GoldDhahabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2023
- 7,189
- 10,375
- Thread starter
- #81
Mkuu, punda wanaomilikiwa na watu wanaowalewa hawayajui hayo mateso.Hujui kuwa punda hasongi bila mijeledi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu, punda wanaomilikiwa na watu wanaowalewa hawayajui hayo mateso.Hujui kuwa punda hasongi bila mijeledi?
Sifurahii alichofanyiwa huyo mtu, lakini nafikiri alijifunza somo.Ndio ni kweli kabisa
Kwanza akiona unamfanyia jambo mtoto wake anakuja mwenyewe uone sasa.
Kuna punda wengine akili zao nusu ukimkoroga mbona utaeleza achilia mbali kumbebesha mtoto wake mzigo.
Kuna jamaa alitandikwa teke la kwenye goti mpaka Leo anachechemea mzee
Ni wapi huko mkuu? Kama ni karibu na niliko kwa sasa ninaweza nikaja. Huenda nikajifunza jambo jipya.Njoo kwetu punda anapigwa ukumuona hutakula nyama maishani mwako
Nipo wilaya mbili tofauti ila jina linakupa uhalisia wapi nipotokaNi wapi huko mkuu? Kama ni karibu na niliko kwa sasa ninaweza nikaja. Huenda nikajifunza jambo jipya.
Kuna mahali niliwahi kuwaona wakikokota jembe la kulimia, sijui linaitwa plau au pilau?Punda huwa hawatumiwi kulima ndugu.
Punda aliamua! Kama alipona, sidhani kama atakaa arudie.Nimeona clip moja jamaa kampiga punda mateke na makofi, bana wee si kakosea mguu ukaingia mdomoni mwa punda, punda kaanza kimbia, jamaa analia vilio vyote punda hajali
Alimpiga mno ila ule mguu sidhani kama atatembea tenaPunda aliamua! Kama alipona, sidhani kama atakaa arudie.
Ni kweli kabisa mkuu. Wanyama ni viumbe rafiki sana kwa watu wanaoonesha kuwajali.Wanyama ni viumbe wenye hisia sana ila sisi tunachukulia poa. Mnyama ukimtreat poa atakuwa rafiki yako sana
Hivi mbwa Koko ni mbwa gani? Wale wanaodhuruta mitaai?Ila mi Mbwa Koko lazima niwape kibano
Ndio hao hao, wengine unakuta wamejaa vidonda mwili mzimaHivi mbwa Koko ni mbwa gani? Wale wanaodhuruta mitaai?
Aisee!Ndio hao hao, wengine unakuta wamejaa vidonda mwili mzima
Hawapaswi kuwa mtaani maana wana vichaaAisee!
Basi mkuu usiwaongezee tena majeraha! Hawakujitakia hayo. Ni ukatili tu wa mwanadamu.
Kwa hilo, sina la kukuambia. Ni la kwako wewe na "Serikali" ya kichwa chako hasa ikizingatiwa wewe ndiye "Rais" wake.Hawapaswi kuwa mtaani maana wana vichaa
Nahisi ingawa sina uhakika na hisia zangu.Nipo wilaya mbili tofauti ila jina linakupa uhalisia wapi nipotoka