Punda wa Tanzania hawana mtetezi?

Punda wa Tanzania hawana mtetezi?

Juzi niliona trela limebeba matofali na punda wanavuta, wakafika kwenye kilima, punda wakawa wamezidiwa wanahangaika nalo

Yule jamaa na mwenzake hawakushuka ndani ya trela ili wawasaidie kusukuma badala yake wakawazidishia mijeledi mizito mpka nikaona huruma nusura chozi linitoke.

Kiukweli nilisimama kama dakika 2 naangalia unyama ule,


WASUKUMA NI KABILA LA HOVYOOO SANAA
Baiskeli zinajaliwa kuliko punda. Baiskeli ikishindwa kupanda mlima, mwendeshaji anashuka na kuangalia sababu. Lakini punda akionekana kupunguza Kasi ya kupanda mlima, huzawadiwa "mijeledi".

Hawajui kuwa hata punda nao nguvu zao zina ukomo?
 
Kuna watu ni washenzi balaa, wanapiga fimbo nyingi punda huku amebeba mizigo mizito. Mbaya zaidi punda anapigwa mpaka anachanika ngozi. Punda anachibuliwa ngozi yake na mizigo hawekewi kitu kinachozuia msuguano kama wanavyowekewa ngamia na farasi huko ng'ambo. Punda wetu hawajaliwi japo wanabebeshwa mizigo mizito
 
Nimeona Misungwi mkoani Mwanza na Geita Vijijini mkoani Geita!

Akiwa amebeba mizigo, anapigwa!

Akiwa analimishwa, anapigwa!

Akiwa anakokota mkokoteni, bado anapigwa!

Ni kama vile "lugha" pekee wanayoijua ni kipigo!

Utakuta wengine migongoni mwao kuna michubuko iliyotokana na ama kubebeshwa mizigo mizito au vipigo vya binadamu "wajinga"

Kwani haiwezekani kutumia njia nyingine kumfanya afanye kazi bila kujeruhiwa?

Kwani kipigo ndiyo njia pekee ya kumfanya punda kutimiza matakwa ya mmiliki wake?

Mbona kwa nchi zingine, hata tembo wanatumiwa kwa shughuli za kibinadamu katika mazingira rafiki tofauti na inavyotendeka kwa punda wa Tanzania?

Je! Punda amemkosa mtetezi? Simba, tembo, chui, fisi, mpaka na nyoka, wote hao wanalindwa na Serikali. Punda hana maslahi kwa Serikali?

Tanzania haina watetezi wa wanyama, au utetezi wao unaishia kwa nyangumi?

Kwa nini isijitokeze taasisi itakayotoa Elimu kwa wamiliki wa punda ili wajue jinsi ya kuwatumia kwa manufaa bila kuwasababishia mateso?
Unashangaa kupigwa. Kuna wengine wanaingiliwa kimwili,
 
Usicheze na wasukuma wewe.
Hivi punde nimepewa na mwenyeji wangu taarifa inayotia moyo kidogo.

Inasemekana, Serikali ya kijiji huku niliko muda huu imepiga marufuku punda kufanyishwa kazi siku nzima bila kupumzishwa. Kwa Asubuhi, mwisho wa kufanya kazi ni saa tano Asubuhi. Awamu ya pili ya kazi ni kuanzia sasa kumi Jioni. Mtu akionekana akimtumikisha punda nje ya huo muda hukamatwa.

Kwenye eneo la kufanyishwa kazi muda mrefu, punda wa huku wamepata utetezi, lakini kipigo kipo pale pale.
 
Nime
Hivi punde nimepewa na mwenyeji wangu taarifa inayotia moyo kidogo.

Inasemekana, Serikali ya kijiji huku niliko muda huu imepiga marufuku punda kufanyishwa kazi siku nzima bila kupumzishwa. Kwa Asubuhi, mwisho wa kufanya kazi ni saa tano Asubuhi. Awamu ya pili ya kazi ni kuanzia sasa kumi Jioni. Mtu akionekana akimtumikisha punda nje ya huo muda hukamatwa.

Kwenye eneo la kufanyishwa kazi muda mrefu, punda wa huku wamepata utetezi, lakini kipigo kipo pale pale.
Niliona jinsi wanavyobeba mawe plus mikwaju.
Duuuhh Shinyanga noma
 
Niliona jinsi wanavyobeba mawe plus mikwaju.
Duuuhh Shinyanga noma
Sijui kama wa Shinyanga wanateseka kama wa Geita Vijijini.

Wanabebeshwa mizigo mno, na mapigo juu.

Mawe, matimba (magogo ya kujengea mashimo ya migodi ya dhahabu) n.k. na vipigo visivyo na vipimo.
 
Asante mkuu. Umenipa wazo zuri. Kwa muda ambao bado nipo ukanda huu "uliobarikiwa" utajiri mwingi, mpaka wa punda, nitakuwa nikichukua picha kila nipatapo fursa, halafu nije kuzirusha humu muone jinsi baadhi ya wenzetu wanavyowakatili viumbe vinavyowanufaisha.
Piga picha za kutosha zitunze kwa ajili ya baadaye, zitaleta mrejesho.
 
Nimeona Misungwi mkoani Mwanza na Geita Vijijini mkoani Geita!

Akiwa amebeba mizigo, anapigwa!

Akiwa analimishwa, anapigwa!

Akiwa anakokota mkokoteni, bado anapigwa!

Ni kama vile "lugha" pekee wanayoijua ni kipigo!

Utakuta wengine migongoni mwao kuna michubuko iliyotokana na ama kubebeshwa mizigo mizito au vipigo vya binadamu "wajinga"

Kwani haiwezekani kutumia njia nyingine kumfanya afanye kazi bila kujeruhiwa?

Kwani kipigo ndiyo njia pekee ya kumfanya punda kutimiza matakwa ya mmiliki wake?

Mbona kwa nchi zingine, hata tembo wanatumiwa kwa shughuli za kibinadamu katika mazingira rafiki tofauti na inavyotendeka kwa punda wa Tanzania?

Je! Punda amemkosa mtetezi? Simba, tembo, chui, fisi, mpaka na nyoka, wote hao wanalindwa na Serikali. Punda hana maslahi kwa Serikali?

Tanzania haina watetezi wa wanyama, au utetezi wao unaishia kwa nyangumi?

Kwa nini isijitokeze taasisi itakayotoa Elimu kwa wamiliki wa punda ili wajue jinsi ya kuwatumia kwa manufaa bila kuwasababishia mateso?
Kwa nini siyo ng'ombe au mbuzi?
 
Back
Top Bottom