Pendaelli
JF-Expert Member
- Feb 13, 2014
- 11,050
- 31,412
My be, na pale Morogoro hospitali nani alizembea,maana. Mission ndio ilienda kumalizikia paleWenyewe wanasema ilikuwa uzembe wa traffic
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
My be, na pale Morogoro hospitali nani alizembea,maana. Mission ndio ilienda kumalizikia paleWenyewe wanasema ilikuwa uzembe wa traffic
Ova
Ila mikito ninayompa bimkubwa wako ni ya kibabe akikusikia unanikashifu lazima utaokota makopo.Bila shaka bado mibangi ipo kichwani na hapo unajiona upo kuzimu.
Marehemu namfahamu lakini wewe dogo sikujui😎 RIP.Wengi kama siyo nyie ni wake zenu ambao mumeshahudumiwa na pengine kufanyiwa upasuaji na dokta ambaye yuko maji.
Nawashangaa mnavyorudia hiyo kauli kinafki kama kawaida ya unafki wa kitanzania.
Huyo ni mlokole mnafki FYISamahani waungwana wote mnaotumia kinywaji pendwa cha mbege,alinivuruga huyu pimbi mnafiq Jo chapombe asiyejua kununua pombe anaishi kwa offer.
Sitaki unijuwe wtf. Na wala sina haja ya “kukujuwa” if you know what I mean…Marehemu namjua lakini wewe sikujui😎 RIP.
Una majibu wewe [emoji1]Marehemu namjua lakini wewe dogo sikujui[emoji41] RIP.
Alimwambia 'gubika'. Kufunika hata wale watasha wangeelewa .Kawawa Funika Kikombe [emoji23][emoji23]
Kuwa mwanga sio lazima upae na ungoKumbe huyu mwamba alikuwa hai mimi nilijua alishavuta kitambo
Tayari kigololi kimeshakushuka .Kuwa mwanga sio lazima upae na ungo
Siri ni ya mtu mmoja,kama na wewe umeipata siyo siri tena.Huyu mwamba alimfanyia postmortem sokoine akakuta shaba sema ikawa siri kali
Oooooh sawa malafyale nimekupataJames Shaba na kaka yake Austin Shaba wamekulia Tukuyu na James Shaba kasoma Mpuguso.
Wao ni watu walizaliwa nasikia Mtwara au Makawi, baba yao alilosea Tukuyu..
Kipindi unapiga kozi gani hapo IFM? BANKING?Tulikuwa tunapata naye kinywaji pale IFM canteen, alipapenda sana
RIP Shaba
Alikuwa mlinzi kumbe?Wakati huo Mwenyekiti wako anakagua wageni bot
Na walikuwa wanamuogopa sana kwa sababu alikuwaga anatembelewa na akina Makongoro Nyerere 😂😂
Na sina haja ya kukujua kabisa dogo.Sitaki unijuwe wtf....