DR Mambo Jambo
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 11,622
- 26,005
Mkuu With all Due Respects!Kazi maalum na asiyekuwa na wizara maalum ni sawa tu. Waziri una wizara au huna mengine ni mbwembwe tu. Kaka yangu mkuchika hana wizara.
Una kichaa weweAisee una maana Salim Ahmed Salim kashafariki?. RIP
Umekuja Duniani lini?Sokoine alikua Waziri Mkuu wa nchi gani...!!?
Without portfolio huenda ikasomeka mzurururaji haipendezi, special work or duty sounds better lakini bado hana portfolio. Anaejua huyu anafanya kazi gani ni raisi tu.Mkuu With all Due Respects!
naomba Nikueleweshe tena..
mkuchika Ni waziri wa nchi ofisi ya Rais yaani "Ministry of State President office for special work."
Ila kwa Amiri alikuwa ni "Minister without Portfolio"
Unaona hayo maandishi na hizo kazi ziko sawa?.... Minister of state in president office for special work na "Minister without portfolio"
Wanalingana?
kama ukisema wanalingana bhasi kuna kitu kwako Hakiko sawa
Hahahaha Nimeuliza una ufahamu wa hizi katiba..Without portfolio huenda ikasomeka mzurururaji haipendezi, special work or duty sounds better lakini bado hana portfolio. Anaejua huyu anafanya kazi gani ni raisi tu.
April 1984Moringe kafa lini?
Nimeziishi zote.Hahahaha Nimeuliza una ufahamu wa hizi katiba..
Hizo katiba ndo zinaeleza kazi ya Waziri ambaye hana portfolio
- Katiba ya Uhuru ya mwaka 1961..
- Katiba ya Jamhuri ya Tanganyika 1962
- Katiba ya Jamhuri Ya Muungano wa Tanganyika Na Zanzibar ya mwaka 1964
- Katiba Ya Jamhuri Ya muungano wa Tanzania ya Mwaka 1965
Mfaume aliwahi kuwa Makamu wa Rais pia Sasa fikirisha komwe hilo atazikwa Kwa protokali gan
Hua napambana sana huyu hakustaafu𤣠au lugha inatuzingua maana medi nazo sinasema mstaafuALIYE JIUZULU
Bhasi kama umeziishi Utakuwa unajua kuwa Hiyo Wizara ilikuwa ni sawa na waziri Mkuu kabla ya Kuwekwa Cheo cha Naibu waziri Mkuu..Nimeziishi zote.
1. Miaka zaidi ya 60 toka tupate Uhuru sijawahi kushuhudia Mazishi ya Waziri Mkuu (Mstaafu) Narudia WAZIRI MKUU (Mstaafu) usinitajie Sokoine.
2. Nimeshuhudia mazishi ya Rais, Rais Mstaafu na Makamu wa Rais (Mstaafu). Mwenye kujua taratibu zake zipoje?
3. Je Ile sheria ya Viongozi kuzikwa Dodoma ilipita Bungeni?
Kwani nini maana Ya kustaafu..Hua napambana sana huyu hakustaafu𤣠au lugha inatuzingua maana medi nazo sinasema mstaafu
Jiwe alizungushwa majiji yote ndipo akazikwa, walifupisha kwa kuwa aliua watu, alipora mali za watu, aliteka watu na kupiga watu risasi.
Sasa kwa huyu waziri mkuu mstaafu Edward Lowasa kwa kuwa alikuwa mtu wa watu atazungushwa mikoa yote na wilaya zote ndipo azikwe.
RIP Edo
Shukrani mkuu, kuna document yiyote tunaweza rejea?Kwani nini maana Ya kustaafu..
Kama angetumbuliwa Uwaziri wake Tusingemuita Mstaafu ila Kiprotokoli aliamua kulinda heshima yake na serikali kujiuzuru ili kupata stahiki za mstaafu..
