bulajunior
JF-Expert Member
- Oct 14, 2024
- 302
- 434
Hilo zembe linaonekana Tu!Watanzania ni wavivu mno,
Angalia mawazo tu ya mtoa mada,
Unataka tu upumzike hlf uzalishaji akafanye nani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hilo zembe linaonekana Tu!Watanzania ni wavivu mno,
Angalia mawazo tu ya mtoa mada,
Unataka tu upumzike hlf uzalishaji akafanye nani?
Nchi bado inategemea misaada wanaokupa misaada hawana muda wa kuchezea kama unavowaza wewe hapo! unataka ulale huku akili yote ikiwaza ngono tu na unasema eti akili ipumzike kwa ubize gani mbungo wewe ulokufanya uchoke akili usituongipeeKwa kuwa Xmas ni Jumatano na Boxing Day ni Alhamisi, Rais Samia anaweza kutumia busara tu ya ukuu wa nchi Kwa kusema tu, Ijumaa watu wapumzike na kazi zianze rasmi Jumatatu ya December 30.
Hata kama sikuu ya Idd mosi ikiangukia Jumatano na Idd Pili Alhamisi, still Ijumaa watu wanaweza kupumzisha akili kisha kazi zikaanza Jumatatu.
NB: Mapumziko ya kutosha, huimarisha afya ya akili na kusaidia kuongeza ufanisi kazini.
"Ninapenda kuchukua wasaa huu kuwatakia kheri ya sikukuu ya kuzaliwa kwa Yesu Kristo (Christmas) ndugu zangu wakristo wote na watanzania kwa ujumla, na katika kusherehekea hilo, ninapenda kuutangazia umma wa watanzania ya kuwa siku ya Ijumaa ya December 27, 2024, itakuwa pia ni siku ya mapumziko na kazi zitaanza rasmi siku ya Jumatatu, December 30, 2024"
ANGALIZO: Ninakaribisha Ukosoaji wenye tija (Constructive Criticism)
Akili anayo baba yako kum* wewe..Aki
Akili huna nchi masikini badala ya kuipigania ufanye kazi kwa kizazi kijacho we unawaza kupumzika kwa kazi ipi ulofanya? ukiitwa fisadi utakataa?
Zembe baba yako kum* weweHilo zembe linaonekana Tu!
Nawewe ni mtumishi wa serikali 🫢🫢Zembe baba yako kum* wewe
Nitakuongezea matusi usinichezee mimi. Unaniita majina ya ajabu nimekukosea nini mimi??..k
Nawewe ni mtumishi wa serikali 🫢🫢
nakuuliza nawewe unaitumikia serikali yetu?Nitakuongezea matusi usinichezee mimi. Unaniita majina ya ajabu nimekukosea nini mimi??..
Ninamtumikia m@m@ yako..nakuuliza nawewe unaitumikia serikali yetu?
....ni mtumishi wa m@m@ yako.k
Nawewe ni mtumishi wa serikali 🫢🫢
Mbona hata wewe unazo. Unaweza kuzikuna pia....We muuza maembe pumzika tu km hayo maembe hayajaoza.
Wengine ndo kwanza tunapasha msuli hapa wa kupiga hela.
We kaa ukune mbupu.
Muda huo napata saa ngapi, mke wangu ana kazi ganiMbona hata wewe unazo. Unaweza kuzikuna pia....
Sawa mkuu..Mama ni msikivu mwerevu na mwenye upendo atatekeleza....
MamaaaaView attachment 3179953
Sio lazima mawazo yangu na yako yanafanane.Nchi bado inategemea misaada wanaokupa misaada hawana muda wa kuchezea kama unavowaza wewe hapo! unataka ulale huku akili yote ikiwaza ngono tu na unasema eti akili ipumzike kwa ubize gani mbungo wewe ulokufanya uchoke akili usituongipee
Sijui ana kazi gani..Muda huo napata saa ngapi, mke wangu ana kazi gani
Je, sheria inaruhusu?? Kauli ya Rais ni sheria (Presidential decree)Kwsni hata ukitaka kupumzika wiki nzima, nani anakuzuia?
Welcome to my ignore list..Nchi bado inategemea misaada wanaokupa misaada hawana muda wa kuchezea kama unavowaza wewe hapo! unataka ulale huku akili yote ikiwaza ngono tu na unasema eti akili ipumzike kwa ubize gani mbungo wewe ulokufanya uchoke akili usituongipee