Punda wa Tanzania hawana mtetezi?

Punda wa Tanzania hawana mtetezi?

Ndio ni kweli kabisa
Kwanza akiona unamfanyia jambo mtoto wake anakuja mwenyewe uone sasa.
Kuna punda wengine akili zao nusu ukimkoroga mbona utaeleza achilia mbali kumbebesha mtoto wake mzigo.
Kuna jamaa alitandikwa teke la kwenye goti mpaka Leo anachechemea mzee
Sifurahii alichofanyiwa huyo mtu, lakini nafikiri alijifunza somo.
 
Nimeona clip moja jamaa kampiga punda mateke na makofi, bana wee si kakosea mguu ukaingia mdomoni mwa punda, punda kaanza kimbia, jamaa analia vilio vyote punda hajali
Punda aliamua! Kama alipona, sidhani kama atakaa arudie.
 
Kama raraa reree ni Mwalimu, basi wanafunzi wake "wanafaidi" sana tiki zake! Si mchoyo wa kutoa tiki!
 
Back
Top Bottom