Profesa Ndalichako: Wanafunzi waliopata mimba kuendelea na masomo kwa njia mbadala

Profesa Ndalichako: Wanafunzi waliopata mimba kuendelea na masomo kwa njia mbadala

Kazi iendelee!!! Mataga mpoo?!!!
russ.png
 
Safi sana, hii ni common sense

Kosa la kupeana utamu haiwezekani hukumu yake ikawa ni kufukuzana shule.

Kiungo ni cha mwanafunzi, raha kale yeye, mimba kapata yeye sasa wewe serikali inakuuma nini? —Wewe mpe elimu ije imsaidie yeye na mwanae!

Serikali iache kutafuta shortcut kwenye kutafuta suluhisho la mimba utotoni, Kumnyima mtoto elimu ni kubaya zaidi kuliko hiyo dhana ya kubeba mimba shuleni!
 
Hii si sawa kulingana na kizazi tulichonacho,km ni mpango uwe mpango haswa,vngnevyo hii issue itaharibu wanafunzi kwani inawafanya wasiwe na cha kupoteza,u boyfrend na u girlfrend utatamalaki mashuleni...
 
Miaka chini ya 18 = amebakwa sio maamuzi yake ndio maana sheria ikasema chini ya miaka 18 ni ubakaji....kwa sababu amebakwa sio akili yake ndio maana pia sheria zinamlinda apate haki yake ya elimu na vitu vingine kama watoto wengine chini ya 18yrs....kumfukuza shule atakua hajatendewa haki...na ni kama tukio alilifanya makusudi....
 
Hiyo ni ngumu kidogo. Tuseme serikali inaratibu na kugharamia ndoa za hawa wasichana wahanga. Si itaonekana wagharamie pie ndoa za wavulana, ili kutenda haki? But seriously, siyo haki kusitisha masomo kwa msichana kisa amepata ujauzito. Huo ni unyanyasaji uliopitiliza. Mindset aina hii ni za kibaguzi, kiume na kibinafsi
Hujaelewa dhihaka nyuma ya alichoandika..amepinga na kuonesha kutokubaliana na uamuzi huu wa serikali ambao kimsingi unaenda kubariki zinaa na uvunjifu wa maadili kwa kuondoka kwa ile hofu ya kufukuzwa shule. Nami nasema serikali igharamie kabisa gharama za huduma ya mama na mtoto kipindi cha na baada ya ujauzito ili " kuwatia zaidi moyo" mabinti. Mzee Magu kaondoka sasa nchi "inafunguliwa kweli kweli"
 
Hujaelewa dhihaka nyuma ya alichoandika..amepinga na kuonesha kutokubaliana na uamuzi huu wa serikali ambao kimsingi unaenda kubariki zinaa na uvunjifu wa maadili kwa kuondoka kwa ile hofu ya kufukuzwa shule. Nami nasema serikali igharamie kabisa gharama za huduma ya mama na mtoto kipindi cha na baada ya ujauzito ili " kuwatia zaidi moyo" mabinti. Mzee Magu kaondoka sasa nchi "inafunguliwa kweli kweli"
Nimeelewa vizuri sana dhihaka, na mie nikaongeza dhihaka, na baadaye nikasema "seriously". Naelewa vizuri hoja ya maadili na zinaa. Nikwambie kitu, tunatakiwa kuzama zaidi ili kupata SULUHU mujarab. Shida hapa ni zinaa, na hasa zinaa ya kizembe.

Sasa, mimba ni matokeo ya zinaa. Zinaa inahitaji wawili. Tunatakiwa kuadhibu wafanya zinaa, lakini sio kuvuruga maisha yao, na kwa hakika, hatutakiwi kuwanyima haki ya msingi. Hata muuaji aliyehukumiwa kifo, bado ana haki za msingi. Elimu ni haki ya msingi. Kumwadhibu msichana eti kwa kuwa ndio amekutwa na mimba, ni uvivu wa kufikiri. Mimba yenyewe tu ni adhabu tosha.
 
Nimeelewa vizuri sana dhihaka, na mie nikaongeza dhihaka, na baadaye nikasema "seriously". Naelewa vizuri hoja ya maadili na zinaa. Nikwambie kitu, tunatakiwa kuzama zaidi ili kupata SULUHU mujarab. Shida hapa ni zinaa, na hasa zinaa ya kizembe.

