Profesa Shivji: Mkataba wa Bandari unaegamia zaidi upande mmoja na hauna ukomo wa muda. Hauwezi kuvunjwa kwa sababu zozote zile

Najiuliza sana!

Inawezekanaje Profesa Shivji awe mwanasheria na azijue sheria kumzidi mbobezi wetu wa sheria ndugu Zembwela?!

Kwamba mnataka niamini Shivji ni nguli wa sheria kumzidi Maulid Kitenge!

Eti Profesa Shivji ana mzidi kudadavua sheria za mikataba mwana sheria mbobezi wa sheria za mikataba ndugu Msigwa?!

Acheni kuniaminisha ujinga atiii!

NB: Mod, andiko langu ni swali tafadhari msiuunganishe ili niweze kupata majibu.
 
Mbona huelezi mara mbili Profesa Shivja kasema anaongea laakini "hana ushahidi"?

Unafahamu maana yake nini kisheria?
 
Kwamba kuwe na amani huku taifa linaibiwa? Non sense.
 
Mbona huelezi mara mbili Profesa Shivja kasema anaongea laakini "hana ushahidi"?

Unafahamu maana yake nini kisheria?
Unawaza nini? Unataka kusema hajausoma huo mkataba.
 
Ma expert wa evaluation za mikataba zembwela na mwenzake hao ni manguli!!
 
Taifa limebarikiwa kwa kuwa na Rais mwanademokrasia haswa[emoji123][emoji2956][emoji2956]

Ingewezekanaje kwa Jaji Mugasha kuikosoa "presidential decree" iliyo chini ya Rais asiyeheshimu sauti za wakosoaji ?!!!

Majaji wanajua kuwa taifa linaendeshwa vyema kidemokrasia na uhuru wa kutoa mawazo.....

Jaji Mugasha analijua hilo fika[emoji120]

#SiempreJMT[emoji120]

#AbarikiweChifuHangayaAmen[emoji120]
 
Shivji hajaona kifungu cha 5:4?


Wazi kabisa kinasema miezi 12 au ile miezi 12 mkataba uliiweka pale ya nini?


Nyinyi hata mki spin vipi, mkataba ni mwema sana kuliko mikataba yote tuliongia nchi hii.
 
Watawala hawawezi kukuelewa mzee.., raia tunashukuru sana tunapata elimu mpya kila kukicha. Japo waelimishaji mnaitwa wapotoshaji mara wachochezi.
 
Umemsahau Kitenge na Hando wanasheria wabobevu wa mambo ya mikataba.
 
Unawaza nini? Unataka kusema hajausoma huo mkataba.
Nimeuliza swali, kwanini arudie hayo mara mbili?

Na kasema wazi siuongelei mkataba wote ntaongelea vifungu kumi tu.

Maana yake ni simple, kauli yake haina mashiko ya kujadiliwa kisheria. Au haelewi mkataba wa kibishara.


Unajuwa kwenye sheria, huwezi kuandika au kusema chochote cha maana kama hujapitia vifungu vya sheria.

Hapo kaulizwa kama msomi lakini yeye karuka "kimanga" kuwa asichukuliwe "serious" hana ushahidi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…