PUBLIC RELATIONS: Rais Samia anaweza kutumia busara tu. Ijumaa (December 27, 2024) iwe siku ya mapumziko.

Nchi bado inategemea misaada wanaokupa misaada hawana muda wa kuchezea kama unavowaza wewe hapo! unataka ulale huku akili yote ikiwaza ngono tu na unasema eti akili ipumzike kwa ubize gani mbungo wewe ulokufanya uchoke akili usituongipee
 
We muuza maembe pumzika tu km hayo maembe hayajaoza.
Wengine ndo kwanza tunapasha msuli hapa wa kupiga hela.
We kaa ukune mbupu.
 
Nchi bado inategemea misaada wanaokupa misaada hawana muda wa kuchezea kama unavowaza wewe hapo! unataka ulale huku akili yote ikiwaza ngono tu na unasema eti akili ipumzike kwa ubize gani mbungo wewe ulokufanya uchoke akili usituongipee
Sio lazima mawazo yangu na yako yanafanane.
 
Nchi bado inategemea misaada wanaokupa misaada hawana muda wa kuchezea kama unavowaza wewe hapo! unataka ulale huku akili yote ikiwaza ngono tu na unasema eti akili ipumzike kwa ubize gani mbungo wewe ulokufanya uchoke akili usituongipee
Welcome to my ignore list..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…