#COVID19 Propaganda za Chanjo ya COVID-19: Askofu Gwajima apuuzwe
Mkuu kila mtu ana Uhuru wa kutoa maoni yake Kama katiba inavyo sema mbona na MR slow slow kasha toa yake pia, ila ya Bwana askofu ndo yanaonekana nuksi
 
Biblia inasema pia kuwa
Nyakati za mwisho, wakuu wa nchi watakuwa wakiitumikia BABELI na hata kuwa mawakala wa kuwauza kwa shetani wanaowaongoza.

pia Isaya akasema hivi
Wawaongozao watu wangu, ndiyo wawapotezao.
 
ndugu zangu minong'ono imekuwa ni mingi mno, eti kwamba chanjo sijui ina effects fulani, kwanza kabisa hakuna dawa ambayo haina side effects, pia wapo wanaosema kuwa chanjo ni njama za mzungu sijui kutufanya nini guys, mzungu hahitaji chanjo kufanya hivyo, ni wangapi wanakunywa dozi za TB na HIV na wapo fresh,

ingekuwa mzungu anataka kutudhuru si tungeshaisha wote, watu wanaumwa magonjwa hayo wanakula dozi wanapona ingekuwa ana ubaya si tungeshuhudia watu wakidondoka, ndugu zangu chanjo ni hiari lakini huna hiari kutisha wenzako.

kama ukiona huhitaji chanjo kausha tu sio mpaka uanze kusema chanjo sijui inasababisha nini na nini, tunaongea hayo na bado tunaandamana kupeleka watoto wetu kwenye chanjo za surua na polio nk
 
1.Chanjo ziletwe za kutosha.
2. Elimu ya chanjo itolewe ya kutosha.
3. Wanaotaka kuchanjwa wachanjwe.
4. Wasiotaka kuchanjwa waachwe wasichanjwe.
5. Wanaotaka kuhubiri kutetea chanjo waachwe wahubiri.
6. Wanaotaka kuhubiri kukataa chanjo waachwe wahubiri.
7.Factual claims must be defended logically ang factually.
8.Baada ya muda tutajifunza.

Kumlazimisha mtu sana kuchanja kunaweza kusababisha imani kwamba kuna ajenda nyingine zaidi ya chanjo tu.

Ikiwa chanjo zinafanya kazi, wasiochanja wataona tu.

Uhai una thamani sana, lakini hauna thamani kiasi cha kuulazimisha. Maana yake, ukilazimisha mtu ajali uhai wake, wakati yeye mwenyewe hajali, unaupunguzia thamani uhai wake.

As long as chanjo zinalinda wanaochanja, na mpaka sasa new variants hazijaweza kuchenga chanjo, tuhakikishe kuna chanjo za kutosha kuwachanja wote wanaotaka, na wasiimotaka chanjo waachiwe wasichanje.

If there is an Extinction Level Event to wipe out all humankind because not enough people want to vaccinate, as a species, that will prove we probably are not smart enough to deserve to live anyway.
 
Kwahiyo ikitokea ghafla tumepata Raisi mpya nayeye akazipinga chanjo, na tayari mmemlazimisha Gwajima aseme chanjo ni salama, mtamwambia aseme si salama tena?

Acheni ufala, sio kila mtu kwa nafasi yake anaweza kubadilisha kauli. Nyinyi mmezoea kwenda na upepo, wengine hatupo hivyo.
 
Tatizo gwajima anaongea as if kafany utafiti,even though hata wizara hawaja thibitsha moja kwa moja kufaa kwake au kutofaa!!
 
Tatizo gwajima anaongea as if kafany utafiti,even though hata wizara hawaja thibitsha moja kwa moja kufaa kwake au kutofaa!!
Hoja za Gwajima Zina mashiko na ivi ma-CCM yanavyotumia nguvu badala ya akili ndo kwanza point tatu anazo Gwajiboy
 
Ukiwa ccm lazima kuwa zezeta.tena na yule bishop mbunge gwaji boy ndio kabisa
 
Marumbano na Gwajima yanaendekezwa kwa sababu takwimu sahihi za ugonjwa wa Corona hazipo.

Kama takwimu za ugonjwa zingekuwapo mbona hata Askofu Gwajima na wafuasi wake wangekwisha pata chanjo zao?

Angalizo: Serikali endeleeni kuficha takwimu mkidhani inawasaidia, mtavuna mnachopanda!
 
Marumbano na Gwajima yanaendekezwa kwa sababu takwimu sahihi za ugonjwa wa Corona hazipo.

Kama takwimu za ugonjwa zingekuwapo mbona hata Askofu Gwajima na wafuasi wake wangekwisha pata chanjo zao?

Angalizo: Serikali endeleeni kuficha takwimu mkidhani inawasaidia Mtavuna mnachopanda!
Ata Tafiti za ndani zilizuiliwa
 
Ata Tafiti za ndani zilizopita

Yetu macho:

IMG_20210718_063455_991.jpg
 
Marumbano na Gwajima yanaendekezwa kwa sababu takwimu sahihi za ugonjwa wa Corona hazipo.

Kama takwimu za ugonjwa zingekuwapo mbona hata Askofu Gwajima na wafuasi wake wangekwisha pata chanjo zao?

Angalizo: Serikali endeleeni kuficha takwimu mkidhani inawasaidia, mtavuna mnachopanda!
brazaj, haya ni maigizo tu, hao wametumwa na CCM kututoa kwenye mjadala wa vitu muhimu kama tozo za miamala, kupanda kwa Bei ya mafuta, Kodi ya majengo, mjadala wa katiba, kesi ya kubambikizwa ya MBOWE etc
 
Marumbano na Gwajima yanaendekezwa kwa sababu takwimu sahihi za ugonjwa wa Corona hazipo.

Kama takwimu za ugonjwa zingekuwapo mbona hata Askofu Gwajima na wafuasi wake wangekwisha pata chanjo zao?

Angalizo: Serikali endeleeni kuficha takwimu mkidhani inawasaidia, mtavuna mnachopanda!
Takwimu zipi hizo?
Mitaani tunaona hali ilivyo, ukipika takwimubsie tunaona laivu mtaani.
 
Back
Top Bottom