HNgoja "wafuasi" wake wenye hasira kali waende kuchoma hilo ghala wanalotumia kuhifadhia hizo chanjo...au wawachome moto wahudumu wa afya watakaoenda kuelimisha watu kuhusu chanjo🐒
Halafu watakuwa wakiwatafuta wanaowaita magaidi kwa tochi kiasi hata cha kupambikia.Ngoja "wafuasi" wake wenye hasira kali waende kuchoma hilo ghala wanalotumia kuhifadhia hizo chanjo...au wawachome moto wahudumu wa afya watakaoenda kuelimisha watu kuhusu chanjo🐒
Kwa hiyo watu wa afya wanakosea na kwenda kinyume na immunity aliyoiumba Mungu pale wanapowapa watoto chanjo dhidi ya POLIO ,KIFUA KIKUU ,HOMA YA INI ,DONDA KOO ,PEPOPUNDA NA KIFADURO?Mimi si mshabiki wa Askofu Gwajima. Lakini nakubaliana naye kwa ishu ya chanjo. Ni mtu mjinga pekee ndio anaweza kubali Chanjo. Mungu hakosei kuhusu immunity aliyomuumba nayo mtu. Why chanjo now?
Kuna mengi sana yanaweza kutokea mtu anaweza kuanza kuua wale waliochanjwa kwa sababu ni mashoga au mazombi😂H
Halafu watakuwa wakiwatafuta wanaowaita magaidi kwa tochi kiasi hata cha kupambikia.
Kama Waziri wa Afya wa Uingereza kachanjws na bado akaugua covid-19, usalama wa chanjo hapo upo wapi? Hivi wewe in mchawi umetumwa eti? Serikali ipi yenye uwezo wa kuthibitisha kwamba chanjo in salama?Kwanza nilitamani sana huyu mtu anayejiita Askofu akamatwe na vyombo vya dola kisha ahojiwe kuhusu tabia yake ya kwenda kanisani na kwenda kuwadanganya Watanzani kua chanjo si salama wakati anajua kabisa kua kila chanjo inayotolewa na serikali imejiridhisha.
Huyu mtu anarudisha juhudi za serikali nyumba ikiwa Mhe Rais alitamka wazi kua sisi siyo kisiwa hatuwezi kujitenga na na dunia, mpotoshaji moja anasoma na kumdhihaki Mama eti anashadadia pesa za Bilgate kweli?
Eti anaombea madaktari wanahimiza na kuchanja watu wafe,huyu mtu ni chizi si mzima. Na atakufa yeye kwanza Corona tunamuombea kama yeye anavyoombea watu.
Gwajima anajifanya yeye mtu wa Mungu wakati ameiba kura za ubunge mchana kweupe dunia inajua, anapata wapi Moral authority ya kunyooshea watu vidole mtu huyu wakati anakula vya halamu? Chama tunajua kuwa aliiba kura na ushindi wake ni haramu tumemnyamazia na akiendelea tutamuumbua.
Huyu mtu ni wa kupuuza anaendelea kurudisha mapambano ya serikali nyuma, lakini akiendelea hivi akamatwe. Hawa ndio waliompotosha mzee kwa kiasi kikubwa tukajikuta tumeingia katika matatizo makubwa. Hivyo kabisa na wapuuzwe. Pesa za Bilgate ndio nini? Kwani Corona haipo?
Pia na aseme ni moja ya mwanakondoo wake wa mpinga chanjo.Kwa hiyo watu wa afya wanakosea na kwenda kinyume na immunity aliyoiumba Mungu pale wanapowapa watoto chanjo dhidi ya POLIO ,KIFUA KIKUU ,HOMA YA INI ,DONDA KOO ,PEPOPUNDA NA KIFADURO?
Itakuwa Nchi ya ajabu Kama Gwajima ajakamatwa Hadi kuisha leo, ni gaidi huyo,Hana nia nzuri na NchiYaani Gwajima ndio wa kupingana na Kauli ya Amiri Jeshi Mkuu? Eti Askari wasichanjwe? Eti Madaktri wasichanjwe? Eti Rais amepokea pesa ili akubali Chanjo?
Hata kama chanjo ingekua na makosa/mapungufu bado sio sahihi kwa Gwajima kutumia Umaarufu wake kuyapinga tena hadharani maelekezo ya Rais
Msipomkemea Gwajima, wallah wabillah nawaapia kuna siku ataiingiza hii nchi kwenye shida kubwa huku mlivyo wajinga mkiwakamata na kuwaharasi Chadema.