Sasa, mimba ni matokeo ya zinaa. Zinaa inahitaji wawili. Tunatakiwa kuadhibu wafanya zinaa, lakini sio kuvuruga maisha yao, na kwa hakika, hatutakiwi kuwanyima haki ya msingi. Hata muuaji aliyehukumiwa kifo, bado ana haki za msingi. Elimu ni haki ya msingi. Kumwadhibu msichana eti kwa kuwa ndio amekutwa na mimba, ni uvivu wa kufikiri. Mimba yenyewe tu ni adhabu tosha.
Kumfukuza ni deterrent kudhibiti zinaa..sasa bila detterent si ni fungulia mbwa sasa?
 
Ilikuwa ni suala rahisi tu. Wamepeana mimba wapewe muda wakalee.. mnamrudisha mtu arudi shule akasome wakati yeye amechagua kufanya reproduction? Mnasema ni haki yake kusoma.

Sasa kwa nini mumfunge mtu ambaye amempa mimba mwanafunzi? Ikiwa mwanafunzi huyo hakubakwa na ni haki yake kushiriki ngono? Anaweza kupata hamu ya kufanya na akakubali kufanywa kwa nini mje muonea mtu mwingine kumfunga miaka 30?

Anayeenda pata mimba kama hakubakwa huyo ni mkosaji. Mi nmeshawaambia kabisa mabint zangu. Wakipata mimba ntawaruhu waende kwa mwanaume mhusika wakaanze maisha.

Kuna watu wengi wanataka kusoma so wapewe nafasi. Na waotaka ku practise mazoezi ya ndoa nao wapewe nafasi wakafanye hayo huko huko. Wakimaliza kama wataenda kusoma Private schools its ok tena kwa kurudia darasa husika.

Adhabu ya mimba iwe kwa wote kama wote ni wanafunzi. Kama mmoja ni raia basi kipindi ambacho mwenzie analeleWa na wazazi wake ikiwa yeye hawezi kulea awekwe ndani.

Kuna mambo ambayo ni ya kitamaduni,mila na desturi.tusifuge ubovu. Hili nliliunga mkono kabisa. Maadili yetu yasivurugwe. Tunakoelekea haya maswala ya haki hata ushoga utasemwa ni haki ya mtu na matumizi ya mwili wake.
 
Haahaa waliwatukana kina zitto weeh. Na halima, leo wanaanza kukiri wenyewe
 
Kuna wakati inabidi kama wazazi na jamii tuache siasa kwenye malezi na kuwa wakweli japo maumivu yapo.

Ukweli ni kwamba binti akipata mimba ameingia rasmi kwenye jukumu zito la malezi.

Wakati tunaangalia haki ya huyu binti kuendelea na masomo tuangalie pia haki ya hiki kiumbe alichokileta duniani haswa katika umri mdogo kabisa ambapo anamhitaji mama zaidi ya kitu chochote kile

Sijasema mtoto akipata mimba asisome tena ila kuna hata ya kiwepo kwa sheria za kumlinda mimba ikiwa tumboni na kumlinda mtoto anayezaliwa pia. Tusimwangalie aliyepo tukamsahau na kumnyima haki anayekuja.... hao wote ni watoto ila katika rika na uhitaji tofauti

Tuwaambie watoto wetu kuzaa ni jukumu zito ili wajue kwamba ni bora kusubiri wamalize masomo
 
Sasa unApochanganya machakaramu na mabinti vigoli ndo shida inapoanza...


Mtoto form 2 lakini haogopi mb*o ukimuuliza hamna shida nitaendelea na shule...

Neno haki uwaga linatumika kuharibu maadili sana kwenye dunia hii..

Kusoma sawa ila elimu ya watu wazima si kuchanganya mtoto wa miaka 13 na mzazi...

Nadhani serikali ingeweka sheria mwanaume akikutwa miaka 30 na binti akikutwa mwaka 1 tu a.k.a miezi 6.Hawa mabinti inabidi wafungwe speed governor msidhani walimu au masela wanapenda kuwabutua hovyo navyo vimekuwa na mihemuko ya kupenda mashine za kaka na baba zao.

Vitoto vinaangalia mambo mazito mitandaoni,vinahisia kweli kweli.Kitoto kinakuuliza kaka flani nikusindikize?ukikiambia ndio kinaanza story za shule mixer kujiona kikubwa ukikiita dogo kinakataa hakitaki.Sasa ukiwa na moyo mwepesi
 
Jambo zuri sana. Jiwe aliturudisha zama za mawe kama jin lake.
 
Back
Top Bottom