#COVID19 Propaganda za Chanjo ya COVID-19: Askofu Gwajima apuuzwe
brazaj, haya ni maigizo tu, hao wametumwa na CCM kututoa kwenye mjadala wa vitu muhimu kama tozo za miamala, kupanda kwa Bei ya mafuta, Kodi ya majengo, mjadala wa katiba, kesi ya kubambikizwa ya MBOWE etc

Kiranja Mkuu ninakusoma vyema. Hii ilikuwa gesture tu ya kuwapa "a benefit of doubt."

Ndiyo maana uzi ule una sentensi 4 tu (plain) moja katika huzo ikiwa subject.

Tutambuane, Nani ni Nani katika Kudai Katiba Mpya

Kwa MBOWE na katiba mpya huko hawamtoi mtu!
 
Basi kuna shida! Watazuiaje tafiti, wakati tunahitaji chanjo ama tiba ya ugonjwa huu.? Kwa hiyo maelezo ya watafiti wetu wanakaribia kupata chanjo ni yakutilia mashaka?

Mzee74 ebu liweke saw hili.

Karibu.

Maelezo ya kuwa watafiti karibu wanapata chanjo ni katika jitihada zile zile za kupoteza maboya ili kuwapa watu matumaini hewa.

IMG_20210822_164210_583.jpg


IMG_20210725_012351_122.jpg


Nyani ni wale wale, bali pori.
 
Ni ajabu kupita kiasi kwa mtu kushabikia hiki kiitwacho "chanjo" katika enzi ya leo ambayo taarifa zimejaa tele kwa kila kitu unachotaka kufahamu. Basi angalau fanya search ya haya machache upate pa kuanzia:
  • HUMAN 2.0,
  • GREAT RESET,
  • ID2020,
  • WO2020060606
Korona ni kisingizio tu - lengo ni JINGINE KABISA. Ni hiyo sindano. Waliochoma wengi wanaanza kujuta na bahati mbaya, it's too late for them.
 
Mimi si mshabiki wa Askofu Gwajima. Lakini nakubaliana naye kwa ishu ya chanjo. Ni mtu mjinga pekee ndio anaweza kubali Chanjo.

Mungu hakosei kuhusu immunity aliyomuumba nayo mtu. Why chanjo now?
Kwa hiyo immunity aliyotupa Mungu inatosha kabisa kupambana na corona ila maradhi mengine haitoshi tuendelee kupata chanjo na kumeza dawa kujikinga na kujiponya? Je hawa wanaokufa kwa corona vipi? Mungu hakuwapa immunity?
 
Kwanza nilitamani sana huyu mtu anayejiita Askofu akamatwe na vyombo vya dola kisha ahojiwe kuhusu tabia yake ya kwenda kanisani na kwenda kuwadanganya Watanzani kua chanjo si salama wakati anajua kabisa kua kila chanjo inayotolewa na serikali imejiridhisha.

Huyu mtu anarudisha juhudi za serikali nyumba ikiwa Mhe Rais alitamka wazi kua sisi siyo kisiwa hatuwezi kujitenga na na dunia, mpotoshaji moja anasoma na kumdhihaki Mama eti anashadadia pesa za Bilgate kweli?

Eti anaombea madaktari wanahimiza na kuchanja watu wafe,huyu mtu ni chizi si mzima. Na atakufa yeye kwanza Corona tunamuombea kama yeye anavyoombea watu.

Gwajima anajifanya yeye mtu wa Mungu wakati ameiba kura za ubunge mchana kweupe dunia inajua, anapata wapi Moral authority ya kunyooshea watu vidole mtu huyu wakati anakula vya halamu? Chama tunajua kuwa aliiba kura na ushindi wake ni haramu tumemnyamazia na akiendelea tutamuumbua.

Huyu mtu ni wa kupuuza anaendelea kurudisha mapambano ya serikali nyuma, lakini akiendelea hivi akamatwe. Hawa ndio waliompotosha mzee kwa kiasi kikubwa tukajikuta tumeingia katika matatizo makubwa. Hivyo kabisa na wapuuzwe. Pesa za Bilgate ndio nini? Kwani Corona haipo?
Ccm + askofu/sheikh + doctors nani wa kumwamini kwa sasa,
 
Ni jambo la kukera sana pale viongozi wanapolazimisha watu kufuata mikumbo bila kutumia akili. Ama ni kuwafanya kwamba watu hao hawana haki, au uwezo wa kufikiri na ama kujibinafsisha nafsi za watu wengine ambalo ni kosa kwa Mungu. Kibaya zaidini ile picha ya wapiga debe wa ccm wa mitandaoni ambao ni dhahiri elimu zao ni za chini, wanapolazimisha watu wafuate mikumbo, na hata kuzuiliwa kutoa maoni boreshi kwa maslahi ya taifa na ama mtu binafsi . Angalieni hapa, Gwajima kawapiga bao!, Mnasemaje? Na hawa nao hawana akili ila ninyi tu? Hizo chanjo mmezitengeneza ninyi hadi mpoteze kodi za Watanzania kujadili Gwajima kumtafutia makosa kwa sababu hoja anazoziongea hamwezi kuzitolea majibu? Mtu mzima akivuliwa nguo huchutama.

