Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,926
- 95,626
🐒🐒🐒
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ataenda KaperinaumKiburi cha Tulia siku likimpasukia wanaomtuma watamwacha pekeyake
Sasa mbona mahakama haijawafukuza ubunge?Nani kazungumzia Chadema! Yeye anazungumzia watu kudharau uamuzi wa mahakama, sheria na kanuni kuwa ni fedheha kwa taifa.
Mahakamani walikwenda kujadili kufukuzwa uanachama wa chadema sio UBUNGE WAO.hii michezo haiitaji hasira NI KUCHEZA NA AKILI TUMipumbavu kama wewe ni hatari sana
Nionavyo mie wao sio kosa lao Bali mamlaka ya bunge kwani mtu anaweza kuamka Leo kuingia bungeni na kuruhusiwa?Hatua ya wabunge 19 kuendelea kuhudhuria vikao vya Bunge licha ya maombi yao kupinga kufukuzwa uanachama na CHADEMA kutupiliwa mbali na Mahakama ni aibu na fedheha kwa Bunge.
Prof. Safari anasema hawa watu wanapaswa kukamatwa kwa kudharau uamuzi wa Mahakama
Chanzo: Gazeti la Raia Mwema, Ijumaa 24 June 2022View attachment 2270268
Ukiachana na wateule wa Rais, Mbunge lazima awe sponsored na chama. Bila backup ya chama, ubunge unapaswa kukoma palepaleSasa mbona mahakama haijawafukuza ubunge?
Wao walikwenda kupinga kufukuzwa uanachama wa chadema sio ubunge wa viti maalum
Wasitumie nembo ya Chadema, Ni hili tu. Waende kwa nguvu ya CCM hakuna atakaye Tia nenoHv chadema wanapata hasara kiasi gani hawa wabunge wakiwepo bungeni.?
Speaker dhaifu.Nionavyo mie wao sio kosa lao Bali mamlaka ya bunge kwani mtu anaweza kuamka Leo kuingia bungeni na kuruhusiwa?
Sijakataa ila tujiulize hao akina mdee walipelekwa na nani huko bungeni?.Ukiachana na wateule wa Rais, Mbunge lazima awe sponsored na chama. Bila backup ya chama, ubunge unapaswa kukoma palepale
Kama siyo chadema wanapotoa hoja na wanapoingia bungeni wanawakilisha nani? Ha hawana majimbo ila majimbo yao wote ni ya Chato na Kongwa kupitia chama wanachokijua wao. Kama ni Chadema wasingekubali kuapishwa nje ya Bunge. Kuapishwa nje ya bunge ni batili. Pili kama walikana ushindi wa CCM kwenye majimbo yao? sasa wanamwakilisha nani?Kwani chadema ndo imewapeleka bungeni?
Huwezi elewa kaka. Subiri mke wako achepuke (kama umeoa), umtimue halafu aolewe na mdogo wako au one of your family member..utapevuka hapo....Hv chadema wanapata hasara kiasi gani hawa wabunge wakiwepo bungeni.?
Hao wanajiwakilisha wenyewe na matumbo yao.Kama siyo chadema wanapotoa hoja na wanapoingia bungeni wanawakilisha nani? Ha hawana majimbo ila majimbo yao wote ni ya Chato na Kongwa kupitia chama wanachokijua wao. Kama ni Chadema wasingekubali kuapishwa nje ya Bunge. Kuapishwa nje ya bunge ni batili. Pili kama walikana ushindi wa CCM kwenye majimbo yao? sasa wanamwakilisha nani?
Mimi sina chama ila ni mwananchi ninayeumia kwa kodi tunazolipwa na ukifuatilia kiasi gani wanapewa posho, mishahara na marupurupu mengine ali wakijua chama chao hakitambui uwepo wao bungeni. Ndo maana wakafukuzwa uanachama. Yawezekena wali wote walioingizwa bungeni ni robo yao tu au watatu waliokuwa wameshinda majimboni kwao.hao wanajiwakilisha wenyewe na matumbo yao.
Ila nilishawashauri chadema waachane na hao akina mdee waendelee na maisha yao.
Mtavutana mpaka lini?
Kuna watu wanawakingia kifua waacheni.jipangeni na 2025
Kazi ya kufukuza ubunge si ya mahakama, mahakama hutafsiri sheria tu, pia Chadema haiwezi kutaka wafukuzwe ubunge, wao huishia kwenye kuwakana uanachama wa Chadema.Sasa mbona mahakama haijawafukuza ubunge?
Wao walikwenda kupinga kufukuzwa uanachama wa chadema sio ubunge wa viti maalum
Sasa shida inakuja wapi?Kazi ya kufukuza ubunge si ya mahakama, mahakama hutafsiri sheria tu, pia Chadema haiwezi kutaka wafukuzwe ubunge, wao huishia kwenye kuwakana uanachama wa Chadema.
Kumbukeni kuna mbunge mmoja alitoka Chadema akahamia CCM na kupokelewa na kadi ya CCM akapewa lakini akaambiwa aendelee kuiwakilisha CCM!
Lawama kwa marehemu magufuli.mtifuano wore huu yet ndo chanzo.chadema wanagombana BUREMimi sina chama ila ni mwananchi ninayeumia kwa kodi tunazolipwa na ukifuatilia kiasi gani wanapewa posho, mishahara na marupurupu mengine ali wakijua chama chao hakitambui uwepo wao bungeni. Ndo maana wakafukuzwa uanachama. Yawezekena wali wote walioingizwa bungeni ni robo yao tu au watatu waliokuwa wameshinda majimboni kwao.
Hivi hamjui kama uwepo wa kina Mdee bungeni wanavunja sheria?
Adui ujinga CCM wameshindwa kabisa kumuondoa.
Kwa jinsi unavyo shupalia issue hii, sina shaka we' ni mmoja wapo wa hawa COVID 19. Hivyo mlivyokwisha kula, vinatosha! Na sina shaka, kuondoka kwa MWENDAZAKE, ninyi mliumia/ mnaumia kuliko hata MAMA JANETH!Hv chadema wanapata hasara kiasi gani hawa wabunge wakiwepo bungeni.?
Well said well said.Jina lako linaakisi mawazo yako. Prof. Safari anazungumzia mtu ambaye analipeleka kesi kuwa aendelee kuwa alipon mahakama inasema asiwepo lakini anaendelea kuwepo.
Kuna sehemu yoyote Prof. Safari kataja Chadema. Ungekuwa una hata robo ya uwezo ungejua Chadema ndio iliwafanya wawe Bungeni, labda walipelekwa na mtu mwingine - lakini Chadema ilipotaka watoke wakapeleka kesi mahakamani wakisema wako pale kwa niaba ya Chadema (wakipinga kufukuzwa uanachama!)
Pathetic!
Ukimuona kobe juu ya mti ujue amepandishwaHatua ya wabunge 19 kuendelea kuhudhuria vikao vya Bunge licha ya maombi yao kupinga kufukuzwa uanachama na CHADEMA kutupiliwa mbali na Mahakama ni aibu na fedheha kwa Bunge.
Prof. Safari anasema hawa watu wanapaswa kukamatwa kwa kudharau uamuzi wa Mahakama
Chanzo: Gazeti la Raia Mwema, Ijumaa 24 June 2022View attachment 2270268