Uhakiki
JF-Expert Member
- May 18, 2017
- 7,288
- 7,704
Duuuuuhwafanyabiashara ni nyoko. usikute wamechanga hata 500m yakatoa ili kupenyeza watu wao jikoni.
Sent from my TECNO KA7O using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duuuuuhwafanyabiashara ni nyoko. usikute wamechanga hata 500m yakatoa ili kupenyeza watu wao jikoni.
Sio tu kuwa ni ni sekta bina bali ni watu wenye historia mbaya kwa kuwaibia watanzania kupitia kampuni zaoLeo nimesikia kwenye mkutano wa viongozi wa TANESCO na waziri kwamba shirika lijiendeshe kibiashara.
Unajiuliza, tanesco msingi wa uanzilishwaji wake ilikua ni nini, quality service delivery ama profit oriented?
Kama waziri anataka Tanesco ijiendeshe kibiashara, itakuwa ngumu watu kuunganishiwa umeme. Ndio maana serikali ilikuja na hoja ya 27000 kwa kila mtu ili kuongeza uunganishwaji kwenye umeme.
Waziri kwa unafiki mkubwa anasema sasa shirika liko mikono salama, utafikiri waliokuwepo wote walikua wezi. Huu ni udhalilishaji.
Maama sijiu kama anafikiria kwa kweli yaan kwenye kufanya appointment utafikiri anafunga macho na kuchagua basi tu mwenye kupata anapataInafikirisha pasipo kuwa na jibu, how this happened??? Mtu aliye na direct interest to be in such a position??
Kweli hili halikuonekana??
Haya mambo ukiyawaza sana unaweza pata stroke,
Majizi yote kama haya yaliyoteuliwa ,,yaliwahi kuuza TTCL na hera zake zikaanzisha celtel ambapo baadaye jamaaa akaenda kuwa ceo wa celtel na ttcl unqkufa kifo cha mende..hao wauawe tu hata mimi nigewauq tu..so kulqlqmika kwako hakusaidii..kwanza magufuri alitqkiwa kiwapoga shaba majizi yoteMagufuli alikuwa shetani ameondoka na damu nyingi sana za watu adhabu yake anatakiwa maiti yake imwagiwe tindikali au ichomwe na gesi ipotee kabisa kwa ardhi ya nchi hii.
Do huu mfano wako nimecheka sana japo kwa maumivuKwa mfano ungekuwa na bucha ungempa fisi aisimamie?
Mungu fundi anajuwa Haki iko wapi ndo maana akamuondoa jiwe fastaMajizi yote kama haya yaliyoteuliwa ,,yaliwahi kuuza TTCL na hera zake zikaanzisha celtel ambapo baadaye jamaaa akaenda kuwa ceo wa celtel na ttcl unqkufa kifo cha mende..hao wauawe tu hata mimi nigewauq tu..so kulqlqmika kwako hakusaidii..kwanza magufuri alitqkiwa kiwapoga shaba majizi yote
Umesahau na watu wa vyeti fyeki .ndo huwa mara nyingi wanamtusi sana hayati maana wanataka kula bila jashoDamu za majambazi/mafisadi na wagonjwa waliokufa kwa kukosa kufanyiwa operation kisa mgao wa umeme zipi nyingi…
Rex attorneys ilishakufa , mama ana firm kwa sasa inaitwa ENS Africa.Msomi wa kiwango cha kimataifa wa Tanzania, Profesa Shivji ameshangazwa na kitendo cha wafanya biashara kuchaguliwa kuongoza taasisi za umma.
Shivji anasema sekta ya umma haiwezi kuchangamana na sekta binafsi.
Sisi wengine tumeshangazwa na uteuzi wa wafanya biashara na watu wenye maslahi binafsi kwenye bodi ya TANESCO. Yule mama Balozi ndie mwanzilishi mwenza wa kampuni ya Rex Attorneys ambao wanaiwakilisha Dowans na Symbion kwenye kesi ambazo TANESCO inashitakiwa na hayo makampuni halafu anateuliwa kuwa board member.
"Pamoja na kushirikiana na sekta binafsi, huwezi kuwaingiza wafanyabiashara jikoni wakupikie chakula cha umma!
Sekta ya umma na sekta binafsi hazilinganiki. Ni kweli huwezi kuendesha biashara kama idara ya serikali; pia ni kweli huwezi kuendesha serikali kama kitengo cha biashara."
Unaweza kusoma mwenyewe hapa.
View attachment 1954110
Sawa, hongera zako we mwenye nazo!Akili umekosa ndio nachoweza kusema
Rex attorneys ilishakufa , mama ana firm kwa sasa inaitwa ENS Africa.
