Protokali ya Mazishi ya Waziri Mkuu Mstaafu ipoje?

Protokali ya Mazishi ya Waziri Mkuu Mstaafu ipoje?

Kazi maalum na asiyekuwa na wizara maalum ni sawa tu. Waziri una wizara au huna mengine ni mbwembwe tu. Kaka yangu mkuchika hana wizara.
Mkuu With all Due Respects!
naomba Nikueleweshe tena..
mkuchika Ni waziri wa nchi ofisi ya Rais yaani "Ministry of State President office for special work."

Ila kwa Amiri alikuwa ni "Minister without Portfolio"

Unaona hayo maandishi na hizo kazi ziko sawa?.... Minister of state in president office for special work na "Minister without portfolio"
Wanalingana?
kama ukisema wanalingana bhasi kuna kitu kwako Hakiko sawa
 
Atazikwa kwa hii protokali

coffin-dance-icegif-18.gif
 
Mkuu With all Due Respects!
naomba Nikueleweshe tena..
mkuchika Ni waziri wa nchi ofisi ya Rais yaani "Ministry of State President office for special work."

Ila kwa Amiri alikuwa ni "Minister without Portfolio"

Unaona hayo maandishi na hizo kazi ziko sawa?.... Minister of state in president office for special work na "Minister without portfolio"
Wanalingana?
kama ukisema wanalingana bhasi kuna kitu kwako Hakiko sawa
Without portfolio huenda ikasomeka mzurururaji haipendezi, special work or duty sounds better lakini bado hana portfolio. Anaejua huyu anafanya kazi gani ni raisi tu.
 
Without portfolio huenda ikasomeka mzurururaji haipendezi, special work or duty sounds better lakini bado hana portfolio. Anaejua huyu anafanya kazi gani ni raisi tu.
Hahahaha Nimeuliza una ufahamu wa hizi katiba..
  • Katiba ya Uhuru ya mwaka 1961..
  • Katiba ya Jamhuri ya Tanganyika 1962
  • Katiba ya Jamhuri Ya Muungano wa Tanganyika Na Zanzibar ya mwaka 1964
  • Katiba Ya Jamhuri Ya muungano wa Tanzania ya Mwaka 1965
Hizo katiba ndo zinaeleza kazi ya Waziri ambaye hana portfolio
 
Hahahaha Nimeuliza una ufahamu wa hizi katiba..
  • Katiba ya Uhuru ya mwaka 1961..
  • Katiba ya Jamhuri ya Tanganyika 1962
  • Katiba ya Jamhuri Ya Muungano wa Tanganyika Na Zanzibar ya mwaka 1964
  • Katiba Ya Jamhuri Ya muungano wa Tanzania ya Mwaka 1965
Hizo katiba ndo zinaeleza kazi ya Waziri ambaye hana portfolio
Nimeziishi zote.
 
Nimeziishi zote.
Bhasi kama umeziishi Utakuwa unajua kuwa Hiyo Wizara ilikuwa ni sawa na waziri Mkuu kabla ya Kuwekwa Cheo cha Naibu waziri Mkuu..
Kipindi cha Utawala wa Mwinyi "mwanzoni"
Baada ya Katiba ya Kudumu ya mwaka 1977 kutengenezwa ilibdi kila waziri atambulike wizara yake..
Na nafikiri Historia ya Naibu waziri mkuu unaijua vizuri..
 
1. Miaka zaidi ya 60 toka tupate Uhuru sijawahi kushuhudia Mazishi ya Waziri Mkuu (Mstaafu) Narudia WAZIRI MKUU (Mstaafu) usinitajie Sokoine.

2. Nimeshuhudia mazishi ya Rais, Rais Mstaafu na Makamu wa Rais (Mstaafu). Mwenye kujua taratibu zake zipoje?

3. Je Ile sheria ya Viongozi kuzikwa Dodoma ilipita Bungeni?

Anazikwa kwao Monduli...

Utaratibu utafuata protokali za serikali kupitia kamati ya mazishi ya serikali wakishirikiana na taratibu za familia...

Mwili utaagwa Karimjee na KKKT Azania Front kwa Dar es Salaam, utapelekwa na helikopta ya Jeshi Arusha, utaagwa uwanjani pale Sheikh Amri Abeid, utapelekwa Monduli na kuagwa tena na mwisho maziko...
 
Hua napambana sana huyu hakustaafu🤣 au lugha inatuzingua maana medi nazo sinasema mstaafu
Kwani nini maana Ya kustaafu..
Kama angetumbuliwa Uwaziri wake Tusingemuita Mstaafu ila Kiprotokoli aliamua kulinda heshima yake na serikali kujiuzuru ili kupata stahiki za mstaafu..

Kwa mfano..Mtumishi akiomba Kustaafu mwenyewe baada ya Miaka 55 ni sawa na kusema kujiuzuru serkalini na atapata stahiki zake na ataitwa Mstaafu ila ikitokea akafukuzwa akiwa na miaka 58 jina mstaafu hatalipata Hata kidogo..

So kiprotokali Anastahili kuitwa hivyo
 
Jiwe alizungushwa majiji yote ndipo akazikwa, walifupisha kwa kuwa aliua watu, alipora mali za watu, aliteka watu na kupiga watu risasi.

Sasa kwa huyu waziri mkuu mstaafu Edward Lowasa kwa kuwa alikuwa mtu wa watu atazungushwa mikoa yote na wilaya zote ndipo azikwe.