Dunia nzima iko na Gwajima. Mnaweka wapi nyuso zenu?

 
Dunia ina mataifa mengi, kila taifa linapaswa kuwa na misimamo yake, sio kufuata mkumbo kwa kuwa jambo fulani linaikumba dunia nzima. Hata Tanzania inaweza kuwa role model kwa mataifa mengine duniani kuiga misimamo yake juu mambo yanayotokea duniani. Inapotokea watu wana maoni tofauti waachwe wayatoe na wapingwe kwa hoja maridhawa
 
Gwajima ni mwanasayansi? alosema haitakuja Tanzania mbona ikaja? hizo long term effects anazowadanganya nazo amezithibitisha kwenye maabara gani? au ana maabara kanisani kwake? na ile biashara yake ya Corona kuihusianisha na 5G iliishia wapi?

Gwajima anatumia akili za wajinga kama nyie kuzidi kuwateka mkamtolee sadaka kwa madhabahu yake akanunue helcopter nyingine apate na ya mafuta.
 
Dunia ina mataifa mengi, kila taifa linapaswa kuwa na misimamo yake, sio kufuata mkumbo kwa kuwa jambo fulani linaikumba dunia nzima. Hata Tanzania inaweza kuwa role model kwa mataifa mengine duniani kuiga misimamo yake juu mambo yanayotokea duniani. Inapotokea watu wana maoni tofauti waachwe wayatoe na wapingwe kwa hoja maridhawa
Kupinga tafiti za kisayansi kwa maneno matupu, halafu at the same time, mnataka maneno yenu matupu yapingwe kisayansi/kwa hoja ni uchizi, hamuelewi hata mnachosimamia. Gwajima atawatafuna sana akili zenu.
 
Gwajima ni mwanasayansi? alosema haitakuja Tanzania mbona ikaja? hizo long term effects anazowadanganya nazo amezithibitisha kwenye maabara gani? au ana maabara kanisani kwake? na ile biashara yake ya Corona kuihusianisha na 5G iliishia wapi?

Gwajima anatumia akili za wajinga kama nyie kuzidi kuwateka mkamtolee sadaka kwa madhabahu yake akanunue helcopter nyingine apate na ya mafuta.
Chanja tu....

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Gwajima anacheza mchezo wa kisiasa tu,hakuna aliyeambiwa akachanje kwa nguvu,Ila hata rais alisema ni hiari ya mtu,Sasa gwajima yeye anasema msiende kuchanja Kama kwamba mliambiwa ni lazima kuchanja,hapa gwajima Kuna mchezo anaucheza ,gwajima anajua fika kuwa kwenye ccmm hii yeye na polepole lazima watoke,Sasa anavuruga ili aonekane katolewa kwa sababu ya issue ya corona
 
Gwajima ni mwanasayansi? alosema haitakuja Tanzania mbona ikaja? hizo long term effects anazowadanganya nazo amezithibitisha kwenye maabara gani? au ana maabara kanisani kwake? na ile biashara yake ya Corona kuihusianisha na 5G iliishia wapi?

Gwajima anatumia akili za wajinga kama nyie kuzidi kuwateka mkamtolee sadaka kwa madhabahu yake akanunue helcopter nyingine apate na ya mafuta.
Taarifa gani ya kisayansi inampinga Gwajima?
Siyo Gwajima ndiye anayeiomba hiyo taarifa ya kisayansi unayoisema? Iko wapi? Wewe uliiona?
Siyo Gwajima tu ni dunia nzima ila akili za wapumbavu kama wewe mnawmona Gwajima kwa kuwa hamna uwezo wa kuona zaidi ya hapo mlipo. Hao waingereza wanaondamana nao wameambiwa na Gwajima? Wanatoa sadaka kwa Gwajima? Mtu zima akivuliw angguo anachutama!.
 
Gwajima kama Gwajima anao uhuru wa kuwa na maoni yake binafsi, na hayo ni mawazo yake binafsi hivyo apingwe kwa hoja na siyo kushughulikiwa kinidhamu.
 
Gwajima kama Gwajima anao uhuru wa kuwa na maoni yake binafsi, na hayo ni mawazo yake binafsi hivyo apingwe kwa hoja na siyo kushughulikiwa kinidhamu.
Hana UHURU wowote mkuu, asingeitwa kuhojiwa.
 
Gwajima ni mwanasayansi? alosema haitakuja Tanzania mbona ikaja? hizo long term effects anazowadanganya nazo amezithibitisha kwenye maabara gani? au ana maabara kanisani kwake? na ile biashara yake ya Corona kuihusianisha na 5G iliishia wapi?

Gwajima anatumia akili za wajinga kama nyie kuzidi kuwateka mkamtolee sadaka kwa madhabahu yake akanunue helcopter nyingine apate na ya mafuta.
Tuliza mshono kaka,Huko Marekani chanjo hiyo wanaikataa.
 
Back
Top Bottom