pumba pumba pumba,pumba ndefu kampotosha nani wakati katoa maoni.kama umekula chanjo baba jiandae kuwa zombi.usitufokee
 
Vipi kuhusu watu ambao wamekufa kwa corona, wao immunity yao ilikosewa?

Kwa hiyo tufunge mahospitali na kila mtu ajitibu kwa immunity yake?
kwani ameshauri ki2 gani mwaka jana tulifanya nn na mwakahuu jee
 
Ushawishi mkubwa coz Coronavirus ni pandemic pia ni airborne disease,hawa virus wana ambukiza from human to human,
Nobody is safe until everyone is safe.
kama hutaki kuambukizwa na unahisi chanjo ndo suruhisho kachanjwe.ili uwe zombi peke yako unataka uwe zombi na nan?
 
kama hutaki kuambukizwa na unahisi chanjo ndo suruhisho kachanjwe.ili uwe zombi peke yako unataka uwe zombi na nan?
Niliyemquote kaelewa,wewe endelea kufuga ujinga na akili zako za kushikiwa.
 
Eleza vizuri apuuuzwe kwa maelezo gani? Mbona yy kaeleza vizuri tyuuu wengine mnashindwa nn kueleza yenu.
 
Haya ameshasoma maoni yako binafsi hata mimi nakushauri usichanjwe
 
Mimi si mshabiki wa Askofu Gwajima. Lakini nakubaliana naye kwa ishu ya chanjo. Ni mtu mjinga pekee ndio anaweza kubali Chanjo.

Mungu hakosei kuhusu immunity aliyomuumba nayo mtu. Why chanjo now?
Mpaka Sasa umechanjwa chanjo ngapi?
 
We mwenyewe huna hizo akili utawezaje kwenda na hili swala kiakili!
Zipo taasisi/kampuni zitaweka sera ya kuchanja wafanyakazi wao wote kwa lazima. Najua serikali wanasoma maoni yetu, utolewe muongozo utaosimamia raia wake juu ya uhuru/hiari kushiriki hizi chanjo.

Twende na hili swala kwa akili!
 
"Tumerithi nchi yenye kuruhusu mijadala, ndiyo maana Askofu Gwajima anatumia haki yake ya kusema. Lakini ukiwa na maadili kidogo tu na ukajua nafasi yako kwenye jamii, utajitenga na uongo na kusimama na ukweli, kwa sasa utajua ukiwa una ushawishi basi utashawishi watu vibaya! " -

Mh. Hamis Kigwangala
 
Marekani , Canada na nchi za Europe, kuna vikundi vya watu na vikundi vya madakatari wanao pinga chanjo . na hutoa elimu ya kuwa chanjo ni mbaya. huandaa mpaka maandamano ya kupinga chanjo.
Hakuna aliyekamatwa au kutukanwa.

Tanzania sie tupo katika sayari ipi hata tufike huko kusema gwajima akamatwe , gwajima msaliti nk
 
Wanabodi

Nimemfuatilia Askofu Gwajima na kauli zake juu ya chanjo ya Corona nika-conclude kwa Askofu huyu ni gaidi.

Serikali inafanya jitihada za kuokoa wananchi wake wakiwemo waumini wake yeye anafanya jitihada za watu kufa wakiwemo waumini wake. Tuiteje Hali hiyo kama si ugaidi Tena mkubwa?

Kwa nini kama hachanji ahamasishe watu kutochanja ilhali Mkuu wa nchi AMEWAHAKIKISHIA wananchi wake usalama? Anapingana na Mamlaka? SSH mchukulie hatua kali Gwajima. Kwanza avuliwe uanachama wa CCM, pili ahusishwe na magaidi, tatu akaguliwe akaunti zake benki kama hatakatishi fedha kupitia kanisa!
 
Siyo kwamba anaexercise freedom of expression?
 
Mpinge kwa hoja sio vituko. Tupo wengi tu hatukubaliani na chanjo, sio kila kitu alichoanzisha mzungu ni kizuri.

🔴DAKTARI BINGWA APINGA CHANJO 'CHANJO HAIPATIKAN KWA MIEZI 2" AWATAKA WATANZANIA KUAMAKINI KUCHANJWA - YouTube

 
Watu wanabugia dawa za kuongeza nguvu ambapo hajui ni mchanganyiko wa vitu gani
Hapo hapo akiugua anaenda kudungwa sindano bila kuhoji ilitengenezwa lini na utafiti ulifanyika lini

Acha tuone mwisho wake maana hakuna anaelazimishwa
 
Mimi si mshabiki wa Askofu Gwajima. Lakini nakubaliana naye kwa ishu ya chanjo. Ni mtu mjinga pekee ndio anaweza kubali Chanjo.

Mungu hakosei kuhusu immunity aliyomuumba nayo mtu. Why chanjo now?
Mkuu naweza kukubaliana na wewe, lakini kwenye mstari wa mwisho hapana. Kweli Mungu katuumba na immunity, lakini kama unadhani immunity tuliyoumbwa nayo inatosha.

Je kwa nini tunaugua na wewe mwenzetu hujawahi kabisa kuchanjwa? Nadhani tusitumie kigezo cha immunity tuliyoumbwa nayo kutosha bali tubaki na hoja ya chanjo ya corona
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…