Mkaldayo acha tu huku mbwa ni mwanafamilia. Mbwa anathamani kuliko mwafrika. Mbwa analala ndani. Mbwa ana passport. Mbwa ana fungu lake kabisa kwenye bajet.Mgalatia vipi huko mambele je hali ni kama hii?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkaldayo acha tu huku mbwa ni mwanafamilia. Mbwa anathamani kuliko mwafrika. Mbwa analala ndani. Mbwa ana passport. Mbwa ana fungu lake kabisa kwenye bajet.Mgalatia vipi huko mambele je hali ni kama hii?
Hapana mkuu. Mimi siyo punda.Wewe mwenyewe ni punda
Mkuu, mpaka mbwa ana passport? Wazungu nao Sasa wamezidi.Mkaldayo acha tu huku mbwa ni mwanafamilia. Mbwa anathamani kuliko mwafrika. Mbwa analala ndani. Mbwa ana passport. Mbwa ana fungu lake kabisa kwenye bajet.
Mimi nilishawahi kuwa mchunga ng'ombe wa nyumbani nikiwa mdogo.Mkuu, ulishawahi kusimamia uchungaji wa ng'ombe pamoja na mifugo mingine?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mbwa akipita tu utaskia
"Nipe jiwe, nipe jiwe"
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hii mijibwa yetu inaishi kwa hofu kwasababu ya mitanzania ina roho mbaya. Kuna mmoja tulikutana naye nikainama kufunga kamba za viatu alitimua mbio balaa alidhani naokota jiwe kumpiga.
Khaaaaaah!!Mkaldayo acha tu huku mbwa ni mwanafamilia. Mbwa anathamani kuliko mwafrika. Mbwa analala ndani. Mbwa ana passport. Mbwa ana fungu lake kabisa kwenye bajet.
Majuzi hapo nilipokuwa Unguja nimeona punda akivuta mkokoteni ukiwa na matofari plus jamaa wawili wapo juu ya zile tofari. (Nilichelewa kupiga picha)Sijafika huko mkuu. Hata niliowaona Kanda ya Ziwa, ni kwa bahati tu. Pengine, kuna maeneo mengine Tanzania ambako ama wanawajali sana punda au wanawatesa zaidi ya nilivyoona kanda ya Ziwa.
Ogopa mnyama ambaye hakuna wa kumuiba mnadani. Ingependeza watu wanaoomba kazi ya marketing & sales wakabidhiwe punda mmoja mmoja na kwenda kuwauza mnadani. Ni mojawapo ya biashara ngumu sana chini ya jua.Maskini punda wa Afghanistan!!!!
kuna mashabiki wa timu fulani timu yao ikishinda huwa wanakata matawi ya miti huku wakishangilia nayo...Siyo wanyama tu, hata mimea pia. Kuna watu wakihamia eneo lenye miti, wasipodhibitiwa, mbona miti itapata tabu? Kwa muda mfupi tu, msitu hutoweshwa wala hutadhani kulikuwepo na miti hapo.
😅😅😅😅😅..........nimeishia kucheka tu!!!!Usicheze na wasukuma wewe.
Huwa naona kwenye TV, mbwa na wanyama wengine wana hospitali nzuri kuzidi baadhi ya hospitali za binadamu wa nchi maskini.Mgalatia vipi huko mambele je hali ni kama hii?
Asante mkuu. Umenipa wazo zuri. Kwa muda ambao bado nipo ukanda huu "uliobarikiwa" utajiri mwingi, mpaka wa punda, nitakuwa nikichukua picha kila nipatapo fursa, halafu nije kuzirusha humu muone jinsi baadhi ya wenzetu wanavyowakatili viumbe vinavyowanufaisha.Majuzi hapo nilipokuwa Unguja nimeona punda akivuta mkokoteni ukiwa na matofari plus jamaa wawili wapo juu ya zile tofari. (Nilichelewa kupiga picha)
Kitu ambacho kilitaka kunibadilisha haraka nijiunge na watetezi wa wanyama ni jinsi jamaa aliyekuwa anamuongoza alivyokuwa anambamiza na gongo 😢 not fimbo gongo, nilipata simanzi 😞 sana.
Kiufupi waafrika pamoja na kuwa tunaiga uzungu au uarabu lakini bado tupo stone age, wakati hao tunaowaiga wanamfanya mnyama atumie sisi ndiyo tunatumika na wanyama.