Hujui lolote kuhusu sayansi wala chanjo, kwa kukusaidia tafuta box la chanjo ndani Kuna karatasi ya maelekezo yote kuhusu chanjo, Soma hata kidogo tu ndiyo uweze kuchangia hoja zaidi, sayansi siyo kuwaza na kusema bila uthibitisho
 
Suala la Sayansi yoyote hatuna ubavu nalo, acha kujidanganya. We una uwezo gani wa kuchunguza chanjo?
 
Kupinga tafiti za kisayansi kwa maneno matupu, halafu at the same time, mnataka maneno yenu matupu yapingwe kisayansi/kwa hoja ni uchizi, hamuelewi hata mnachosimamia. Gwajima atawatafuna sana akili zenu.
Kwa nini na ili iweje yeye anapinga kuchanjwa na hataki na anatumia references za wanasayansi, mnahangaika nini, fanyeni kampeni yenu na nyie, watanzania vichwa mbuzi kabisa uhuru wa mtu ni haki yake. Tatizo MDs uchwara baadhi wameshaanza kujiona vidampa tu. Behind the curtain critical and genius MDs wako na Askofu Gwajima. Vichwa ndezi kama Ndugai wako wengi nchi hii, kwanza muulizeni mbona hatumii ubini alitumia akiwa anasoma Kibaha Secondary, limtu ndezi kbsa
 
Gwajima ni kama mimi tu huwezi kunilazimisha kutoongea kwa jambo linalo husu afya yangu!.

Kuna ndezi badala ya kujadili mstakabali wa taifa wao wapo bze na kamati..ili wale pesa zetu.
 
Hana UHURU wowote mkuu, asingeitwa kuhojiwa.

Kwa hioy, wewe kwa mantiki hiyo, uhuru wako umeugandish akwenye "kutokuhojiwa",, kwamb ukifanya kitu usihojiwe, basi hapo ndipo uhuru wako unapoishia? Ni kitu gani kinakuambia kwamba wewe una uhuru wa kufanya hata yale unayafanya bila kuhojiwa?
 
Badala ya kupuuzwa jamaa limepata nguvu, wananchi wanamwambia rais hutachanjwi mbele ya Jabali la Mbinguni.
Na lipo tayari kwa lolote watakalofanya isipokuwa kifo.
Mwenye pesa huwezi mtishia njaa.
 
Kabla sijaendelea je unakiri kuwa wewe na chama chako sio watu wa kuaminika?maana umeeleza wazi kuwa una ushahidi kuwa ushindi wa Gwajima ni kharam tuanzie hapo kwanza
 
Sijui una elimu kiasi gani. Nilivyosoma mchango wako, kama sio msomi wa haja basi una busara kubwa. Umesema ...KUJIBINAFSISHA NAFSI ZA WATU WENGINE... Hakika dunia ya leo viongozi wa kisiasa na elites ambao niwabobezi kwenye teknolojia wamefika hatua ya KUTAKA KIBINAFSISHA NAFSI ZA BINADAMU. Ibua tatizo, leta jawabu na hakikisha kila mtu anashiriki asilete fyooo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…