PUBLIC RELATIONS: Rais Samia anaweza kutumia busara tu. Ijumaa (December 27, 2024) iwe siku ya mapumziko.

PUBLIC RELATIONS: Rais Samia anaweza kutumia busara tu. Ijumaa (December 27, 2024) iwe siku ya mapumziko.

Kwa kuwa Xmas ni Jumatano na Boxing Day ni Alhamisi, Rais Samia anaweza kutumia busara tu ya ukuu wa nchi Kwa kusema tu, Ijumaa watu wapumzike na kazi zianze rasmi Jumatatu ya December 30.

Hata kama sikuu ya Idd mosi ikiangukia Jumatano na Idd Pili Alhamisi, still Ijumaa watu wanaweza kupumzisha akili kisha kazi zikaanza Jumatatu.

NB: Mapumziko ya kutosha, huimarisha afya ya akili na kusaidia kuongeza ufanisi kazini.

"Ninawatakia kheri ya sikukuu ya Christmas ndugu zangu wakristo wote na katika kusherehekea hilo, ninapenda kutangaza ya kuwa siku ya December 27, 2024, itakuwa ni siku ya mapumziko pia"

Ninakaribisha Ukosoaji wenye tija (Constructive Criticism)
Kuna taasisi zitaanza bata Ijumaa hii mpaka Jumatatu ya mwisho wa mwaka
 
Mbona huko kwenye ofisi za umma utegaji mwingi tu.
Nenda mahospitalini kero tupu. Nenda ardhi utajuta kumiliki ardhi, nenda kumuona mkurugenzi bora upeleke barua ya posa taka kufanya uhamisho wa mtumishi utafikiri unahama nchi. Hata anayeomba uraia anapewa haraka zaidi kuliko wewe
Kama vipi WAPUMZISHWE TU KUANZIA KRISMAS HADI MWAKA MPYA ILI ISIWE TABU
Aisee, hatari sana mkuu..
 
Kwa kuwa Xmas ni Jumatano na Boxing Day ni Alhamisi, Rais Samia anaweza kutumia busara tu ya ukuu wa nchi Kwa kusema tu, Ijumaa watu wapumzike na kazi zianze rasmi Jumatatu ya December 30.

Hata kama sikuu ya Idd mosi ikiangukia Jumatano na Idd Pili Alhamisi, still Ijumaa watu wanaweza kupumzisha akili kisha kazi zikaanza Jumatatu.

NB: Mapumziko ya kutosha, huimarisha afya ya akili na kusaidia kuongeza ufanisi kazini.

"Ninawatakia kheri ya sikukuu ya Christmas ndugu zangu wakristo wote na katika kusherehekea hilo, ninapenda kutangaza ya kuwa siku ya December 27, 2024, itakuwa ni siku ya mapumziko pia"

Ninakaribisha Ukosoaji wenye tija (Constructive Criticism)
Najua wewe ni mwajiriwa wa serikali ya CCM, na huko CCM hakuna haja kutumia akili.
Ebu waambie wafanyabiashara wanàotumia akili walale jtano, alhamis, ijumaa, jmosi, jpili nao waanze kasi dec 30.
Ndo maana mnapenda rushwa na wizi badala ya kupenda kazi.
 
Najua wewe ni mwajiriwa wa serikali ya CCM, na huko CCM hakuna haja kutumia akili.
Ebu waambie wafanyabiashara wanàotumia akili walale jtano, alhamis, ijumaa, jmosi, jpili nao waanze kasi dec 30.
Ndo maana mnapenda rushwa na wizi badala ya kupenda kazi.
Mkuu, umekula mchana lakini?? Ninaomba unisamehe sana kwa kukuuliza hivi..
 
Kwa kuwa Xmas ni Jumatano na Boxing Day ni Alhamisi, Rais Samia anaweza kutumia busara tu ya ukuu wa nchi Kwa kusema tu, Ijumaa watu wapumzike na kazi zianze rasmi Jumatatu ya December 30.

Hata kama sikuu ya Idd mosi ikiangukia Jumatano na Idd Pili Alhamisi, still Ijumaa watu wanaweza kupumzisha akili kisha kazi zikaanza Jumatatu.

NB: Mapumziko ya kutosha, huimarisha afya ya akili na kusaidia kuongeza ufanisi kazini.

