#COVID19 Propaganda za Chanjo ya COVID-19: Askofu Gwajima apuuzwe
Taarifa gani ya kisayansi inampinga Gwajima?
Siyo Gwajima ndiye anayeiomba hiyo taarifa ya kisayansi unayoisema? Iko wapi? Wewe uliiona?
Siyo Gwajima tu ni dunia nzima ila akili za wapumbavu kama wewe mnawmona Gwajima kwa kuwa hamna uwezo wa kuona zaidi ya hapo mlipo. Hao waingereza wanaondamana nao wameambiwa na Gwajima? Wanatoa sadaka kwa Gwajima? Mtu zima akivuliw angguo anachutama!.
Hujui lolote kuhusu sayansi wala chanjo, kwa kukusaidia tafuta box la chanjo ndani Kuna karatasi ya maelekezo yote kuhusu chanjo, Soma hata kidogo tu ndiyo uweze kuchangia hoja zaidi, sayansi siyo kuwaza na kusema bila uthibitisho
 
Dunia ina mataifa mengi, kila taifa linapaswa kuwa na misimamo yake, sio kufuata mkumbo kwa kuwa jambo fulani linaikumba dunia nzima. Hata Tanzania inaweza kuwa role model kwa mataifa mengine duniani kuiga misimamo yake juu mambo yanayotokea duniani. Inapotokea watu wana maoni tofauti waachwe wayatoe na wapingwe kwa hoja maridhawa
Suala la Sayansi yoyote hatuna ubavu nalo, acha kujidanganya. We una uwezo gani wa kuchunguza chanjo?
 
Kupinga tafiti za kisayansi kwa maneno matupu, halafu at the same time, mnataka maneno yenu matupu yapingwe kisayansi/kwa hoja ni uchizi, hamuelewi hata mnachosimamia. Gwajima atawatafuna sana akili zenu.
Kwa nini na ili iweje yeye anapinga kuchanjwa na hataki na anatumia references za wanasayansi, mnahangaika nini, fanyeni kampeni yenu na nyie, watanzania vichwa mbuzi kabisa uhuru wa mtu ni haki yake. Tatizo MDs uchwara baadhi wameshaanza kujiona vidampa tu. Behind the curtain critical and genius MDs wako na Askofu Gwajima. Vichwa ndezi kama Ndugai wako wengi nchi hii, kwanza muulizeni mbona hatumii ubini alitumia akiwa anasoma Kibaha Secondary, limtu ndezi kbsa
 
Gwajima ni kama mimi tu huwezi kunilazimisha kutoongea kwa jambo linalo husu afya yangu!.

Kuna ndezi badala ya kujadili mstakabali wa taifa wao wapo bze na kamati..ili wale pesa zetu.
 
Hana UHURU wowote mkuu, asingeitwa kuhojiwa.

Kwa hioy, wewe kwa mantiki hiyo, uhuru wako umeugandish akwenye "kutokuhojiwa",, kwamb ukifanya kitu usihojiwe, basi hapo ndipo uhuru wako unapoishia? Ni kitu gani kinakuambia kwamba wewe una uhuru wa kufanya hata yale unayafanya bila kuhojiwa?
 
Badala ya kupuuzwa jamaa limepata nguvu, wananchi wanamwambia rais hutachanjwi mbele ya Jabali la Mbinguni.
Na lipo tayari kwa lolote watakalofanya isipokuwa kifo.
Mwenye pesa huwezi mtishia njaa.
 
Kwanza nilitamani sana huyu mtu anayejiita Askofu akamatwe na vyombo vya dola kisha ahojiwe kuhusu tabia yake ya kwenda kanisani na kwenda kuwadanganya Watanzani kua chanjo si salama wakati anajua kabisa kua kila chanjo inayotolewa na serikali imejiridhisha.

Huyu mtu anarudisha juhudi za serikali nyumba ikiwa Mhe Rais alitamka wazi kua sisi siyo kisiwa hatuwezi kujitenga na na dunia, mpotoshaji moja anasoma na kumdhihaki Mama eti anashadadia pesa za Bilgate kweli?

Eti anaombea madaktari wanahimiza na kuchanja watu wafe,huyu mtu ni chizi si mzima. Na atakufa yeye kwanza Corona tunamuombea kama yeye anavyoombea watu.

Gwajima anajifanya yeye mtu wa Mungu wakati ameiba kura za ubunge mchana kweupe dunia inajua, anapata wapi Moral authority ya kunyooshea watu vidole mtu huyu wakati anakula vya halamu? Chama tunajua kuwa aliiba kura na ushindi wake ni haramu tumemnyamazia na akiendelea tutamuumbua.

Huyu mtu ni wa kupuuza anaendelea kurudisha mapambano ya serikali nyuma, lakini akiendelea hivi akamatwe. Hawa ndio waliompotosha mzee kwa kiasi kikubwa tukajikuta tumeingia katika matatizo makubwa. Hivyo kabisa na wapuuzwe. Pesa za Bilgate ndio nini? Kwani Corona haipo?
Kabla sijaendelea je unakiri kuwa wewe na chama chako sio watu wa kuaminika?maana umeeleza wazi kuwa una ushahidi kuwa ushindi wa Gwajima ni kharam tuanzie hapo kwanza
 
Ni jambo la kukera sana pale viongozi wanapolazimisha watu kufuata mikumbo bila kutumia akili. Ama ni kuwafanya kwamba watu hao hawana haki, au uwezo wa kufikiri na ama kujibinafsisha nafsi za watu wengine ambalo ni kosa kwa Mungu. Kibaya zaidini ile picha ya wapiga debe wa ccm wa mitandaoni ambao ni dhahiri elimu zao ni za chini, wanapolazimisha watu wafuate mikumbo, na hata kuzuiliwa kutoa maoni boreshi kwa maslahi ya taifa na ama mtu binafsi . Angalieni hapa, Gwajima kawapiga bao!, Mnasemaje? Na hawa nao hawana akili ila ninyi tu? Hizo chanjo mmezitengeneza ninyi hadi mpoteze kodi za Watanzania kujadili Gwajima kumtafutia makosa kwa sababu hoja anazoziongea hamwezi kuzitolea majibu? Mtu mzima akivuliwa nguo huchutama.

Dunia nzima iko na Gwajima. Mnaweka wapi nyuso zenu?

Sijui una elimu kiasi gani. Nilivyosoma mchango wako, kama sio msomi wa haja basi una busara kubwa. Umesema ...KUJIBINAFSISHA NAFSI ZA WATU WENGINE... Hakika dunia ya leo viongozi wa kisiasa na elites ambao niwabobezi kwenye teknolojia wamefika hatua ya KUTAKA KIBINAFSISHA NAFSI ZA BINADAMU. Ibua tatizo, leta jawabu na hakikisha kila mtu anashiriki asilete fyooo.
 
Back
Top Bottom