Toa umavi wenu wakise....nge... Mnafikiri watu wajinga kama nyie.... Huyo kikwete unaysema hapa ni tapeli na fisadi papa.Huyo toka alipofinywa na Kikwete sakata la Ruge na Singa na Beni ya Kanisa, basi imekuwa nongwa, naona hajapata usingizi mnono siku nyingi sana.
Na sakata la bandari ndiyo limemuumiza kabisa, alikuwa na pesa zake nyingi kawekea kwa mhaya mwenzake, Karamagi, aliyekuwa na shares TICTS.
Tunamfahamu huyo, hatupi shida.
Wewe na jipya lipi? Wakati Wazazi wako wanaishi kwa kuunga unga kule kijijiniTibaijuka hana jipya
Kati ya Wahaya, Wakatoliki/ Wakristo na Wanyakyusa, ni nani unawachukia zaidi?
Libarikiwe jina la yule Mungu wangu pamoja na Ibrahimu,Isaka na YakoboNoted🙏🙏
Bt tukinyamaa kabisa nani ujumbe wa may 2024 utawafukiaje watu Ili wajinasue na kadhia ijayo?
Ni vizuri kusema bila kujali watachukua hatua au kunyamaa!!
Bt Asante Kwa ujumbe murua, nautunza CIA🙏🙏🙏
Basi jeshi la polisi limekuwa halijui wajibu wakeSamia lazima atambue watanganyika wamegoma kugeuzwa watumwa ndani ya nchi yao, hata kama wakitumia jeshi la polisi kutulazimisha, the fact is very simple and clear, tumegoma.
Karne hii ya sasa kitendo chochote cha kuwafunga watu midomo kinakuonesha vile ulivyo mjinga, utafanikiwa vipi?
Tuna wasomi wa kila aina, tena wanaokuuliza maswali ya ujinga wako mpaka unashindwa kuwajibu, heshima tuliyonayo sharti tuilinde siku zote, tukiichezea tukaipoteza asilaumiwe mtu kwa ujinga wa mwingine, imeandikwa kila mmoja ataubeba msalaba wake.
Sasa kama walipiga mpunga kwanini hawako jela?Nakumbuka kikwete aliwatetea kwamba pesa sio za serikali!Magu ndio alikuja kuwashughulikia!Kakisema nini zaidi ya utumbo tu? Anaongelea mkataba wa uwekezaji, kuna mkataba wa uwekezaji tayari? Uko wapi?
Amekaa anadanganya tu. Jiulize kwanini adanganye? Huyo mama mmesahau uongo wake? Alitiliwa mamilioni kwenye akaunti yake na habinder singh, akadanganya haya ya shule. Shule haina akaunti?
Kikwete akamfinya kiduchu, akamwambia mama usijiaibishe zaidi ni heri ukae kimya. Mwamba alivyokuwepo alikuwa kimya kaufyata, sasa anaona kapata pa kupumulia anaanza tena kuongea utumbo.
Mchawi bando+lughaProfesa Tibaijuka alipeleka sakata la bandari kidunia
View attachment 2717356
Eeh bwana wewe, yeye alipewa cha juu tu.Sasa kama walipiga mpunga kwanini hawako jela?Nakumbuka kikwete aliwatetea kwamba pesa sio za serikali!Magu ndio alikuja kuwashughulikia!
Magu(Mwamba kama ulivyomuita) pia alivyokuwepo,huu ujinga aliufutilia mbali!Mpiga deal wa msoga ndio dalali kwenye hii issue!
Bibi buwaanaHuyo toka alipofinywa na Kikwete sakata la Ruge na Singa na Beni ya Kanisa, basi imekuwa nongwa, naona hajapata usingizi mnono siku nyingi sana.
Na sakata la bandari ndiyo limemuumiza kabisa, alikuwa na pesa zake nyingi kawekea kwa mhaya mwenzake, Karamagi, aliyekuwa na shares TICTS.
Tunamfahamu huyo, hatupi shida.
Amen ubarikiwe pia, Mishale ya adui isikupate,Libarikiwe jina la yule Mungu wangu pamoja na Ibrahimu,Isaka na Yakobo
Tibaijuka hana jiipya
Huo utumbo ndio muujibu kwa hoja na sio kuleta mambo mengine yasiyohusiana kabisa!Eeh bwana wewe, yeye alipewa cha juu tu.
Lakini point, hapo anaongea utumbo tu.
Sasa kijana, anna hapo anaongelea kataba wa uwekezaji, wewe umewahi kuuona u kuusikia mkataba huo?Huo utumbo ndio muujibu kwa hoja na sio kuleta mambo mengine yasiyohusiana kabisa!
No wonder remote(Dalali) anataka 2025 huyu mama apite bila kupingwa!
Kina nani nyie Bibie? Warembo wengine au? Profesa wa kimataifa sio jalalani, na mzamivu haswaa 🤩. Sasa wewe ungepangua hoja badala ya insinuations na character thrashing. Uwezo unao mrembo!Huyo toka alipofinywa na Kikwete sakata la Ruge na Singa na Beni ya Kanisa, basi imekuwa nongwa, naona hajapata usingizi mnono siku nyingi sana.
Na sakata la bandari ndiyo limemuumiza kabisa, alikuwa na pesa zake nyingi kawekea kwa mhaya mwenzake, Karamagi, aliyekuwa na shares TICTS.
Tunamfahamu huyo, hatupi shida.
Kwahiyo issue ni jina kwamba makubaliano au mkataba!Unanikumbusha kipindi cha Rushwa na Takrima!Sasa kijana, anna hapo anaongelea kataba wa uwekezaji, wewe umewahi kuuona u kuusikia mkataba huo?
Naona majizi ya Bandari zetu mmejipanga kwa uzushi. Hamuoni aibu kumtetea huyo mwaaeabu wenu DPw ambaye watanganyika wamemkataa?Huyo toka alipofinywa na Kikwete sakata la Ruge na Singa na Beni ya Kanisa, basi imekuwa nongwa, naona hajapata usingizi mnono siku nyingi sana.
Na sakata la bandari ndiyo limemuumiza kabisa, alikuwa na pesa zake nyingi kawekea kwa mhaya mwenzake, Karamagi, aliyekuwa na shares TICTS.
Tunamfahamu huyo, hatupi shida.