PUBLIC RELATIONS: Rais Samia anaweza kutumia busara tu. Ijumaa (December 27, 2024) iwe siku ya mapumziko.

PUBLIC RELATIONS: Rais Samia anaweza kutumia busara tu. Ijumaa (December 27, 2024) iwe siku ya mapumziko.

Haujalazimishwa kupumzika mkuu. Hata Mama na Baba Lishe wanafungua biashara siku hizo za mapumziko..
Siwezi kwenda kazini Sabab kampuni ninayofanya kazi unafuata Sheria zote za nchi.unaposema ijumaa iwe mapumziko ina maana sintoweza kuingia kazini.na Nia hasara.ila kama wewe ni wale wa kusubiri Kodi za watu ndo ulipwe MSHAHARA hauwezi elewa.
 
Siwezi kwenda kazini Sabab kampuni ninayofanya kazi unafuata Sheria zote za nchi.unaposema ijumaa iwe mapumziko ina maana sintoweza kuingia kazini.na Nia hasara.ila kama wewe ni wale wa kusubiri Kodi za watu ndo ulipwe MSHAHARA hauwezi elewa.
Mbona hizo tarehe 25 na 26 haulalamiki??
 
Jumamosi na jumapili zimewekwa za kazi gani ?

Kwa nini unataka upumzike ijumaa wakati kuna jmos na jpili
Sio kila Ijumaa mkuu. Ijumaa hii ya December 27, 2024, ni "special case"

RESTING.>> JUMATANO
RESTING.>> ALHAMISI
KAZINI.>> IJUMAA
RESTING.>> JUMAMOSI
RESTING.>> JUMAPILI
 
Kwa kuwa Xmas ni Jumatano na Boxing Day ni Alhamisi, Rais Samia anaweza kutumia busara tu ya ukuu wa nchi Kwa kusema tu, Ijumaa watu wapumzike na kazi zianze rasmi Jumatatu ya December 30.

Hata kama sikuu ya Idd mosi ikiangukia Jumatano na Idd Pili Alhamisi, still Ijumaa watu wanaweza kupumzisha akili kisha kazi zikaanza Jumatatu.

NB: Mapumziko ya kutosha, huimarisha afya ya akili na kusaidia kuongeza ufanisi kazini.

"Ninawatakia kheri ya sikukuu ya Christmas ndugu zangu wakristo wote na katika kusherehekea hilo, ninapenda kutangaza ya kuwa siku ya December 27, 2024, itakuwa ni siku ya mapumziko pia"

Ninakaribisha Ukosoaji wenye tija (Constructive Criticism)
Mkuu Maembe unayo hapo? Nahitaji nipo Kisemvule hapa
 
Kikwete ndio alikua anatufanyia wepesi kwenye tarehe za hivyo
 
Kwa kuwa Xmas ni Jumatano na Boxing Day ni Alhamisi, Rais Samia anaweza kutumia busara tu ya ukuu wa nchi Kwa kusema tu, Ijumaa watu wapumzike na kazi zianze rasmi Jumatatu ya December 30.

Hata kama sikuu ya Idd mosi ikiangukia Jumatano na Idd Pili Alhamisi, still Ijumaa watu wanaweza kupumzisha akili kisha kazi zikaanza Jumatatu.

NB: Mapumziko ya kutosha, huimarisha afya ya akili na kusaidia kuongeza ufanisi kazini.

"Ninawatakia kheri ya sikukuu ya Christmas ndugu zangu wakristo wote na katika kusherehekea hilo, ninapenda kutangaza ya kuwa siku ya December 27, 2024, itakuwa ni siku ya mapumziko pia"

Ninakaribisha Ukosoaji wenye tija (Constructive Criticism)
Natamani hata hiyo Christmas ingefutiliwa mbali.
 
Kwa kuwa Xmas ni Jumatano na Boxing Day ni Alhamisi, Rais Samia anaweza kutumia busara tu ya ukuu wa nchi Kwa kusema tu, Ijumaa watu wapumzike na kazi zianze rasmi Jumatatu ya December 30.

Hata kama sikuu ya Idd mosi ikiangukia Jumatano na Idd Pili Alhamisi, still Ijumaa watu wanaweza kupumzisha akili kisha kazi zikaanza Jumatatu.

NB: Mapumziko ya kutosha, huimarisha afya ya akili na kusaidia kuongeza ufanisi kazini.

"Ninawatakia kheri ya sikukuu ya Christmas ndugu zangu wakristo wote na katika kusherehekea hilo, ninapenda kutangaza ya kuwa siku ya December 27, 2024, itakuwa ni siku ya mapumziko pia"

Ninakaribisha Ukosoaji wenye tija (Constructive Criticism)
Mbona huko kwenye ofisi za umma utegaji mwingi tu.
Nenda mahospitalini kero tupu. Nenda ardhi utajuta kumiliki ardhi, nenda kumuona mkurugenzi bora upeleke barua ya posa taka kufanya uhamisho wa mtumishi utafikiri unahama nchi. Hata anayeomba uraia anapewa haraka zaidi kuliko wewe
Kama vipi WAPUMZISHWE TU KUANZIA KRISMAS HADI MWAKA MPYA ILI ISIWE TABU
 
Back
Top Bottom