MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,018
- 16,802
Wewe humjui MUHONGO...
UNLESS uwe umelipwa kuja kumuombea cheo Kwa mama...
Muhongo anazungumzia private investors..
Na private power producers na profit..
Haya mambo yatasababisha Umeme upande mara 20
Muhongo ni mtu hatari sana na wa kuogopwa kama ukoma
Muda wa cv uneisha tunaanza na kupuyanga ili tuone huu upande nao.Kwa CV yake tu huyu Profesa, Uweledi wake, Uzoefu wake na Uwezo wake mkubwa wa Akili nakubaliana nae tena kwa 100% juu ya huu Mtazamo wake.
Ni Rais Mpumbavu tu pekee ndiyo hatotaka kufanya Kazi na Mtu very competent kama Profesa Muhongo ambaye hata Mataifa Makubwa na yaliyotuzidi kila Kitu hadi Akili walifanya nae Kazi na sasa wanamtumia pia kama Independent Consultant katika Masuala ya Madini na Jiolojia pia.
Majungu dhidi yake hayasaidii ni Upuuzi.
Kabla ya kukosa umeme hayo mabadiliko yatafanya tukose fresh water...., kwahio kabla ya kukosa mwanga wa kuona huenda uhai utakuwa umetutoka...,Mabadiliko ya tabia nchi na uharibifu wa mazingira hauwezi kuiacha hiyo miradi ya maji salama. Tungewekeza kwenye wind na solar
Ni mke wa tatu unategemea nini?SSH ni dhaifu ndio maana kila mtu anajaribu kushawishi ujinga wake. Amefungalia mlango akitaka kuonyesha ana akili kumbe ameonyesha udhaifu wake.
Hapana mimi ni mnyonge, bahati mbaya tu Rais wangu amedanja! Ila alichokuwa anasema Prof. Muhongo kurudisha gharama zilizotumika kwenye umeme wa maji huchukua muda mrefu kutokana na gharama kubwa ya miundombinu tofauti na umeme wa gesi!Ahaaaa, wewe utakuwa ni fisadi.
Adui mkubwa sana wa umeme wa maji ni mazingira. Mvua zikigoma kunyesha na umeme hakuna. Kumbuka ule mkasa wa Richmond ulisababishwa na mabwawa ya maji ya kuzalisha umeme kukauka. Ni kweli umeme wa maji ni rahisi kuuzalisha lakini siyo wa uhakika kwa asilimia mia, hivyo kuwa na vyanzo vingine vya umeme ni muhimu.Kwa hiyo wewe profesa ulietetea wizi wa fedha za Escrow kwa nguvu nyingi mpaka ukatukana watu ni matumbili leo hii unapata wapi ujasiri wa kutuambia watanzania kuwa umeme maji unachelewa kuanza kuzaa faida na umepitwa na wakati?
Kwa hiyo huko Usa na China ambazo ni nchi zilizoendelea kwa kila namna wanapojenga Hydropower stations au kuendelea kutumia HEP kuzalisha umeme ni watu wasio na uelewa wa mambo?
Lini ilishawahi kutokea kupata nishati kama umeme ikawa ni fasheni ya kudai HEP imepitwa na wakati na sasa tutumie gas? Au unaleta dharau zako?
Hasira za wewe kufukuzwa uwaziri kisa tu ulishazoea kupiga madili makuwa hapo wizara ya nishati isiwe sababu ya kutuharibia mipango ya kukamilisha JNHPP. Kaaa kimya uendelee kutafuna posho za Escrow.
Wacha dharau wewe!SSH ni dhaifu ndio maana kila mtu anajaribu kushawishi ujinga wake. Amefungalia mlango akitaka kuonyesha ana akili kumbe ameonyesha udhaifu wake.
Hebu mwambie arudie kauli yake kuhusu fedha za Escrow
Hakuna nch inatuapa umeme wa solar hata kwa asilimia 20 tu ya mahitajiUnajua weakest link ya hizo solar na Wind ? STORAGE....
Jua linapowaka au upepo unapovuma unatengeneza umeme mwingi huenda kuliko mahitaji.., ila unapohitaji huenda hakuna jua wala upepo na kwa taarifa yako storage is expensive...
