Profesa Tibaijuka alipeleka Sakata la Bandari duniani

Poapoa tumekusikia. Haya jibu hoja zake.
Hoja zake zip? na alianza na hoja ya Dubai ni mshindami wetu kweny transhipment.

Yaani hapo hata mkataba hajasoma naona ,mara karukia huku .

Tumia tu akili mtu kila siku anatafuta weakness mara aje na hoja hii mara ile ,tambua kuna kitu zaidi .

😅😅
 
Jibuni hoja anazozijenga siyo kuanza kutafutana sijui kafinywa na nani, sijui nongwa. Pangueni hoja kwanza
 
“By criminalizing public criticism of the port deal, the Tanzanian authorities are clearly trying to snuff out dissent. The government should instead enable the public to engage in discussions of all matters of public interest, including the UAE port agreement, and ensure all aspects of the agreement are transparent to ensure the public’s meaningful engagement......."
 
Vitu vingine hupasw hata kunegotiate issue ya juz ya escrow then unasema mtu alikua anavaa nepi!! Halaf jihadist cjui kwann kichwan hua watupu!!
Maana unataka kujifanya huelewi kuhusu benki ya kanisa iliyotumika kuingiziwa pesa na kuzigawa. Naona umeshakumbuka.

Huwa sikisii.
 
Ndo hoja zinavyojibiwa kwa charracter assassination?

Kuna tatizo kubwa kwenye huu mkataba kwa sababu serikali inatumia msuli kupambana na wakosoaji na hata nyie mnaooshi kwa bahasha za khaki mmeonesha namna ambavyo serikali isivyoweza kuwa na capacity ya kudadavua ama kujibu hoja za wanaopinga contents za mkataba huo mbovu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…