnaenda nao sambamba. Kazi mnayo awamu hii.
Wanachungulia journal la matibabu maarufu Lancent.The Lancet is a weekly peer-reviewed general medical journal. It is among the world's oldest and best-known general medical journalsJe hao wataalamu wako maabara wanatengeneza chanjo ya korona au wako google wanafatilia kujua chanjo ipi ya mabeberu inafaa kutumika Tz?
Ina maana Kagame aliyechomwa jana hakujiridhisha? Ni dawa gani ambay haina side effect!? Na ukipima manufaa ya wanapata kinga na wakapona na ambao wanakufa, mizani inakua wapi na faida kubwa?Wamepokea wengi lakini wengi wameachana nazo kimyakimya kwa kuhofia kukorofishana na wakubwa. Hizo nilizopost ndio more recent! Chanjo zote za Uingereza na Marekani zimelalamikiwa. Na kwa kuwa nimezifuatilia kwa karibu na kwa taarifa za watu binafsi walioko huko. Hata wazungu wengi tu wamezigomea. Ndio wakaja na wazo la vaccine passports ili kuwashinikiza wote wachanjwe. Asiyechanjwa aendelee lockdown au azuiwe kutembelea public places. Hali ni tete hasa Uingereza!
Watu ndio wanashindwa kuelewaSio lazima kuchanjwa watu wote bali ni makundi maalum
Toa hiyo alama ya kuuliza ibakiWashalegea?
ukipigwa bao lazima ulegeee.Washalegea?
Sipati picha yale macho sasa wakati anaeleza hiyo statement..Mganga mkuu wa Serikali Prof Makubi amesema serikali imeunda tume maalumu ya wataalamu itakayofuatilia masuala ya chanjo ya Corona.
Prof Makubi amesema tume hiyo itafuatilia masuala ya msingi yahusuyo chanjo hizo kwa muda wote hadi pale serikali itakapojiridhisha kama itumie chanjo hizo ama la.
Chanzo: ITV habari
Maendeleo hayana vyama!