Alex Muuza Maembe
JF-Expert Member
- Dec 13, 2024
- 655
- 1,413
- Thread starter
- #101
Yapo mkuu. Sema leo nipo Morogoro..Mkuu Maembe unayo hapo? Nahitaji nipo Kisemvule hapa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yapo mkuu. Sema leo nipo Morogoro..Mkuu Maembe unayo hapo? Nahitaji nipo Kisemvule hapa
Duuh..Natamani hata hiyo Christmas ingefutiliwa mbali.
Kuna taasisi zitaanza bata Ijumaa hii mpaka Jumatatu ya mwisho wa mwakaKwa kuwa Xmas ni Jumatano na Boxing Day ni Alhamisi, Rais Samia anaweza kutumia busara tu ya ukuu wa nchi Kwa kusema tu, Ijumaa watu wapumzike na kazi zianze rasmi Jumatatu ya December 30.
Hata kama sikuu ya Idd mosi ikiangukia Jumatano na Idd Pili Alhamisi, still Ijumaa watu wanaweza kupumzisha akili kisha kazi zikaanza Jumatatu.
NB: Mapumziko ya kutosha, huimarisha afya ya akili na kusaidia kuongeza ufanisi kazini.
"Ninawatakia kheri ya sikukuu ya Christmas ndugu zangu wakristo wote na katika kusherehekea hilo, ninapenda kutangaza ya kuwa siku ya December 27, 2024, itakuwa ni siku ya mapumziko pia"
Ninakaribisha Ukosoaji wenye tija (Constructive Criticism)
Duuh, balaa mkuu..Kuna taasisi zitaanza bata Ijumaa hii mpaka Jumatatu ya mwisho wa mwaka
Aisee, hatari sana mkuu..Mbona huko kwenye ofisi za umma utegaji mwingi tu.
Nenda mahospitalini kero tupu. Nenda ardhi utajuta kumiliki ardhi, nenda kumuona mkurugenzi bora upeleke barua ya posa taka kufanya uhamisho wa mtumishi utafikiri unahama nchi. Hata anayeomba uraia anapewa haraka zaidi kuliko wewe
Kama vipi WAPUMZISHWE TU KUANZIA KRISMAS HADI MWAKA MPYA ILI ISIWE TABU
Poa Mzee baba..Naunga mkono hoja
Najua wewe ni mwajiriwa wa serikali ya CCM, na huko CCM hakuna haja kutumia akili.Kwa kuwa Xmas ni Jumatano na Boxing Day ni Alhamisi, Rais Samia anaweza kutumia busara tu ya ukuu wa nchi Kwa kusema tu, Ijumaa watu wapumzike na kazi zianze rasmi Jumatatu ya December 30.
Hata kama sikuu ya Idd mosi ikiangukia Jumatano na Idd Pili Alhamisi, still Ijumaa watu wanaweza kupumzisha akili kisha kazi zikaanza Jumatatu.
NB: Mapumziko ya kutosha, huimarisha afya ya akili na kusaidia kuongeza ufanisi kazini.
"Ninawatakia kheri ya sikukuu ya Christmas ndugu zangu wakristo wote na katika kusherehekea hilo, ninapenda kutangaza ya kuwa siku ya December 27, 2024, itakuwa ni siku ya mapumziko pia"
Ninakaribisha Ukosoaji wenye tija (Constructive Criticism)
Mkuu, umekula mchana lakini?? Ninaomba unisamehe sana kwa kukuuliza hivi..Najua wewe ni mwajiriwa wa serikali ya CCM, na huko CCM hakuna haja kutumia akili.
Ebu waambie wafanyabiashara wanàotumia akili walale jtano, alhamis, ijumaa, jmosi, jpili nao waanze kasi dec 30.
Ndo maana mnapenda rushwa na wizi badala ya kupenda kazi.
Kwahiyo ukipumzika Ijumaa moja, wewe unakuwa sio mtu??KAZI NI KIPIMO CHA UTU.
Mtu anakula Xmas Rombo Jumatano na Alhamisi alafu unataka arudi Dar kwa ajili ya siku moja tu?? Wengi hawatakuja hiyo Ijumaa. Trust me.. Ngumu sana kurud ijumaa afu jmos tena hakuna kazi sana sana kwa wale ambao wapo mbali na famila zao miezo na miez kwa ajili ya kazi
Sikukuu zina impact mbaya sana kwa wafanya biashara. Benki zimefungwa, bandari hazitoi mizigo, TRA hawafanyi kazi, duties na storage charges zinaongezeka n.kKwa kuwa Xmas ni Jumatano na Boxing Day ni Alhamisi, Rais Samia anaweza kutumia busara tu ya ukuu wa nchi Kwa kusema tu, Ijumaa watu wapumzike na kazi zianze rasmi Jumatatu ya December 30.
Hata kama sikuu ya Idd mosi ikiangukia Jumatano na Idd Pili Alhamisi, still Ijumaa watu wanaweza kupumzisha akili kisha kazi zikaanza Jumatatu.
NB: Mapumziko ya kutosha, huimarisha afya ya akili na kusaidia kuongeza ufanisi kazini.
