PUBLIC RELATIONS: Rais Samia anaweza kutumia busara tu. Ijumaa (December 27, 2024) iwe siku ya mapumziko.

PUBLIC RELATIONS: Rais Samia anaweza kutumia busara tu. Ijumaa (December 27, 2024) iwe siku ya mapumziko.

Time is a factor of production.
Je unajua watu wasipoenda kazini siku Moja ni kiasi gani cha fedha hupotea?
Je unafahamu kwa hiyo siku iliyopotea serikali inapoteza kiasi gani cha Kodi?
Hizo ni nadharia tu za kwenye makaratasi mkuu. Mbona marudio ya uchaguzi mnapoteza pesa nyingi badala ya kuchagua mbunge mwingine kutokea chama kile kile cha mbunge wa zamani??..
 
Kwa kuwa Xmas ni Jumatano na Boxing Day ni Alhamisi, Rais Samia anaweza kutumia busara tu ya ukuu wa nchi Kwa kusema tu, Ijumaa watu wapumzike na kazi zianze rasmi Jumatatu ya December 30.

Hata kama sikuu ya Idd mosi ikiangukia Jumatano na Idd Pili Alhamisi, still Ijumaa watu wanaweza kupumzisha akili kisha kazi zikaanza Jumatatu.

NB: Mapumziko ya kutosha, huimarisha afya ya akili na kusaidia kuongeza ufanisi kazini.

Ninakaribisha Ukosoaji wenye tija (Constructive Criticism)
Linaweza kuwa wazo jema.
Sisi tunaohitaji huduma tutahudumiwa na nani?
Yaani siku ya mwisho ya huduma iwe Jumanne hadi Jumatatu inayofuata.
Hili ni juma zima. Yaani siku 7 tumo kwenye sherehe.
Hii ni zaidi hata ya Israel ambako dini ilianzia.
 
watanzania tunapenda mapumziko mno kuliko kazi, masaa nane tu ya kufanya kazi hatufanyi kwa bidii na ufanisi
 
Linaweza kuwa wazo jema.
Sisi tunaohitaji huduma tutahudumiwa na nani?
Yaani siku ya mwisho ya huduma iwe Jumanne hadi Jumatatu inayofuata.
Hili ni juma zima. Yaani siku 7 tumo kwenye sherehe.
Hii ni zaidi hata ya Israel ambako dini ilianzia.
Mtu anakula Xmas Rombo Jumatano na Alhamisi alafu unataka arudi Dar kwa ajili ya siku moja tu?? Wengi hawatakuja hiyo Ijumaa. Trust me..
 
Mnaolipwa mwisho wa mwezi mna tabu sana.
sisi wenzio tunavyoingia ndivyo tunavyolipwa..
nikilala siku moja ya wiki.nimekosa 16,700.nimekosa nssf nimekosa chakula Cha mchana Bure.sipendi sikukuu hizi ila tu Sina namna
Mbona Police na Nurse hawapumziki?? Hata wewe haujalazimishwa mkuu??..
 
kuna shida kubwa kwenye utendaji kuanzia taasisi za juu na kwenye office nyingi
 
Back
Top Bottom