RIP Edo

Hatazungushwa mkuu...

Msiba utakuwa Dar, Arusha mjini na kwao Monduli...
 
Kwani nini maana Ya kustaafu..
Kama angetumbuliwa Uwaziri wake Tusingemuita Mstaafu ila Kiprotokoli aliamua kulinda heshima yake na serikali kujiuzuru ili kupata stahiki za mstaafu..

Kwa mfano..Mtumishi akiomba Kustaafu mwenyewe baada ya Miaka 55 ni sawa na kusema kujiuzuru serkalini na atapata stahiki zake na ataitwa Mstaafu ila ikitokea akafukuzwa akiwa na miaka 58 jina mstaafu hatalipata Hata kidogo..

So kiprotokali Anastahili kuitwa hivyo
Shukrani mkuu, kuna document yiyote tunaweza rejea?
 
1. Miaka zaidi ya 60 toka tupate Uhuru sijawahi kushuhudia Mazishi ya Waziri Mkuu (Mstaafu) Narudia WAZIRI MKUU (Mstaafu) usinitajie Sokoine.

2. Nimeshuhudia mazishi ya Rais, Rais Mstaafu na Makamu wa Rais (Mstaafu). Mwenye kujua taratibu zake zipoje?

3. Je Ile sheria ya Viongozi kuzikwa Dodoma ilipita Bungeni?
Kiprotokali kwa kuwa bado serikali huendelea kuwahudumia viongozi wakuu wa nchi kila kitu hadi ulinzi, basi hakuna shaka yoyote kuwa serikali pia itagharamia maziko yao popote pale familia zao zitakapotaka.

Ila mara nyingi viongozi wetu wana kwao hivyo watazikwa kwao walikozaliwa.
 
1. Miaka zaidi ya 60 toka tupate Uhuru sijawahi kushuhudia Mazishi ya Waziri Mkuu (Mstaafu) Narudia WAZIRI MKUU (Mstaafu) usinitajie Sokoine.

2. Nimeshuhudia mazishi ya Rais, Rais Mstaafu na Makamu wa Rais (Mstaafu). Mwenye kujua taratibu zake zipoje?

3. Je Ile sheria ya Viongozi kuzikwa Dodoma ilipita Bungeni?
Majibu:

1. Hakuna sheria ya kumzika kiongozi yeyote Dodoma iliyopitishwa na Bunge. Maamuzi ya mahali gani mtu aliyekuwa kiongozi wa umma ktk ngazi na madaraka yoyote yanabaki kuwa ni ya familia husika..

2. Protocol ya mazishi ya mtu ambaye amewahi kushika au amekufa na wadhifa/madaraka ya Waziri Mkuu hayana tofauti kubwa na mtu wa ngazi ya Vice President...

3. Kubwa na muhimu wewe kuelewa ni hili, kwamba, kuzikwa ni lazima atazikwa kwa heshima na protokali yote ya kiserikali. Mfano tayari imeshatangazwa siku 5 za maombolezo kitaifa na bendera ya taifa kupepea nusu mlingoti...
 
No.2 au Amiri Habib Jamal Alikuwa Mzungu na waziri na pia alikuwa Mbunge wa Morogoro kutoka mwaka 1960 mpaka 1985..

Sema nimesahau kuandika mwaka vizuri lakini nahisi kati ya mwaka 83 mpaka 85 alikuwa waziri asiye na wizara maalumu maana yake alikuwa waziri mkuu Na aliweza kufanya kazi wizara yoyote

alichukua Uwaziri mkuu kwa Mda mfupi sana..

Kabla hajaPewa uwaziri wa Fedha mpaka mwaka 1985 na bado alibaki kuwa Mwakilishi wa Tanzania UN mpaka anapofariki mwaka 1995
View attachment 2901062
View attachment 2901063
Kama nikutokuwa na wizara Maalumu mbona wapo wengine?Muondoe tu huyo muhindi hajawahi kuwa Waziri Mkuu

Sent from my SM-A107M using JamiiForums mobile app
 
Anazikwa kwao Monduli...

Utaratibu utafuata protokali za serikali kupitia kamati ya mazishi ya serikali wakishirikiana na taratibu za familia...

Mwili utaagwa Karimjee na KKKT Azania Front kwa Dar es Salaam, utapelekwa na helikopta ya Jeshi Arusha, utaagwa uwanjani pale Sheikh Amri Abeid, utapelekwa Monduli na kuagwa tena na mwisho maziko...
Zanzibar mbona hauletwi mwili. Masai tupo wengi huku
 
No.2 au Amiri Habib Jamal Alikuwa Mzungu na waziri na pia alikuwa Mbunge wa Morogoro kutoka mwaka 1960 mpaka 1985..

Sema nimesahau kuandika mwaka vizuri lakini nahisi kati ya mwaka 83 mpaka 85 alikuwa waziri asiye na wizara maalumu maana yake alikuwa waziri mkuu Na aliweza kufanya kazi wizara yoyote

alichukua Uwaziri mkuu kwa Mda mfupi sana..

Kabla hajaPewa uwaziri wa Fedha mpaka mwaka 1985 na bado alibaki kuwa Mwakilishi wa Tanzania UN mpaka anapofariki mwaka 1995
View attachment 2901062
View attachment 2901063
Amir Jamal hakuwa mzungu alikuwa mhindi na alitumika kama waziri wa fedha.mzungu alikuwa Bryson waziri wa kilimo.
 
Back
Top Bottom