Kwa mfano..Mtumishi akiomba Kustaafu mwenyewe baada ya Miaka 55 ni sawa na kusema kujiuzuru serkalini na atapata stahiki zake na ataitwa Mstaafu ila ikitokea akafukuzwa akiwa na miaka 58 jina mstaafu hatalipata Hata kidogo..
So kiprotokali Anastahili kuitwa hivyo
Kiprotokali kwa kuwa bado serikali huendelea kuwahudumia viongozi wakuu wa nchi kila kitu hadi ulinzi, basi hakuna shaka yoyote kuwa serikali pia itagharamia maziko yao popote pale familia zao zitakapotaka.1. Miaka zaidi ya 60 toka tupate Uhuru sijawahi kushuhudia Mazishi ya Waziri Mkuu (Mstaafu) Narudia WAZIRI MKUU (Mstaafu) usinitajie Sokoine.
2. Nimeshuhudia mazishi ya Rais, Rais Mstaafu na Makamu wa Rais (Mstaafu). Mwenye kujua taratibu zake zipoje?
3. Je Ile sheria ya Viongozi kuzikwa Dodoma ilipita Bungeni?
Majibu:1. Miaka zaidi ya 60 toka tupate Uhuru sijawahi kushuhudia Mazishi ya Waziri Mkuu (Mstaafu) Narudia WAZIRI MKUU (Mstaafu) usinitajie Sokoine.
2. Nimeshuhudia mazishi ya Rais, Rais Mstaafu na Makamu wa Rais (Mstaafu). Mwenye kujua taratibu zake zipoje?
3. Je Ile sheria ya Viongozi kuzikwa Dodoma ilipita Bungeni?
Kama nikutokuwa na wizara Maalumu mbona wapo wengine?Muondoe tu huyo muhindi hajawahi kuwa Waziri MkuuNo.2 au Amiri Habib Jamal Alikuwa Mzungu na waziri na pia alikuwa Mbunge wa Morogoro kutoka mwaka 1960 mpaka 1985..
Sema nimesahau kuandika mwaka vizuri lakini nahisi kati ya mwaka 83 mpaka 85 alikuwa waziri asiye na wizara maalumu maana yake alikuwa waziri mkuu Na aliweza kufanya kazi wizara yoyote
alichukua Uwaziri mkuu kwa Mda mfupi sana..
Kabla hajaPewa uwaziri wa Fedha mpaka mwaka 1985 na bado alibaki kuwa Mwakilishi wa Tanzania UN mpaka anapofariki mwaka 1995
View attachment 2901062
View attachment 2901063
Zanzibar mbona hauletwi mwili. Masai tupo wengi hukuAnazikwa kwao Monduli...
Utaratibu utafuata protokali za serikali kupitia kamati ya mazishi ya serikali wakishirikiana na taratibu za familia...
Mwili utaagwa Karimjee na KKKT Azania Front kwa Dar es Salaam, utapelekwa na helikopta ya Jeshi Arusha, utaagwa uwanjani pale Sheikh Amri Abeid, utapelekwa Monduli na kuagwa tena na mwisho maziko...
Amir Jamal hakuwa mzungu alikuwa mhindi na alitumika kama waziri wa fedha.mzungu alikuwa Bryson waziri wa kilimo.No.2 au Amiri Habib Jamal Alikuwa Mzungu na waziri na pia alikuwa Mbunge wa Morogoro kutoka mwaka 1960 mpaka 1985..
Sema nimesahau kuandika mwaka vizuri lakini nahisi kati ya mwaka 83 mpaka 85 alikuwa waziri asiye na wizara maalumu maana yake alikuwa waziri mkuu Na aliweza kufanya kazi wizara yoyote
alichukua Uwaziri mkuu kwa Mda mfupi sana..
Kabla hajaPewa uwaziri wa Fedha mpaka mwaka 1985 na bado alibaki kuwa Mwakilishi wa Tanzania UN mpaka anapofariki mwaka 1995
View attachment 2901062
View attachment 2901063