Wacha tukae kimya tumpigie makofi...
The root is the messenger so if you uproot the root, you have solved it all.attack the message not the messanger
Ili usife kwa haraka.Mimi nimesikia anauliza na kujijibu
1.nikichanja navaa barakoa?..ndio
2.nikichanja naweza kuambiza?...ndio
3.nikichanjwa naweza kuambukizwa?...ndio
4.sasa nachanjwa ili iweje?
Gwajima yuko sahihi sema Watanzania mmejaa unafiki, mama kachukua hela za chanjo ndiyo kwani uwongo? Penye ukweli pasemwe. Tutaanza kushuhudia pia majeneza yakijazwa mchanga na kuzikwa eti ni vifo vya corona ili aendelee kupiga hela.Yaani Gwajima ndio wa kupingana na Kauli ya Amiri Jeshi Mkuu? Eti Askari wasichanjwe? Eti Madaktri wasichanjwe? Eti Rais amepokea pesa ili akubali Chanjo?
Hata kama chanjo ingekua na makosa/mapungufu bado sio sahihi kwa Gwajima kutumia Umaarufu wake kuyapinga tena hadharani maelekezo ya Rais
Msipomkemea Gwajima, wallah wabillah nawaapia kuna siku ataiingiza hii nchi kwenye shida kubwa huku mlivyo wajinga mkiwakamata na kuwaharasi Chadema.
Wacha tukae kimya tumpigie makofi...
Watakufa Kama kuku wa kideri, Gwajima inatakiwa akamatwe na asipewe zamanaNakwambia watalia, subiri wamuendekeze tu huyu pimbi
Sukumagang kazini.Kwanza nilitamani sana huyu mtu anayejiita Askofu akamatwe na vyombo vya dola kisha ahojiwe kuhusu tabia yake ya kwenda kanisani na kwenda kuwadanganya Watanzani kua chanjo si salama wakati anajua kabisa kua kila chanjo inayotolewa na serikali imejiridhisha.
Huyu mtu anarudisha juhudi za serikali nyumba ikiwa Mhe Rais alitamka wazi kua sisi siyo kisiwa hatuwezi kujitenga na na dunia, mpotoshaji moja anasoma na kumdhihaki Mama eti anashadadia pesa za Bilgate kweli?
Eti anaombea madaktari wanahimiza na kuchanja watu wafe,huyu mtu ni chizi si mzima. Na atakufa yeye kwanza Corona tunamuombea kama yeye anavyoombea watu.
Gwajima anajifanya yeye mtu wa Mungu wakati ameiba kura za ubunge mchana kweupe dunia inajua, anapata wapi Moral authority ya kunyooshea watu vidole mtu huyu wakati anakula vya halamu? Chama tunajua kuwa aliiba kura na ushindi wake ni haramu tumemnyamazia na akiendelea tutamuumbua.
Huyu mtu ni wa kupuuza anaendelea kurudisha mapambano ya serikali nyuma, lakini akiendelea hivi akamatwe. Hawa ndio waliompotosha mzee kwa kiasi kikubwa tukajikuta tumeingia katika matatizo makubwa. Hivyo kabisa na wapuuzwe. Pesa za Bilgate ndio nini? Kwani Corona haipo?
Mbona dikteta alitaperi hela za chanjo,akaenda kujengea hekalu kwaoGwajima yuko sahihi sema Watanzania mmejaa unafiki, mama kachukua hela za chanjo ndiyo kwani uwongo? Penye ukweli pasemwe. Tutaanza kushuhudia pia majeneza yakijazwa mchanga na kuzikwa eti ni vifo vya corona ili aendelee kupiga hela.
Kama serikali imejiridhisha ,ni kwa nini imetoa fomu ya mtu anayechanjwa kuji-commit mwenyewe kinyume na chanjo nyingine tulizozoea kuchanjwa?kila chanjo inayotolewa na serikali imejiridhisha.
Huyu anyanganywe kadi yetu ya ccm ,anapingana na mamlakaKwanza nilitamani sana huyu mtu anayejiita Askofu akamatwe na vyombo vya dola kisha ahojiwe kuhusu tabia yake ya kwenda kanisani na kwenda kuwadanganya Watanzani kua chanjo si salama wakati anajua kabisa kua kila chanjo inayotolewa na serikali imejiridhisha.
Huyu mtu anarudisha juhudi za serikali nyumba ikiwa Mhe Rais alitamka wazi kua sisi siyo kisiwa hatuwezi kujitenga na na dunia, mpotoshaji moja anasoma na kumdhihaki Mama eti anashadadia pesa za Bilgate kweli?
