USSR
JF-Expert Member
- Jul 15, 2015
- 10,904
- 26,184
Wizara ya Elimu imesema kuwa inaandaa utaratibu wa kuruhusu wanafunzi waliobeba mimba wakiwa masomoni kuendelea na masomo kwani ni haki yao ya msingi.Haki hiyo ya msingi inatajwa kuzuiwa kipindi cha uongozi wa awamu ya tano.
Profesa Joyce Ndalichako amesema haya...
Kwenye upande wa watoto wa kike, serikali iko makini kuhakikisha watoto wa kike wanapata elimu na ndio maana kupitia fedha za mkopo wa Benki ya Dunia) tumetenga fungu kwa lengo la kumuendeleza mtoto wa kike.
Tumeweka utaratibu kwa watoto waliopata ujauzito kuendelea na masomo yao kupitia njia ya elimu mbadala, kama ameacha akiwa kidato cha kwanza anaweza kusoma kupitia njia ya elimu mbadala na akifaulu mtihani wa kidato cha pili aturudi katika mfumo wa kawaida
Kama mtoto wa kike aliacha shule akiwa kidato cha tatu, kisha akifanya mtihani wake na kufaulu mtihani wa kidato cha nne, atapata fursa sawa na kupangiwa shule sawa na yule aliyekuwa shuleni kulingana na ufaulu wale waliokuwa shuleni
My take: Sasa sio ushu kumbebesha mimba mwanafunzi maana atasoma tu.
USSR
Profesa Joyce Ndalichako amesema haya...
Kwenye upande wa watoto wa kike, serikali iko makini kuhakikisha watoto wa kike wanapata elimu na ndio maana kupitia fedha za mkopo wa Benki ya Dunia) tumetenga fungu kwa lengo la kumuendeleza mtoto wa kike.
Tumeweka utaratibu kwa watoto waliopata ujauzito kuendelea na masomo yao kupitia njia ya elimu mbadala, kama ameacha akiwa kidato cha kwanza anaweza kusoma kupitia njia ya elimu mbadala na akifaulu mtihani wa kidato cha pili aturudi katika mfumo wa kawaida
Kama mtoto wa kike aliacha shule akiwa kidato cha tatu, kisha akifanya mtihani wake na kufaulu mtihani wa kidato cha nne, atapata fursa sawa na kupangiwa shule sawa na yule aliyekuwa shuleni kulingana na ufaulu wale waliokuwa shuleni
My take: Sasa sio ushu kumbebesha mimba mwanafunzi maana atasoma tu.
USSR