Profesa Muhongo: Uchumi wa sasa duniani ni umeme wa gesi, umeme wa maji umepitwa na wakati

Mataga unapitia kipindi cha mateso ssna
 
Huu upumbavu wa kumjadili mtoa hoja badala ya kujadili hoja ndiyo umetufikisha kwenye huu upumbavu unaolitafuna taifa. Hebu mpinge kwa hoja zake labda unaweza kuwa na mawazo bora zaidi, vinginevyo shut up.
Siwezi shut up kwa fara huyo! Alipokuwa waziri kilimshinda nini kumshauri Jakaya atengeneze vinu vya gas vya kufua umeme badala yake akabariki IPTL walipwe 150M kila siku!
 
Hata Ethiopia wanaojenga Bwawa kubwa la Umeme hapa Afrika nao wanapoteza muda??

Huko China na Ulaya bado wana Hydro Power Plant kubwa tu...nao vp wazijunje??

Acheni kuchotwa akili na WANASIASA MATUMBO

..ethiopia hawana gesi asili ndio maana wanatekeleza mradi wa umeme wa maji.

..cag anadai mradi wa stieglers hauna ripoti ya upembuzi yakinifu, pamoja na ripoti ya mazingira.

..kwa maneno mengine, tumewekeza matrillion ya fedha bila kuwa na taarifa za kutosha za faida vs hasara, pamoja na changamoto za mradi wa stieglers.
 
Akichangia katika mpango wa maendeleo wa Serikali bungeni amesema anashangaa watu wanavyohangaika na umeme wa maji na huku dunia ya sasa ni umeme wa gesi...
Tundu Lissu, Lema na Chadema kwa ujumla mkitaka kuuwa legacy ya hayati rais Magufuli kwa watanzania itabidi ufanye yafuatayo.

Unapokula kichwa mradi wa umeme kutoka bwawa la Nyerere ambao umefikia 50% itabidi watuambie umeme tutatoa wapi?.

Unapokula kichwa serikali kuhamia Dodoma na kusema ni hasara itabidi wajieleze.

Unapokula kichwa reli ya kisasa ambayo inakaribia Makutupora itabidi wajieleze kwa watanzania hiyo Tanzania ya viwanda itawexekana vipi.

Unapokula kichwa ujenzi wa meli mpya kwenye maziwa makuu itabidi watueleze watatusafirisha na nini?

Wanapokula kichwa ndege zetu itabidi tuwawekee video za kina Heche ,Lema,Lisu wakitukana serikali iliyoshindwa kununua ndege

Watakaposema wachimbaji wadogo, bodaboda na mama ntilie wafukuzwe itabidi watueleze wanafanya haya kwa faida ya nani?

Watakapoamua zahanati na hospitali zote zilizojengwa na Magufuli zifungwe ,itabidi watueleze tutaenda kutibiwa wapi?

Watakaposema wamefuta elimu bure itabidi watueleze kodi zetu zinafanya kazi gani?

Watakaposema lazima watanzania millioni 60 wachanjwe, itabidi watueleze wao mpaka sasa
hawajachanjwa
Nyungu hawajapiga,
Hawajajifungia ndani wanaenda kazini kila siku
Mbona hawajafa na corona sasa?

Watakaohoji haya maelezo siyo Magufuli wala watoto wa Magufuli ni watanzania.

Anayedhani itakuwa rahisi kuuwa legacy ya Magufuli atakutana na nguvu ya uma.

Muda utaongea .
 
Akichangia katika mpango wa maendeleo wa Serikali bungeni amesema anashangaa watu wanavyohangaika na umeme wa maji na huku dunia ya sasa ni umeme wa gesi...
Wanasema ukweli.

Umeambiwa na CAG upembuzi yakinifu ulifanywa miaka ya 70. Haukufanywa mpya kujiridhisha kwamba mradi una manufaa makubwa kiuchumi. Tatizo lenu munawaza kizamani!

Zingatia hoja ya mtu. Siyo kupinga tu.
 
Akichangia katika mpango wa maendeleo wa Serikali bungeni amesema anashangaa watu wanavyohangaika na umeme wa maji na huku dunia ya sasa ni umeme wa gesi...
China wasingejenga three gorges , mambo ya inga dam pia yangesitishwa.
Na ulaya kwa kuwa hawana source za hydro power wanatumia umeme wa Nyukilia
 
#BUNGENI: Mbunge wa Musoma Vijijini, Prof. Sospeter Muhongo, ameishauri Serikali kuachana na miradi ya uzalishaji wa umeme wa maji kwani unachelewa kuleta faida, "Hydro kukupatia faida uwe umewekeza hela nyingi na unahitaji miaka upate faida ndio umeme wa maji uwe bei ya chini.

Profesa Muhongo ametoa kauli hiyo wakati akichangia kwenye mpango wa Serikali leo Aprili 9,2021 bungeni Jijini Dodoma.

Waziri huyo wa zamani wa Wizara ya Nishati na Madini amesema Tanzania kuendelea kuwaza kuhusu madini yaliyopo ni kuchelewa huku akikosoa mawazo ya kutegemea uzalishaji wa umeme mkubwa kwa kutumia maji.

“Kuwekeza katika umeme wa maji halafu unasema utaleta fedha, huko ni kujidanganya kwani umeme wa maji huchukua muda mrefu kuanza kutoa faida, huko wenzetu wamepita wanafanya mambo kisasa” amesema Profesa Muhongo.

#sparklight_tv #sparklight_tvupdates
 

Hawa si ndio walikuwa wanasifia "STEGOLAZI"?
 
Kwa ufahamu wangu, umeme wa maji ndio rahisi zaidi baada ya umeme wa nuclear. Angetoa takwimu bei ya unit moja ya umeme wa gesu inayozalishwa Tanzania kama kule Kinyerezi ni sh ngapi na ule wa maji kama kidatu/ hale ni shilingi ngapi.

Anadai eti itachukua miaka mingi kurudisha gharama, je hiyo gesi ya kusini imeisharudisha gharama? Tunapata faida? Au wawekezaji na mabenki yaliyotukopesha ndio wanafaidika? Miaka mingi ni mingapi kwa nini haitaj na kulinganisha na hiyo gesi anayodai ni michache,

Haya mashambulizi dhidi ya JPM inaonyesha yako coodinated, ukifuatilia kuanzia kule twita hadi kwa hawa jamaa. Inaonyesha yuko mtu anachezesha huu mchezo.
 

Kukauka kwa mabwawa? Hata gesi mbona ina mwisho wake! Huyu ni Prof fake kabisa!
 
maprofesss
Baba watanzania huwa tunadanganywa kulingana na wakati,hili la umeme wa gesi halijaanza leo lakini limetufikisha wapi, ulinganisho wa bei za umeme unaotokana na maji na gesi,MUHONGO watanzaniawa sasa sio kama wale wa kale huwezi kutudanganya tena,kumbe ndio maana mlikuwa mnajifukiza bungeni ili tusijue mnaongea nini! ndio maana yake hii sio kwa sasa tuko na wewe sambamba komea hapohapo, umeme wa kisasaaa bullshit.
Hydroelectric power is 0.85 cents per kilowatt-hour
In the U.S., hydropower is produced for an average of 0.85 cents per kilowatt-hour (kwh). This is about 50% the cost of nuclear, 40% the cost of fossil fuel, and 25% the cost of using natural gas.
 
Wazo lake ni Zuri sana,kutegemea umeme wa maji ni kujihatarisha hasa myakati za ukame mkubwa,tumesahau kuna kipindi tulitamani mvua za mabomu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…