Psychic Powers: Ni nguvu za kufanya miujiza. Wengi wanazo bila kujitambua. Je, wewe unazo?

Twende Hatua Inayofuata Mkuu....
 
Mkuu mfano ndiyo umepata mikosi kupitia hao wanawake? Nini Cha kufanya kuondoa hiyo Hali ya mikosi?
 
Mkuu mfano ndiyo umepata mikosi kupitia hao wanawake? Nini Cha kufanya kuondoa hiyo Hali ya mikosi?
Mkuu Natokea Kanda Maalum, ukiisha jaribu mara tatu ukakosa, leave it, achana naye, potezea!. Ila kama mwili ni dhaifu, ukipania kutafuna hiyo nyama ni lazima ule, then, usile 'bila kunawa!', na ukimaliza kula aga!, usiondoke bila kuoga!, hii maana yake chakula hicho lazima kiliwe mahali sahihi pa kulia chakula hicho, ili ukimaliza kula hayo mazagazaga, uweze to do the right thing, na sio zile za fast food, short time na one night stand, za kwenye gari, kajificheni au vichakani!.
P
 
Mkuu any place kwa sasa ambayo wanaitumia as centre ya meditation like a Temple flan au eneo maalum ambalo hukutania. Najua inafanyika mazingira yoyote yale ambayo ni condusive and I always doing that lakini nilikua natamani kujua kama kuna centre/temple/area maalum kwa dsm.
 
Follow hizo links ni centre za meditation. Maeneo ya Kisutu kuna temples kibao ila ni za Hindu na Buddhist temples.

Kama ni ku meditate kwa sehemu kimya tulivu, nenda hata kanisa lolote siku ambazo sio za ibada, ingia u meditate, hata Jesus alikuwa ana meditate.
P
 
Nashkuru sana mkuu. Kwa hizo za Hindu na Buddhist ndo mahala pake lakini haya makanisa yetu uelewa wa spiritual journey bado ni mdogo, yaani wakukute labda umepiga zako cross legged afu mgongo straight lazima uwape maelezo ya kutosha hawachelewi kuhisi ni unawanga
 
Mkuu samahani, nimekupm maana nina shida binafsi na ww

Naomba fungua pm yako unisaidie
 
No sio lazima ukifanya meditation u fanye the Hindu ways or the Buddhist ways, you can do it the American way you just sit in any position comfortable sio lazima the lotus position.

Hivyo kanisani you just sit and meditate.

P
 
Hii kitu nilishawai anza kuifanya lakini ikawa kama mauzauza mana nilibadilika nikawa najitenga sana. Yani kupenda kukaa mwenyewe na pia usiku nilikuwa silali mana vitu vya kutisha vilikuwa vingi. Ila nataka kujifunza jinsi ya kujicontrol. Sijui wapi naweza kupata mafunzo.
 
Huu uzi una madini fulani ya thamani. Ngoja niuchukulie serious
 
iliwahi nikuta, niliota hio sehem sijawahi kufika kabisa lakini kuna siku tuliitwa nikawa sjui eneo tunalokutania huwezi amini had idadi ya minazi nilioiota ndio nilioikuta, kibaraza tulichokalia nilikiota hivohivo hadmtu aliepita na baskeli na had njia nakumbuka ilikua mwez wa ramadhan skuelewa kabisa mantiki ya ndoto ile imekuaje niote nije niishi uhalisia??


kuna siku nilisoma uzi wa rakims unahusu meditation, sikuwah kufanya hio nikasema ngoja nifanye usiku nikafanya ya kuhesab namba, nilikua naona kama mwanga unaenda unajigonga unarudi hivohivo yan kama sauti ua mlio bang jinsi inavyomalizikia ndio niliona, mkono wa kulia ulivibrate na paji la uso liliniuma sjajaaribu tena ila had leo ila nilipojaribu kulala baada ya hio mguu ulifanya kama kushtuka je hii itakua nn??
 
Kuna ndoto za kweli ambapo physical body inakuwa imelala, lakini astra inakuwa imeamka na kwenda eneo hilo, hivyo ni kweli hilo eneo uliliona.
Hili ni kumpelekea Rakims mwenyewe ndio mambo zake
P
 
Since 2013 lakn uzi bdo unaishi...kuna mtu aliuliza kuw hzo psychic powerz zmeelezea life after death ama la? bdo hajajibiwa nadhan ! mwenye jibu tafadhali.
Yes uzi umezungumza yote kule kwenye links mambo ya life after life na reincarnation ni mambo ya angalia link no. 41 . Buddhism na No. 58. Hinduism
P
 
Kuna ndoto za kweli ambapo physical body inakuwa imelala, lakini astra inakuwa imeamka na kwenda eneo hilo, hivyo ni kweli hilo eneo uliliona.

Hili ni kumpelekea Rakims mwenyewe ndio mambo zake
P
nimefrahi umenijibu mkuu, kwa mfano ukiwa unamuwazia mtu ambae hujaonana naye muda mrefu then ukimuulizia unaambiwa amefariki ni kitu gani?? kuna watu tulikua tunaelewana maisha yakatutenganisha japo mkoa ni huohuo mmoja siku namfikiria najisemea nitaenda kazini kwake kumsalimia ananijia mno akilini napigiwa sim naambiwa huyo ameshafariki inanitokea sana sana kuna ujumbe gan
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…