"Ninapenda kuchukua wasaa huu kuwatakia kheri ya sikukuu ya kuzaliwa kwa Yesu Kristo (Christmas) ndugu zangu wakristo wote na watanzania kwa ujumla, na katika kusherehekea hilo, ninapenda kuutangazia umma wa watanzania ya kuwa siku ya Ijumaa ya December 27, 2024, itakuwa pia ni siku ya mapumziko na kazi zitaanza rasmi siku ya Jumatatu, December 30, 2024"
ANGALIZO: Ninakaribisha Ukosoaji wenye tija (Constructive Criticism)
Nchi gani hiyo mkuu??Kwa nchi zilizokuwa serious sikukuu zikitokea katikati ya wiki basi siku moja ya weekend inakuwa siku ya kazi
Kwa hiyo watu wasipopumzika hiyo December 27, ndio Tanzania italingana uchumi wake na Canada?? Kwa hiyo Dar Es Salaam itakuwa kama Riyadh??Sikukuu zina impact mbaya sana kwa wafanya biashara. Benki zimefungwa, bandari hazitoi mizigo, TRA hawafanyi kazi, duties na storage charges zinaongezeka n.k
Mkuu Fanya kazi utapumzika sana uzeeni...unanikumbusha zamani kipindi cha Mzee ruksa public holiday ikiangukia jumamosi au jumapili basi itafidiwa jumatatu ya wiki inayofuata nadhani mkapa ndiyo alikuja kufuta huo upuuziKwa kuwa Xmas ni Jumatano na Boxing Day ni Alhamisi, Rais Samia anaweza kutumia busara tu ya ukuu wa nchi Kwa kusema tu, Ijumaa watu wapumzike na kazi zianze rasmi Jumatatu ya December 30.
Hata kama sikuu ya Idd mosi ikiangukia Jumatano na Idd Pili Alhamisi, still Ijumaa watu wanaweza kupumzisha akili kisha kazi zikaanza Jumatatu.
NB: Mapumziko ya kutosha, huimarisha afya ya akili na kusaidia kuongeza ufanisi kazini.
"Ninapenda kuchukua wasaa huu kuwatakia kheri ya sikukuu ya kuzaliwa kwa Yesu Kristo (Christmas) ndugu zangu wakristo wote na watanzania kwa ujumla, na katika kusherehekea hilo, ninapenda kuutangazia umma wa watanzania ya kuwa siku ya Ijumaa ya December 27, 2024, itakuwa pia ni siku ya mapumziko na kazi zitaanza rasmi siku ya Jumatatu, December 30, 2024"
ANGALIZO: Ninakaribisha Ukosoaji wenye tija (Constructive Criticism)
Hiyo Ijumaa turn up itakuwa ndogo sana huko ofisi za umma, trust me mkuu..Mkuu Fanya kazi utapumzika sana uzeeni...unanikumbusha zamani kipindi cha Mzee ruksa public holiday ikiangukia jumamosi au jumapili basi itafidiwa jumatatu ya wiki inayofuata nadhani mkapa ndiyo alikuja kufuta huo upuuzi
Afya njema ya akili huletwa kwa njia ya mapumziko..Mkuu Fanya kazi utapumzika sana uzeeni
Usisahau tu wavivu hata kwenye kusoma.Waafrika mnapenda mapumziko, uvivu umewajaa ndio maana umaskini hautaisha
Hahahaaa nimecheka sana mkuu..Usisahau tu wavivu hata kwenye kusoma.
Je wewe umesoma mpaka mwisho (au ndio unarudia tena kusoma?)
ANGALIZO: Ninakaribisha Ukosoaji wenye tija (Constructive Criticism)
Akili huna nchi masikini badala ya kuipigania ufanye kazi kwa kizazi kijacho we unawaza kupumzika kwa kazi ipi ulofanya? ukiitwa fisadi utakataa?Kwa kuwa Xmas ni Jumatano na Boxing Day ni Alhamisi, Rais Samia anaweza kutumia busara tu ya ukuu wa nchi Kwa kusema tu, Ijumaa watu wapumzike na kazi zianze rasmi Jumatatu ya December 30.
Hata kama sikuu ya Idd mosi ikiangukia Jumatano na Idd Pili Alhamisi, still Ijumaa watu wanaweza kupumzisha akili kisha kazi zikaanza Jumatatu.
NB: Mapumziko ya kutosha, huimarisha afya ya akili na kusaidia kuongeza ufanisi kazini.
"Ninapenda kuchukua wasaa huu kuwatakia kheri ya sikukuu ya kuzaliwa kwa Yesu Kristo (Christmas) ndugu zangu wakristo wote na watanzania kwa ujumla, na katika kusherehekea hilo, ninapenda kuutangazia umma wa watanzania ya kuwa siku ya Ijumaa ya December 27, 2024, itakuwa pia ni siku ya mapumziko na kazi zitaanza rasmi siku ya Jumatatu, December 30, 2024"
ANGALIZO: Ninakaribisha Ukosoaji wenye tija (Constructive Criticism)