ThanxMkuu kwani hujui Trump ana kesi ya kukwepa kulipa kodi,alitumia cheo cha uraisi kukwepa kulipa kodi kibao na aliposhtukiwa akayaka ang'ang'anie madarakani ili apate kinga ya kutopelekwa mahakamani. Unapoteua mtu kama mtoto wa Bakhresa kwenye bodi ya Tanesco maana yake makampuni yake yaanzae kupata upendeleo maalumu,pia unapomteua aliyekuwa wakili wa kampuni za kitapeli zilizoinyonya Tanesco maana yake nini huyu February ni mpigaji wa juu kwa juu, sasa tunaona team ya wapigaji wakirudi kwa nguvu,Shivji yupo sahihi.
Kama ndio msomi mzima unajenga hoja dhaifu kama ivi na unajiita msomi ,nakushauri kaanze kusoma upyaNaomba nielimishwe kidogo, hilo lipo katika katiba au ni mawazo binafsi ya Shivji? Yule Trump aliyekuwa Rais wa Marekani ana biashara dunia nzima, Vipi nchi iliathirika na ubiashara wake au ya kule nisiyahusishe na huku kwetu wenye nyeusi ngozi?
Mbowe ni mfanyabiashara na aliwahi kugombea uraisi, vipi km angepata Prof Shivji angekuja na maoni haya pia?!!
Oh!Mbona ilishawahi kutokea hapohapo Tanesco? Kuna Bosi mmoja make wake ndiye aliyekuwa anapewa Tender mbalimbali hapo kwenye Shirika. Na ilifanyiwa kazi. Hii inaitwa "Conflict of interest". Ni kosa kubwa. Ni sawa na Uhujumu uchumi.
Sijawahi kujitangaza msomi ndugu, na sijafanya hivyo sababu sina elimu yenyewe kiukweli. Hapa, na ukosefu wangu wa elimu, nitabaki nakushangaa tu msomi wewe unayeshindwa kumuelewa mtu anayesema, 'naomba nielimishwe'. Huoni utaleta mashaka kwa watu kuwa pengine na wewe hamna kitu ndo maana umekimbilia huko matusini kujificha?!!Kama ndio msomi mzima unajenga hoja dhaifu kama ivi na unajiita msomi ,nakushauri kaanze kusoma upya
Wewe ni kati ya watu wengi ambao hawakuelewa Professor alichosema. Kwa kifipi ni kuwa hakukataa katiba mpya ila alitoa tahadhari. Nimesikitika sana umemshambulia wakati hana kosa lolote. Kwa kifupi jua kwamba CCM kwa sasa (soma Msoga gang) wanatumia udhaifu wa watanzania kutotaka kusoma na kutafakari mambo kwa kina kuposha alichosema Pr. Shivji.Halafu hichi kiprofessa juzi juzi kilikuwa kinapayuka eti Tanzania haihitaji katiba mpya kwa sasa. Sijui bado kitaendelea kuamini hivyo?
Ngoja tuendelee kupigwa mpaka akili ziwakae makada wa kijani wajinga wajinga ndio waamke.
Mama Samia, January Makamba na Msoga gang endeleeni hivyo hivyo kuupiga mwingi, pigeni pesa haswaa, msirudi nyuma, mpaka makada walie.
Si sahihi kuilinganisha tz na marekani.wenzetu wako so defined lkn hapa kwetu kila mtu anawaza kupiga.ni sahihi Kama mtu ana interest na shirika unampaje ubodi member?Naomba nielimishwe kidogo, hilo lipo katika katiba au ni mawazo binafsi ya Shivji? Yule Trump aliyekuwa Rais wa Marekani ana biashara dunia nzima, Vipi nchi iliathirika na ubiashara wake au ya kule nisiyahusishe na huku kwetu wenye nyeusi ngozi?
Mbowe ni mfanyabiashara na aliwahi kugombea uraisi, vipi km angepata Prof Shivji angekuja na maoni haya pia?!!
Katiba haiwezi beba kila kitu mkuu kila siku katiba katibaNaomba nielimishwe kidogo, hilo lipo katika katiba au ni mawazo binafsi ya Shivji? Yule Trump aliyekuwa Rais wa Marekani ana biashara dunia nzima, Vipi nchi iliathirika na ubiashara wake au ya kule nisiyahusishe na huku kwetu wenye nyeusi ngozi?
Mbowe ni mfanyabiashara na aliwahi kugombea uraisi, vipi km angepata Prof Shivji angekuja na maoni haya pia?!!
Msoga gang ni kirusi hatari kama watanzania wasipotafakari kwa kinaWewe ni kati ya watu wengi ambao hawakuelewa Professor alichosema. Kwa kifipi ni kuwa hakukataa katiba mpya ila alitoa tahadhari. Nimesikitika sana umemshambulia wakati hana kosa lolote. Kwa kifupi jua kwamba CCM kwa sasa (soma Msoga gang) wanatumia udhaifu wa watanzania kutotaka kusoma na kutafakari mambo kwa kina kuposha alichosema Pr. Shivji.
Binafsi naona hazieleweki.... na umeme wanaunganishiwa watu wa mjini tuJe kwa uhalisia gharama za kuunganisha umeme ni kiasi gani?
Haipo hii mzee, partners walikua kina jaji Mwandambo. Na wengine