KingCobra95
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 3,249
- 5,863
Gwajima ("Askofu" sio "Daktari")ni anti-Mrna vaccine au ni anti-vaxx in general?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na yeye mwenyewe au wazazi wake wali sainishwa kwamba ikitokea matope ni juu yaoPumbavu kabisa, hapo ulipo umejaa makovu ya chanjo za surua, ndui, TB na polio u ulizochanjwa na mama yako kabla akili yako haijajaa matope.
Na hizo chanjo nyingine, vipi au unadhani ipo hii tu.Mimi si mshabiki wa Askofu Gwajima. Lakini nakubaliana naye kwa ishu ya chanjo. Ni mtu mjinga pekee ndio anaweza kubali Chanjo.
Mungu hakosei kuhusu immunity aliyomuumba nayo mtu. Why chanjo now?
Nenda we na familia yenu sisi watanzania hatutaki chanjoShime Watanzania wenzangu TWENDENI TUKACHANJWE!
#KingaNiBoraKulikoTiba
#TuchanjeTuikingeJamii
#KaziIendelee
#NchiKwanza
Jamaa ni kichwaMimi nimesikia anauliza na kujijibu
1.nikichanja navaa barakoa?..ndio
2.nikichanja naweza kuambiza?...ndio
3.nikichanjwa naweza kuambukizwa?...ndio
4.sasa nachanjwa ili iweje?
Tafiti huwa zinapingwa kwa tafiti,Gwaji kafanya tafiti yeyoteGwajima asikilizwe, ajibiwe kwa hoja, kumpuuza Gwajima ni Upuuzi.
Gwajima ana hoja nzito sana ajibiwe kitaalamu.
Kwani wale waliopo Birmingham (Marekani) wanasemaje?Gwajima aheshimiwe na watu wote, tayari Ana cash kubindoni ya kununua treni ya umeme[emoji586].
Tena wananchi wote wa Kawe atawapeleka Marekani na kila mwananchi atamnunulia boat [emoji569] ya kisasa ya uvuvi
Gwajima ameokoka "amempa Yesu maisha yake " na kwa imani ya Walio okoka Yesu naponya kila kitu pale unapo omba kwa imani.
HivyoGwajima amezungumza kwa imani na yupo sahihi kwakuwa Biblia yao inasema hivyo, kuwa na imani utapona.
Sema tu kosa la Gwajima ni YUPO PALE KWA WIZI WA KURA.
Na chanjo yake ilishatengenezwa kabla variant hajatokeaHiki kirusi kipya ni hatari zaidi ya kilichopita tujiandae, hii ni Cha nne sijui Cha tano na sita vitakuwaje.
View attachment 1868643
Unaweza kujibu hoja ya kwanini korona haikuja miaka 10 tanzania ndo ije saivi baada ya JPM kufa unaweza kujibu swali la hivyo kwa mtu mwenye PhD ya theology ..??Gwajima asikilizwe, ajibiwe kwa hoja, kumpuuza Gwajima ni Upuuzi.
Gwajima ana hoja nzito sana ajibiwe kitaalamu.
Humu kuna watu hawana ubongo kabisa yan, watu wasipate chanjo coz wana kinga ya asili mwilini seriously?Vipi kuhusu watu ambao wamekufa kwa corona, wao immunity yao ilikosewa?
Kwa hiyo tufunge mahospitali na kila mtu ajitibu kwa immunity yake?
gwajima anapendaga tu ajadiliwe, hakuna zaidi ya hapoYoshua 10:21ndipo hao watu wote wakamrudia Yoshua maragoni huko Makeda salama; hakuna mtu awaye yote aliyetoa ulimi kinyume cha hao wana wa Israeli.
Mimegundua niliposoma Biblia kwamba Askofu Gwajima anakwenda kinyume na mafundisho ya Biblia.
Unaona jinsi ambavyo kwamba hakuna mtu aliongea maneno mabaya kuhusu Wana wa Israel.
Sasa kwa nini yeye anakwenda kinyume na maagizo ya serikali kuhusu corona?.