Profesa Muhongo: Uchumi wa sasa duniani ni umeme wa gesi, umeme wa maji umepitwa na wakati

Prof Muhongo au Prof Muongo? Hivi hawa wanaojiita wasomi wanaisaidiaje Tanzania?
Napingana kabisa na Prof kwamba umeme wa maji hauna tija.
Umeme wa gas nao sio rahisi kama anavyotaka watu waamini. Maintenance ya gas plants ni gharama sana.
Diversity ni muhimu mno kwenye uzalishaji wa nishati. Yes umeme wa maji bado una tija kwetu kama Taifa.
Prof asije kufikiri nimesahau Escrow
 
Gas ilishauzwa kwa wachina tunaumilizi wa asilimia 30 tu ya gas yetu
 
Uchina ndiyo nchi yenye bwawa kubwa la kuzalisha umeme duniani kiasi ambacho limepelekea kupunguza kasi ya mzunguko wa dunia, ni moja kati ya vyanzo vikuu vya nishati vinavyotegemewa.
 
Alichoandika na ulichojibu unaona vinaendana? Shida ni elimu au ni uwendawazimu?
 

Si unafiki. Ni Magufuli pekee aliyekomalia miradi hiyo, na sisi wote tuliogopa kabisa kumpinga tusije kuonekana wasaliti au kumiminiwa risasi na wafuasi wake. Ila Muhongo amekuwa na msimamo huu miaka yote, na mara moja moja alikuwa anausemea.
 
Where the hell..are you Msukuma wangu Engineer why? Kwnn huyu mzee aliondoka katikati ya vita wakati mahindi yakiwa yametoa mbelewele but why?why?...kama dunia inatumia umeme wa gas hawa wapuuzi walikuwa wapi kumshauri?walimwogopa...kama ni wazalendo...wangeongea akiwa hai sasa mwendazake hayuko mnajidai kutikisa pu..u mlikuwa wapi?
 
Sio uanafiki anazungumza walichomshauri wakawa wanatukanwa
 
Stupid Professor!
Huyu ni pumbavu kabisaaa! Ethiopia wanajenga bwawa, Kuna grand Inga dam ambayo Afrika inalilia ikomboe tatizo la umeme. China ilijenga Three gorges dam 2006, the largest in the world. Yeye anatuletea mambo ya gesi inayoungua na kupotea! HAlafu atueleze nani atatoa pesa ya kuunguza gesi. Si wanajidai mambo ya C-footprint!

Huyu alipokaa hapo ghafla badala ya kuongoza madini ambayo ndo taaluma yake, ajkwa waziri wa umeme tu!!!!
 

Kwa CV yake tu huyu Profesa, Uweledi wake, Uzoefu wake na Uwezo wake mkubwa wa Akili nakubaliana nae tena kwa 100% juu ya huu Mtazamo wake.

Ni Rais Mpumbavu tu pekee ndiyo hatotaka kufanya Kazi na Mtu very competent kama Profesa Muhongo ambaye hata Mataifa Makubwa na yaliyotuzidi kila Kitu hadi Akili walifanya nae Kazi na sasa wanamtumia pia kama Independent Consultant katika Masuala ya Madini na Jiolojia pia.

Majungu dhidi yake hayasaidii ni Upuuzi.
 
Huyu prof ndio kaingia leo bungeni?. Wanasiasa wanafiki Sana.
 
maprofesss

Baba watanzania huwa tunadanganywa kulingana na wakati,hili la umeme wa gesi halijaanza leo lakini limetufikisha wapi, ulinganisho wa bei za umeme unaotokana na maji na gesi 1/3
huyu jqmqq nikimuonq live nitamlilia hadharani.
0.85 cents per kilowatt-hour

In the U.S., hydropower is produced for an average of 0.85 cents per kilowatt-hour (kwh). This is about 50% the cost of nuclear, 40% the cost of fossil fuel, and 25% the cost of using natural gas.
 
una ujinga mahali fulan, we unazan maisha yote utabak kuwa na maji tiririka?huon mabadiliko ya hewa dunian? acha kufanya mawazo ya kibogoyo bro

Ukitunza vyanzo vya maji, maji yataendelea kuwepo na hupungua kwa kiasi kidogo. Mbali na shughuli za kibinadamu kuharibu Mazingira, hata matumizi ya Non Renewable Energy huchangia uharibifu kwa kasi zaidi. Mimi nashauri twende na mradi wetu kama kawaida, kwanza uendeshaji wake ni nafuu, hivyo utatupunguzia gharama za kulipia, huku ukitengeneza faida kubwa tu.
Tukija kwenye umeme wa gesi, mpaka sasa haujatusaidia chochote, tumebaki kulia na gharama kuwa juu.
 
Hawa wezi hata kama ushauri wao ni sahihi, ni vigumu kuaminika.
 
Hapo sio sawa kwa sababu huo ni mtazamo wake, halafu tangia swali wapo waliopinga huu mradi. Kiukweli tuangalie Ukweli alichoongea Muhongo ni fact
 
Ndio maana Hayati alimpiga chini huyu msomi mapema kabisa.Na hakupenda mawazo mbadala kama haya.
 
Kwa maelezo yako wewe ni zaidi ya huyo professor wa jalalani barikiwa sana
 
Ethiopia wanajenga Bwawa kubwa la umeme halafu huyu anatuambie tuachane na maji,mfano kwa gas ipi tuliyonayo?,hii hii tu waliopewa wachina?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…