Profesa Muhongo huna credibility ya kuwashauri watanzania kuachana na mradi wa JNHPP na usidanganye watu kuwa Hydro power zimepitwa na wakati

Profesa Muhongo huna credibility ya kuwashauri watanzania kuachana na mradi wa JNHPP na usidanganye watu kuwa Hydro power zimepitwa na wakati

Wewe humjui MUHONGO...
UNLESS uwe umelipwa kuja kumuombea cheo Kwa mama...

Muhongo anazungumzia private investors..
Na private power producers na profit..

Haya mambo yatasababisha Umeme upande mara 20

Muhongo ni mtu hatari sana na wa kuogopwa kama ukoma

Nawe umelipwa Tsh ngapi Kumpinga tu?
 
Kwa CV yake tu huyu Profesa, Uweledi wake, Uzoefu wake na Uwezo wake mkubwa wa Akili nakubaliana nae tena kwa 100% juu ya huu Mtazamo wake.

Ni Rais Mpumbavu tu pekee ndiyo hatotaka kufanya Kazi na Mtu very competent kama Profesa Muhongo ambaye hata Mataifa Makubwa na yaliyotuzidi kila Kitu hadi Akili walifanya nae Kazi na sasa wanamtumia pia kama Independent Consultant katika Masuala ya Madini na Jiolojia pia.

Majungu dhidi yake hayasaidii ni Upuuzi.
Muda wa cv uneisha tunaanza na kupuyanga ili tuone huu upande nao.


Kama ni cv hata ya lipumba iko juu lakini kama taifa hatuzihitazi cv zisizo na maana

Huyu huyu kwenye mauzo ya gesi alikuwepo hakuongea chochote, leo tuko 50% ndio anapanua domo.

Kwa ridhaa yangu leo bila kushinikizwa na mtu nimeamua kua miongoni mwa watu watakao sugua goti hii nchi itoke mikononi mwa serikali ya ccm
 
Mabadiliko ya tabia nchi na uharibifu wa mazingira hauwezi kuiacha hiyo miradi ya maji salama. Tungewekeza kwenye wind na solar
Kabla ya kukosa umeme hayo mabadiliko yatafanya tukose fresh water...., kwahio kabla ya kukosa mwanga wa kuona huenda uhai utakuwa umetutoka...,

Anyway watu hawalali wanatafuta mbinu kwanza za kutunza hizo renewables (storage) will be the key
 
Ahaaaa, wewe utakuwa ni fisadi.
Hapana mimi ni mnyonge, bahati mbaya tu Rais wangu amedanja! Ila alichokuwa anasema Prof. Muhongo kurudisha gharama zilizotumika kwenye umeme wa maji huchukua muda mrefu kutokana na gharama kubwa ya miundombinu tofauti na umeme wa gesi!
 
Kwa hiyo wewe profesa ulietetea wizi wa fedha za Escrow kwa nguvu nyingi mpaka ukatukana watu ni matumbili leo hii unapata wapi ujasiri wa kutuambia watanzania kuwa umeme maji unachelewa kuanza kuzaa faida na umepitwa na wakati?

Kwa hiyo huko Usa na China ambazo ni nchi zilizoendelea kwa kila namna wanapojenga Hydropower stations au kuendelea kutumia HEP kuzalisha umeme ni watu wasio na uelewa wa mambo?

Lini ilishawahi kutokea kupata nishati kama umeme ikawa ni fasheni ya kudai HEP imepitwa na wakati na sasa tutumie gas? Au unaleta dharau zako?

Hasira za wewe kufukuzwa uwaziri kisa tu ulishazoea kupiga madili makuwa hapo wizara ya nishati isiwe sababu ya kutuharibia mipango ya kukamilisha JNHPP. Kaaa kimya uendelee kutafuna posho za Escrow.
Adui mkubwa sana wa umeme wa maji ni mazingira. Mvua zikigoma kunyesha na umeme hakuna. Kumbuka ule mkasa wa Richmond ulisababishwa na mabwawa ya maji ya kuzalisha umeme kukauka. Ni kweli umeme wa maji ni rahisi kuuzalisha lakini siyo wa uhakika kwa asilimia mia, hivyo kuwa na vyanzo vingine vya umeme ni muhimu.
 