"Ninapenda kuchukua wasaa huu kuwatakia kheri ya sikukuu ya kuzaliwa kwa Yesu Kristo (Christmas) ndugu zangu wakristo wote na watanzania kwa ujumla, na katika kusherehekea hilo, ninapenda kuutangazia umma wa watanzania ya kuwa siku ya Ijumaa ya December 27, 2024, itakuwa pia ni siku ya mapumziko na kazi zitaanza rasmi siku ya Jumatatu, December 30, 2024"

ANGALIZO: Ninakaribisha Ukosoaji wenye tija (Constructive Criticism)
Sikukuu zina impact mbaya sana kwa wafanya biashara. Benki zimefungwa, bandari hazitoi mizigo, TRA hawafanyi kazi, duties na storage charges zinaongezeka n.k

Tuache kufikiria kama walala hoi, Kwa nchi zilizokuwa serious sikukuu zikitokea katikati ya wiki basi siku moja ya weekend inakuwa siku ya kazi na hii ndio model ya Tanzania kuifuata
 
Sikukuu zina impact mbaya sana kwa wafanya biashara. Benki zimefungwa, bandari hazitoi mizigo, TRA hawafanyi kazi, duties na storage charges zinaongezeka n.k
Kwa hiyo watu wasipopumzika hiyo December 27, ndio Tanzania italingana uchumi wake na Canada?? Kwa hiyo Dar Es Salaam itakuwa kama Riyadh??
 
Kwa kuwa Xmas ni Jumatano na Boxing Day ni Alhamisi, Rais Samia anaweza kutumia busara tu ya ukuu wa nchi Kwa kusema tu, Ijumaa watu wapumzike na kazi zianze rasmi Jumatatu ya December 30.

Hata kama sikuu ya Idd mosi ikiangukia Jumatano na Idd Pili Alhamisi, still Ijumaa watu wanaweza kupumzisha akili kisha kazi zikaanza Jumatatu.

NB: Mapumziko ya kutosha, huimarisha afya ya akili na kusaidia kuongeza ufanisi kazini.

"Ninapenda kuchukua wasaa huu kuwatakia kheri ya sikukuu ya kuzaliwa kwa Yesu Kristo (Christmas) ndugu zangu wakristo wote na watanzania kwa ujumla, na katika kusherehekea hilo, ninapenda kuutangazia umma wa watanzania ya kuwa siku ya Ijumaa ya December 27, 2024, itakuwa pia ni siku ya mapumziko na kazi zitaanza rasmi siku ya Jumatatu, December 30, 2024"

ANGALIZO: Ninakaribisha Ukosoaji wenye tija (Constructive Criticism)
Mkuu Fanya kazi utapumzika sana uzeeni...unanikumbusha zamani kipindi cha Mzee ruksa public holiday ikiangukia jumamosi au jumapili basi itafidiwa jumatatu ya wiki inayofuata nadhani mkapa ndiyo alikuja kufuta huo upuuzi
 
Mkuu Fanya kazi utapumzika sana uzeeni...unanikumbusha zamani kipindi cha Mzee ruksa public holiday ikiangukia jumamosi au jumapili basi itafidiwa jumatatu ya wiki inayofuata nadhani mkapa ndiyo alikuja kufuta huo upuuzi
Hiyo Ijumaa turn up itakuwa ndogo sana huko ofisi za umma, trust me mkuu..
 
Waafrika mnapenda mapumziko, uvivu umewajaa ndio maana umaskini hautaisha
Usisahau tu wavivu hata kwenye kusoma.
Je wewe umesoma mpaka mwisho (au ndio unarudia tena kusoma?)

ANGALIZO: Ninakaribisha Ukosoaji wenye tija (Constructive Criticism)
 
Aki
Kwa kuwa Xmas ni Jumatano na Boxing Day ni Alhamisi, Rais Samia anaweza kutumia busara tu ya ukuu wa nchi Kwa kusema tu, Ijumaa watu wapumzike na kazi zianze rasmi Jumatatu ya December 30.

Hata kama sikuu ya Idd mosi ikiangukia Jumatano na Idd Pili Alhamisi, still Ijumaa watu wanaweza kupumzisha akili kisha kazi zikaanza Jumatatu.

NB: Mapumziko ya kutosha, huimarisha afya ya akili na kusaidia kuongeza ufanisi kazini.

"Ninapenda kuchukua wasaa huu kuwatakia kheri ya sikukuu ya kuzaliwa kwa Yesu Kristo (Christmas) ndugu zangu wakristo wote na watanzania kwa ujumla, na katika kusherehekea hilo, ninapenda kuutangazia umma wa watanzania ya kuwa siku ya Ijumaa ya December 27, 2024, itakuwa pia ni siku ya mapumziko na kazi zitaanza rasmi siku ya Jumatatu, December 30, 2024"

ANGALIZO: Ninakaribisha Ukosoaji wenye tija (Constructive Criticism)
Akili huna nchi masikini badala ya kuipigania ufanye kazi kwa kizazi kijacho we unawaza kupumzika kwa kazi ipi ulofanya? ukiitwa fisadi utakataa?
 
Back
Top Bottom