Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ongera kiongozi upo vizurInawezekana maana Avatar wanatumia sio zao pia hata baadhi ya wanaume nao humu ni chawa,mimi nakuwa mfano bora maana natumia jina na avatar ni vyangu
We nawe ndio wale wale tu [emoji2]Unamaanisha mrembo au io mlembo ni aina ya dawa unatafuta
Hahahahh pamoja kiongozWewe ulioleta huu uzi ulikua unafikiria nini?mimi nafikiri wewe ungeenda kwa shigongo akupe shavu ndani ya global publishers. Sorry to say..
Lol, pale unapomtambulisha manzi yako kwa best zako halafu wanakujibu,_UTAJUAJE KAMA DEMU WAKO NI MBAYA???_
*NI PALE UTAKAPOMTAMBULISHA KWA WAZAZI WAKO.*
*KISHA UNASIKIA WANAKWAMBIA......*
*KIKUBWA NI UPENDO TU BABA.*
*KUPENDANA NDO KITU CHA MUHIMU*[emoji23]
He heLol, pale unapomtambulisha manzi yako kwa best zako halafu wanakujibu,
"As long as your happy, we support you broda"
hahaha jua hapo umepotea kichochoro. lol.
Hahah same to ...Nilishawai kupiga binti wa humu ndani,kiukweli sio mzuri ila kwakuwa niliyavulia maji nguo ilinibidi kuyaoga,naunga mkonyo hoja
Kibaya kibaya tu ata iwe vip sema kama unachenchi ndipo utavumiliwa na ndipo kauli yako inapopata kuhema apo [emoji2]Kila mtu ni mzuri kwa mtu wake
hivi huu ni utafiti au mawazo binafsiHahaha hahah Nimekua nikianguaga kicheko sana nikiona kuwa **** mchizi umu anajitia ujaja akijiongeza kwa watoto wa kike ambao kimsingi huwa sanalinga sana humu kwakuwa tu atuna access ya kuwaona ...
Sasa ndugu zangu mnatakiwa kufahamu kwamba wachina wengi ambao mnawaona umu wakilinga na nyie mkidhini kuwa ni mapini ( wazuri wa kuvutia sura adi shape zao) kuwa Ni wabaya kinoma na pengine ukiwaona unaweza ata ukajichekaa kuwa ni mjinga kwa kuzania kitu ambaeho sio kweli ....
Takwimu zinaonesha 85% ya wasichana ambao wako humu ni WABAYA KICHIZI YANI [emoji12] [emoji15] [emoji15] [emoji16]
JIANGALIE KAMA UNATAFUTA MLEMBO HUMU HAHAH[emoji15] [emoji2]
Swali zuri...Mzuri yukoje na mbaya yuko vipi
Hahahhaha eti tunawanyima raha aya tutaacha kuwanyima raha warembo wa jf[emoji87] hahah[emoji2] [emoji2] [emoji2]Kwani shida ni nini hapa, uzuri au ubaya wa wasichana/wanawake wa JF unakupunguzia nini? Uliye na bifu naye malizana naye usijumuishe wote. Acha kuwanyima watoto wa watu raha.
Hata hivyo nimekuelewa mkuu, haahaha[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Hahahhaha eti tunawanyima raha aya tutaacha kuwanyima raha warembo wa jf[emoji87] hahah[emoji2] [emoji2] [emoji2]