The Icebreaker
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 22,278
- 65,817
Chanjo haikufanyi usiambukizwe bali ni kinga ya ugonjwa ukiupata usidhurike,mbona pia wapo watu ambao wana chanjo ya surua but waliugua surua? wapo wenye chanjo ya TB na waliugua TB?Sasa kama mtu unaweza ukapatiwa chanjo ya COVID na bado uko kwenye hatari ya kupata COVID na pengine kupoteza maisha kwa COVID sasa mantiki ya chanjo ni ipi.....??
Samahani Mwmeshimiwa, Tukichanjwa hatupati korona??Shime Watanzania wenzangu TWENDENI TUKACHANJWE!!!
#KingaNiBoraKulikoTiba
#TuchanjeTuikingeJamii
#KaziIendelee
#NchiKwanza
If the messager is carrying poison he must be stacked.attack the message not the messanger
Ile chanjo ni hiari na hata Rais kasema hilo. Pia Serikali imeshadeclare kwamba unachanjwa at your own risk na litakalokukuta, usimuulize mtu.Yaani Gwajima ndio wa kupingana na Kauli ya Amiri Jeshi Mkuu? Eti Askari wasichanjwe? Eti Madaktri wasichanjwe? Eti Rais amepokea pesa ili akubali Chanjo?
Hata ukipata jabs tatu, lazima uendelee kuvaa mask. Ukicheza vibaya tena, corona inakutandika tena na tena. Hakuna mwenye uhakika hizo chanjo zitaisha lini nguvu (kama zinazo) ili ukachanjwe tenaSamahani Mwmeshimiwa, Tukichanjwa hatupati korona??
Tukichanjwa hatuvai mask???
Hakika mkuu tunataka muongozo na maelezo kwa wataalamu wetu wa afya kuhusu usalama wa hii chanjo miili yetu isiwe majaribioIle chanjo ni hiari na hata Rais kasema hilo. Pia Serikali imeshadeclare kwamba unachanjwa at your own risk na litakalokukuta, usimuulize mtu.
Kamsikilize vizuri Gwajima. Hapingani kindezi tu. Ametoa sababu zake ambazo wataalamu wetu wa afya wanapaswa kutolea maelezo na sio kubwabwaja huku JF
Askofu wa wajinga.Kwanza nilitamani sana huyu mtu anayejiita Askofu akamatwe na vyombo vya dola kisha ahojiwe kuhusu tabia yake ya kwenda kanisani na kwenda kuwadanganya Watanzani kua chanjo si salama wakati anajua kabisa kua kila chanjo inayotolewa na serikali imejiridhisha.
Huyu mtu anarudisha juhudi za serikali nyumba ikiwa Mhe Rais alitamka wazi kua sisi siyo kisiwa hatuwezi kujitenga na na dunia, mpotoshaji moja anasoma na kumdhihaki Mama eti anashadadia pesa za Bilgate kweli?
Eti anaombea madaktari wanahimiza na kuchanja watu wafe,huyu mtu ni chizi si mzima. Na atakufa yeye kwanza Corona tunamuombea kama yeye anavyoombea watu.
Gwajima anajifanya yeye mtu wa Mungu wakati ameiba kura za ubunge mchana kweupe dunia inajua, anapata wapi Moral authority ya kunyooshea watu vidole mtu huyu wakati anakula vya halamu? Chama tunajua kuwa aliiba kura na ushindi wake ni haramu tumemnyamazia na akiendelea tutamuumbua.
Huyu mtu ni wa kupuuza anaendelea kurudisha mapambano ya serikali nyuma, lakini akiendelea hivi akamatwe. Hawa ndio waliompotosha mzee kwa kiasi kikubwa tukajikuta tumeingia katika matatizo makubwa. Hivyo kabisa na wapuuzwe. Pesa za Bilgate ndio nini? Kwani Corona haipo?
Kwa hali ilivyo sasa watanzania sana wanatamani hivyo. Ni wachache wanaofurahia hii hali.Yaaani gwajima kwa akili yake Anatamani magufuli angelikuwepo
Mkuu wangu.....Samahani Mwmeshimiwa, Tukichanjwa hatupati korona??
Tukichanjwa hatuvai mask???
Sawa mkuu.....Hata ukipata jabs tatu, lazima uendelee kuvaa mask. Ukicheza vibaya tena, corona inakutandika tena na tena. Hakuna mwenye uhakika hizo chanjo zitaisha lini nguvu (kama zinazo) ili ukachanjwe tena
Sasa sijui kazi ya hizo vaccines ni nini?
Sababu kila MTU anaweza kutoa sababu, hata hivyo mambo ya corona si mlisema ni waziri ndio anapaswa kuongelea? Take it or not huyo msukuma atakuja kuwagharimuIle chanjo ni hiari na hata Rais kasema hilo. Pia Serikali imeshadeclare kwamba unachanjwa at your own risk na litakalokukuta, usimuulize mtu.
Kamsikilize vizuri Gwajima. Hapingani kindezi tu. Ametoa sababu zake ambazo wataalamu wetu wa afya wanapaswa kutolea maelezo na sio kubwabwaja huku JF
Pumbavu kabisa, hapo ulipo umejaa makovu ya chanjo za surua, ndui, TB na polio u ulizochanjwa na mama yako kabla akili yako ha
Wewe nenda kachome. Asiyetaka kuchoma maamuzi yake yaheshimiwe. But fact is, aliyechanjwa na ambaye hajachanjwa wote watapigwa na corona tu wakicheza vibayaSababu kila MTU anaweza kutoa sababu, hata hivyo mambo ya corona si mlisema ni waziri ndio anapaswa kuongelea? Take it or not huyo msukuma atakuja kuwagharimu
tunategemea serikal ibane viongozi wangemtoa kwenye ubungeKwanza nilitamani sana huyu mtu anayejiita Askofu akamatwe na vyombo vya dola kisha ahojiwe kuhusu tabia yake ya kwenda kanisani na kwenda kuwadanganya Watanzani kua chanjo si salama wakati anajua kabisa kua kila chanjo inayotolewa na serikali imejiridhisha.
Huyu mtu anarudisha juhudi za serikali nyumba ikiwa Mhe Rais alitamka wazi kua sisi siyo kisiwa hatuwezi kujitenga na na dunia, mpotoshaji moja anasoma na kumdhihaki Mama eti anashadadia pesa za Bilgate kweli?
Eti anaombea madaktari wanahimiza na kuchanja watu wafe,huyu mtu ni chizi si mzima. Na atakufa yeye kwanza Corona tunamuombea kama yeye anavyoombea watu.
Gwajima anajifanya yeye mtu wa Mungu wakati ameiba kura za ubunge mchana kweupe dunia inajua, anapata wapi Moral authority ya kunyooshea watu vidole mtu huyu wakati anakula vya halamu? Chama tunajua kuwa aliiba kura na ushindi wake ni haramu tumemnyamazia na akiendelea tutamuumbua.
Huyu mtu ni wa kupuuza anaendelea kurudisha mapambano ya serikali nyuma, lakini akiendelea hivi akamatwe. Hawa ndio waliompotosha mzee kwa kiasi kikubwa tukajikuta tumeingia katika matatizo makubwa. Hivyo kabisa na wapuuzwe. Pesa za Bilgate ndio nini? Kwani Corona haipo?