Daudi1
JF-Expert Member
- Dec 14, 2013
- 12,444
- 18,741
Mapumziko yake hayana tija mkuu, nyie mnapumzia wengine anajilipa posho kutokana na hizo sikuMbona Nyerere na Karume Day mnapumzika mkuu??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mapumziko yake hayana tija mkuu, nyie mnapumzia wengine anajilipa posho kutokana na hizo sikuMbona Nyerere na Karume Day mnapumzika mkuu??
Unaelewa maana ya kulipwa kwa DAY?na kulipwa kwa month?Mbona Police na Nurse hawapumziki?? Hata wewe haujalazimishwa mkuu??..
Sawa mkuu. Ninakushukuru sana kwa kuchangia..Mapumziko yake hayana tija mkuu, nyie mnapumzia wengine anajilipa posho kutokana na hizo siku
Haujalazimishwa kupumzika mkuu. Hata Mama na Baba Lishe wanafungua biashara siku hizo za mapumziko..Unaelewa maana ya kulipwa kwa DAY?na kulipwa kwa month?
Kumbe wewe kichwa chako kigumu kuelewa.Haujalazimishwa kupumzika mkuu. Hata Mama na Baba Lishe wanafungua biashara siku hizo za mapumziko..
Mjinga MimiKumbe wewe kichwa chako kigumu kuelewa.
Siwezi kwenda kazini Sabab kampuni ninayofanya kazi unafuata Sheria zote za nchi.unaposema ijumaa iwe mapumziko ina maana sintoweza kuingia kazini.na Nia hasara.ila kama wewe ni wale wa kusubiri Kodi za watu ndo ulipwe MSHAHARA hauwezi elewa.Haujalazimishwa kupumzika mkuu. Hata Mama na Baba Lishe wanafungua biashara siku hizo za mapumziko..
Bora umejijua.hongeraMjinga Mimi
Asante sana mkuu..Bora umejijua.hongera
Mbona hizo tarehe 25 na 26 haulalamiki??Siwezi kwenda kazini Sabab kampuni ninayofanya kazi unafuata Sheria zote za nchi.unaposema ijumaa iwe mapumziko ina maana sintoweza kuingia kazini.na Nia hasara.ila kama wewe ni wale wa kusubiri Kodi za watu ndo ulipwe MSHAHARA hauwezi elewa.
Vacations/mapumziko ni muhimu na uongeza utendaji kazi kwa maana mtu anakuwa na afya njema ya akili.
Unaweza ukaendesha gari kutoka Dar mpaka Lusaka bila kupumzika??
Sio kila Ijumaa mkuu. Ijumaa hii ya December 27, 2024, ni "special case"Jumamosi na jumapili zimewekwa za kazi gani ?
Kwa nini unataka upumzike ijumaa wakati kuna jmos na jpili
Hauoni kama zipo kisheria?hyo ijumaa yako ipo kisheria?Mbona hizo tarehe 25 na 26 haulalamiki??
Mkuu Maembe unayo hapo? Nahitaji nipo Kisemvule hapaKwa kuwa Xmas ni Jumatano na Boxing Day ni Alhamisi, Rais Samia anaweza kutumia busara tu ya ukuu wa nchi Kwa kusema tu, Ijumaa watu wapumzike na kazi zianze rasmi Jumatatu ya December 30.
Hata kama sikuu ya Idd mosi ikiangukia Jumatano na Idd Pili Alhamisi, still Ijumaa watu wanaweza kupumzisha akili kisha kazi zikaanza Jumatatu.
NB: Mapumziko ya kutosha, huimarisha afya ya akili na kusaidia kuongeza ufanisi kazini.
"Ninawatakia kheri ya sikukuu ya Christmas ndugu zangu wakristo wote na katika kusherehekea hilo, ninapenda kutangaza ya kuwa siku ya December 27, 2024, itakuwa ni siku ya mapumziko pia"
Ninakaribisha Ukosoaji wenye tija (Constructive Criticism)
Natamani hata hiyo Christmas ingefutiliwa mbali.Kwa kuwa Xmas ni Jumatano na Boxing Day ni Alhamisi, Rais Samia anaweza kutumia busara tu ya ukuu wa nchi Kwa kusema tu, Ijumaa watu wapumzike na kazi zianze rasmi Jumatatu ya December 30.
Hata kama sikuu ya Idd mosi ikiangukia Jumatano na Idd Pili Alhamisi, still Ijumaa watu wanaweza kupumzisha akili kisha kazi zikaanza Jumatatu.
NB: Mapumziko ya kutosha, huimarisha afya ya akili na kusaidia kuongeza ufanisi kazini.
"Ninawatakia kheri ya sikukuu ya Christmas ndugu zangu wakristo wote na katika kusherehekea hilo, ninapenda kutangaza ya kuwa siku ya December 27, 2024, itakuwa ni siku ya mapumziko pia"
Ninakaribisha Ukosoaji wenye tija (Constructive Criticism)
Mbona huko kwenye ofisi za umma utegaji mwingi tu.Kwa kuwa Xmas ni Jumatano na Boxing Day ni Alhamisi, Rais Samia anaweza kutumia busara tu ya ukuu wa nchi Kwa kusema tu, Ijumaa watu wapumzike na kazi zianze rasmi Jumatatu ya December 30.
Hata kama sikuu ya Idd mosi ikiangukia Jumatano na Idd Pili Alhamisi, still Ijumaa watu wanaweza kupumzisha akili kisha kazi zikaanza Jumatatu.
NB: Mapumziko ya kutosha, huimarisha afya ya akili na kusaidia kuongeza ufanisi kazini.
"Ninawatakia kheri ya sikukuu ya Christmas ndugu zangu wakristo wote na katika kusherehekea hilo, ninapenda kutangaza ya kuwa siku ya December 27, 2024, itakuwa ni siku ya mapumziko pia"
Ninakaribisha Ukosoaji wenye tija (Constructive Criticism)
Hata hiyo Ijumaa moja utapoteza financially lakini uta-gain psychologically, trust me..Hauoni kama zipo kisheria?hyo ijumaa yako ipo kisheria?
Hata hizo siku mbili tuna poteza 30,000+ ni vile hatuna namna