HEP pia inaweza kutumika kama battery mahitaji yakiwa madogo unapump maji mpaka kwenye bwawa la juu... yakiongeza unaachia maji yanashuka (hii ndio advantage kubwa ya HEP)
Alipohusika kuuza gas yetu ilikuwa ni sehemu ya weledi na uzoefu?
Muujiza gani amelifanyia taifa before JPM na after?
Ni nduguyo ama?
Ameshapitisha vibali vya kazi vitolewa kama karanga, ameshaonesha yupo tayari mkataba wowote kwenye LNG Lindi, kwenye Hellium gas, unataka kuona nini kuwa ameshawishiwa ujinga na kukubali ?Kushawishiwa ni jambo moja na kukubali ushauri ni jambo jingine
Wapo wana misimamo na akili timamu Ila SSH hana msimamo na anaongea mambo mazito kwa kukurupuka bila kuwa na uelewa nayo.Ni mke wa tatu unategemea nini?
Hebu tutajie hapa hayo mataifa makubwa
Yanamtumia huyu Dalali Muhongo
Weka evidence tafadhali
Tatizo una deal ma mtu inatakiwa ku deal na jambo ao ndio wataalamu wa masuala ya umeme level ya kiduniaKwa hiyo wewe profesa ulietetea wizi wa fedha za Escrow kwa nguvu nyingi mpaka ukatukana watu ni matumbili leo hii unapata wapi ujasiri wa kutuambia watanzania kuwa umeme maji unachelewa kuanza kuzaa faida na umepitwa na wakati?
Kwa hiyo huko Usa na China ambazo ni nchi zilizoendelea kwa kila namna wanapojenga Hydropower stations au kuendelea kutumia HEP kuzalisha umeme ni watu wasio na uelewa wa mambo?
Lini ilishawahi kutokea kupata nishati kama umeme ikawa ni fasheni ya kudai HEP imepitwa na wakati na sasa tutumie gas? Au unaleta dharau zako?
Hasira za wewe kufukuzwa uwaziri kisa tu ulishazoea kupiga madili makuwa hapo wizara ya nishati isiwe sababu ya kutuharibia mipango ya kukamilisha JNHPP. Kaaa kimya uendelee kutafuna posho za Escrow.
Dunia nzima inaenda kwenye nuclear, gas na solar. Sisi bado tumegomea kwenye majiKabla ya kukosa umeme hayo mabadiliko yatafanya tukose fresh water...., kwahio kabla ya kukosa mwanga wa kuona huenda uhai utakuwa umetutoka...,
Anyway watu hawalali wanatafuta mbinu kwanza za kutunza hizo renewables (storage) will be the key
Mitambo mibovu kama nn. Uendeshaji wke ni wa gharama kuliko kawaida imagine spea unatafuta USA na haiwez fika kw wakat.Usisahau kumuuliza swali
Kinyerezi kuna mitambo ya umeme wa gas iliyojengwa wakati wa uwaziri wake, je imetupunguzia gharama kwa kiasi gani hadi sasa?
Kuita watu Tumbiri sio Prof.Mhongo.Kwa hiyo wewe profesa ulietetea wizi wa fedha za Escrow kwa nguvu nyingi mpaka ukatukana watu ni matumbili leo hii unapata wapi ujasiri wa kutuambia watanzania kuwa umeme maji unachelewa kuanza kuzaa faida na umepitwa na wakati?
Kwa hiyo huko Usa na China ambazo ni nchi zilizoendelea kwa kila namna wanapojenga Hydropower stations au kuendelea kutumia HEP kuzalisha umeme ni watu wasio na uelewa wa mambo?
Lini ilishawahi kutokea kupata nishati kama umeme ikawa ni fasheni ya kudai HEP imepitwa na wakati na sasa tutumie gas? Au unaleta dharau zako?
Hasira za wewe kufukuzwa uwaziri kisa tu ulishazoea kupiga madili makuwa hapo wizara ya nishati isiwe sababu ya kutuharibia mipango ya kukamilisha JNHPP. Kaaa kimya uendelee kutafuna posho za Escrow.