Brazil 65 ya umeme unazalishwa na maji
20210409_171209.jpg
 
Unajua weakest link ya hizo solar na Wind ? STORAGE....

Jua linapowaka au upepo unapovuma unatengeneza umeme mwingi huenda kuliko mahitaji.., ila unapohitaji huenda hakuna jua wala upepo na kwa taarifa yako storage is expensive...

HEP pia inaweza kutumika kama battery mahitaji yakiwa madogo unapump maji mpaka kwenye bwawa la juu... yakiongeza unaachia maji yanashuka (hii ndio advantage kubwa ya HEP)
Hakuna nch inatuapa umeme wa solar hata kwa asilimia 20 tu ya mahitaji
 
Kushawishiwa ni jambo moja na kukubali ushauri ni jambo jingine
Ameshapitisha vibali vya kazi vitolewa kama karanga, ameshaonesha yupo tayari mkataba wowote kwenye LNG Lindi, kwenye Hellium gas, unataka kuona nini kuwa ameshawishiwa ujinga na kukubali ?
 
Kwa hiyo wewe profesa ulietetea wizi wa fedha za Escrow kwa nguvu nyingi mpaka ukatukana watu ni matumbili leo hii unapata wapi ujasiri wa kutuambia watanzania kuwa umeme maji unachelewa kuanza kuzaa faida na umepitwa na wakati?

Kwa hiyo huko Usa na China ambazo ni nchi zilizoendelea kwa kila namna wanapojenga Hydropower stations au kuendelea kutumia HEP kuzalisha umeme ni watu wasio na uelewa wa mambo?

Lini ilishawahi kutokea kupata nishati kama umeme ikawa ni fasheni ya kudai HEP imepitwa na wakati na sasa tutumie gas? Au unaleta dharau zako?

Hasira za wewe kufukuzwa uwaziri kisa tu ulishazoea kupiga madili makuwa hapo wizara ya nishati isiwe sababu ya kutuharibia mipango ya kukamilisha JNHPP. Kaaa kimya uendelee kutafuna posho za Escrow.
Tatizo una deal ma mtu inatakiwa ku deal na jambo ao ndio wataalamu wa masuala ya umeme level ya kidunia
 
Kabla ya kukosa umeme hayo mabadiliko yatafanya tukose fresh water...., kwahio kabla ya kukosa mwanga wa kuona huenda uhai utakuwa umetutoka...,

Anyway watu hawalali wanatafuta mbinu kwanza za kutunza hizo renewables (storage) will be the key
Dunia nzima inaenda kwenye nuclear, gas na solar. Sisi bado tumegomea kwenye maji
 
Usisahau kumuuliza swali

Kinyerezi kuna mitambo ya umeme wa gas iliyojengwa wakati wa uwaziri wake, je imetupunguzia gharama kwa kiasi gani hadi sasa?
Mitambo mibovu kama nn. Uendeshaji wke ni wa gharama kuliko kawaida imagine spea unatafuta USA na haiwez fika kw wakat.
Muingo atulie tu aache uongo.
Toka aondolewe uwazir hajawai ongea kitu leoo ndioo anaibukaaa...
 
Kwa hiyo wewe profesa ulietetea wizi wa fedha za Escrow kwa nguvu nyingi mpaka ukatukana watu ni matumbili leo hii unapata wapi ujasiri wa kutuambia watanzania kuwa umeme maji unachelewa kuanza kuzaa faida na umepitwa na wakati?

Kwa hiyo huko Usa na China ambazo ni nchi zilizoendelea kwa kila namna wanapojenga Hydropower stations au kuendelea kutumia HEP kuzalisha umeme ni watu wasio na uelewa wa mambo?

Lini ilishawahi kutokea kupata nishati kama umeme ikawa ni fasheni ya kudai HEP imepitwa na wakati na sasa tutumie gas? Au unaleta dharau zako?

Hasira za wewe kufukuzwa uwaziri kisa tu ulishazoea kupiga madili makuwa hapo wizara ya nishati isiwe sababu ya kutuharibia mipango ya kukamilisha JNHPP. Kaaa kimya uendelee kutafuna posho za Escrow.
Kuita watu Tumbiri sio Prof.Mhongo.
Alikuwa ni Mwanasheria mkuu Jaji Werema.
 
Back
Top Bottom