Eti anaombea madaktari wanahimiza na kuchanja watu wafe,huyu mtu ni chizi si mzima. Na atakufa yeye kwanza Corona tunamuombea kama yeye anavyoombea watu.
Gwajima anajifanya yeye mtu wa Mungu wakati ameiba kura za ubunge mchana kweupe dunia inajua, anapata wapi Moral authority ya kunyooshea watu vidole mtu huyu wakati anakula vya halamu? Chama tunajua kuwa aliiba kura na ushindi wake ni haramu tumemnyamazia na akiendelea tutamuumbua.
Huyu mtu ni wa kupuuza anaendelea kurudisha mapambano ya serikali nyuma, lakini akiendelea hivi akamatwe. Hawa ndio waliompotosha mzee kwa kiasi kikubwa tukajikuta tumeingia katika matatizo makubwa. Hivyo kabisa na wapuuzwe. Pesa za Bilgate ndio nini? Kwani Corona haipo?
Gwajima ameokoka "amempa Yesu maisha yake " na kwa imani ya Walio okoka Yesu naponya kila kitu pale unapo omba kwa imani.Kwanza nilitamani sana huyu mtu anayejiita Askofu akamatwe na vyombo vya dola kisha ahojiwe kuhusu tabia yake ya kwenda kanisani na kwenda kuwadanganya Watanzani kua chanjo si salama wakati anajua kabisa kua kila chanjo inayotolewa na serikali imejiridhisha.
Huyu mtu anarudisha juhudi za serikali nyumba ikiwa Mhe Rais alitamka wazi kua sisi siyo kisiwa hatuwezi kujitenga na na dunia, mpotoshaji moja anasoma na kumdhihaki Mama eti anashadadia pesa za Bilgate kweli?
Eti anaombea madaktari wanahimiza na kuchanja watu wafe,huyu mtu ni chizi si mzima. Na atakufa yeye kwanza Corona tunamuombea kama yeye anavyoombea watu.
Gwajima anajifanya yeye mtu wa Mungu wakati ameiba kura za ubunge mchana kweupe dunia inajua, anapata wapi Moral authority ya kunyooshea watu vidole mtu huyu wakati anakula vya halamu? Chama tunajua kuwa aliiba kura na ushindi wake ni haramu tumemnyamazia na akiendelea tutamuumbua.
Huyu mtu ni wa kupuuza anaendelea kurudisha mapambano ya serikali nyuma, lakini akiendelea hivi akamatwe. Hawa ndio waliompotosha mzee kwa kiasi kikubwa tukajikuta tumeingia katika matatizo makubwa. Hivyo kabisa na wapuuzwe. Pesa za Bilgate ndio nini? Kwani Corona haipo?
Rubbish. Bila shaka wewe nawe ni mfuasi wa gaidi faru John, kuongea yako inakutambulisha tu.Kwanza nilitamani sana huyu mtu anayejiita Askofu akamatwe na vyombo vya dola kisha ahojiwe kuhusu tabia yake ya kwenda kanisani na kwenda kuwadanganya Watanzani kua chanjo si salama wakati anajua kabisa kua kila chanjo inayotolewa na serikali imejiridhisha.
Huyu mtu anarudisha juhudi za serikali nyumba ikiwa Mhe Rais alitamka wazi kua sisi siyo kisiwa hatuwezi kujitenga na na dunia, mpotoshaji moja anasoma na kumdhihaki Mama eti anashadadia pesa za Bilgate kweli?
Eti anaombea madaktari wanahimiza na kuchanja watu wafe,huyu mtu ni chizi si mzima. Na atakufa yeye kwanza Corona tunamuombea kama yeye anavyoombea watu.
Gwajima anajifanya yeye mtu wa Mungu wakati ameiba kura za ubunge mchana kweupe dunia inajua, anapata wapi Moral authority ya kunyooshea watu vidole mtu huyu wakati anakula vya halamu? Chama tunajua kuwa aliiba kura na ushindi wake ni haramu tumemnyamazia na akiendelea tutamuumbua.
Huyu mtu ni wa kupuuza anaendelea kurudisha mapambano ya serikali nyuma, lakini akiendelea hivi akamatwe. Hawa ndio waliompotosha mzee kwa kiasi kikubwa tukajikuta tumeingia katika matatizo makubwa. Hivyo kabisa na wapuuzwe. Pesa za Bilgate ndio nini? Kwani Corona haipo?