Profesa Safari: Halima na wenzie wanapaswa kukamatwa kwa kuidharau Mahakama

Profesa Safari: Halima na wenzie wanapaswa kukamatwa kwa kuidharau Mahakama

Hatua ya wabunge 19 kuendelea kuhudhuria vikao vya Bunge licha ya maombi yao kupinga kufukuzwa uanachama na CHADEMA kutupiliwa mbali na Mahakama ni aibu na fedheha kwa Bunge.

Prof. Safari anasema hawa watu wanapaswa kukamatwa kwa kudharau uamuzi wa Mahakama

Chanzo: Gazeti la Raia Mwema, Ijumaa 24 June 2022View attachment 2270268
Pia hii ni aibu kwa bunge. Lina jidhalilisha. Tangu mwanzo bunge limejidhalilisha na linaendelea kuonyesha udhaifu wa hali ya. Juu
 
Hatua ya wabunge 19 kuendelea kuhudhuria vikao vya Bunge licha ya maombi yao kupinga kufukuzwa uanachama na CHADEMA kutupiliwa mbali na Mahakama ni aibu na fedheha kwa Bunge.

Prof. Safari anasema hawa watu wanapaswa kukamatwa kwa kudharau uamuzi wa Mahakama

Chanzo: Gazeti la Raia Mwema, Ijumaa 24 June 2022View attachment 2270268
Akamatwe kwanza Spika fake
 
Kwa jinsi unavyo shupalia issue hii, sina shaka we' ni mmoja wapo wa hawa COVID 19. Hivyo mlivyokwisha kula, vinatosha! Na sina shaka, kuondoka kwa MWENDAZAKE, ninyi mliumia/ mnaumia kuliko hata MAMA JANETH!
Huyo anamtetea mpare mwenzake Halima
 
1656057237331.png
 
Kiburi cha Tulia siku likimpasukia wanaomtuma watamwacha pekeyake
Nyie ni malimbukeni yaani ujitoa mlichosoma shule huwezi hata kuvuka barabara kwani hukumu imetokaje kama una akili kweli? Hapo kwa taarifa yako shauri limetupiliwa mbali kwakuwa kina makosa kisheria Wana muda wa siku kumi na nne kurekebisha na kurudi kwenda kuendelea na shauri ccm Ina Wana Sheria wabobevu Kila kinachofanyika wanajuwa sasa wewe ni nani wa kutaka wasiingie bungeni?
 
Nchi haiendeshwi kibwege inaendeshwa kwa Katiba
Huyo katiba mngekuwa mnaijua mngeanzua kwanza kwenye hiyo saccos ya mbowe chadema hii ya nchi Iko level ya juu sana kwenu hamuiwezi mnawivu wa kijinga sana hamuoni ya kuzunguzmza mmkekalia kina halima na kesi inarudiahwa haikaisha makosa yanarekebishwa kesi inaendelea na ndiyo maana wanaendekea kuingia bungeni
 
Yaani hapo hamna wakili mnamoiga dili tu kibatala Hana chochote kumbuka kesi ya gaidi mbowe alivyokuwa hajui Sheria Kila pingamizi anakoweka anakwama hivi nyie chadema mpaka muambiweje ndiyo muamini kibatala ndiyo angemsababishi mbowe kufungwa maisha kama siyo zitto na she mkuu kumuombea kwa mama amuachie?
 
Back
Top Bottom