Ni wanawake au wanaume??Linapofika swala la Asubuhi kwenda kwenye Chai, Ofisi nyingi huwa Zina Staff Tea, Sasa Kuna wale ambao wanaenda Canteen kununua chai.
Mshahara tunalipwa wote kiwango sawa au Hata wewe umenizidi mshahara, Punguzeni kuomba nunuliwe Breakfast,
Na ukifika Mchana pia kama Kawa mda wa luch mnajifanya kutua huruma Ili tu mnunuliwe msosi.
Kuna mwenzenu kashaniita bairi kisa tu nimekataa kumnunulia chai.
Nimemchana, acheni Ujinga mnatunza pesa zako chai utumie pesa za wenzio... Hii Tabia ni ya kishenzi....Kama hauna hela mueleze.Kama hautaki tu mueleze kwa sababu haya malalamiko yako hayatamfikia mlengwa
Ukiandika "acheni" unamaanisha tulikuwepo na sisi wote?Na hilo neno "bairi" unamaanisha nini wewe ajira mpya?Nimemchana, acheni Ujinga mnatunza pesa zako chai utumie pesa za wenzio... Hii Tabia ni ya kishenzi....
Mpaka ananiita Bairi, okey Mimi bairi wee ambae sio bairi umenunua Nini.
Akiomba wee nae muombe tumbua lakeNimemchana, acheni Ujinga mnatunza pesa zako chai utumie pesa za wenzio... Hii Tabia ni ya kishenzi....
Mpaka ananiita Bairi, okey Mimi bairi wee ambae sio bairi umenunua Nini.
Wapi huko?Hata kwenye mkutano wa Beijing hawakusema hilo.Sikuizi hadi miwanaume inaomba ilipiwe lunch na yenyewe,. Hovyo kabisa🚮
Hata mwanamke pia hapaswi kuomba kulipiwa lunch. Kwanini asijilipie ilhali mshahara analipwa??Sikuizi hadi miwanaume inaomba ilipiwe lunch na yenyewe,. Hovyo kabisa🚮
Hajui hata mbinu huyo.Akiomba wee nae muombe tumbua lake
Huwa wanasema wao wana mambo/matumizi mengi na hela zao.Hata mwanamke pia hapaswi kuomba kulipiwa lunch. Kwanini asijilipie ilhali mshahara analipwa??
Wala mi Niko ktk kazi mda ila hii Tabia naijua watu wanapenda Ganda la ndizi, unauita mtu Bahiri kisa tu ajaingia ktk mfumo wako.Ukiandika "acheni" unamaanisha tulikuwepo na sisi wote?Na hilo neno "bairi" unamaanisha nini wewe ajira mpya?
Ktk=katika,Wala mi Niko ktk kazi mda ila hii Tabia naijua watu wanapenda Ganda la ndizi, unauita mtu Bahiri kisa tu ajaingia ktk mfumo wako.
Ukiona mtu anakuita Bahiri Jua ujajaa ktk mfumo.
Wapuuzi sana hao. Mishahara yao unakuta wanajengea nyumba huko kwako na kusomesha wadogo zao ila mshahara wako ndio wanataka mtumie wote mpaka uishe.Huwa wanasema wao wana mambo/matumizi mengi na hela zao.
Wewe wakikuzonga huwa unafanyaje?Wapuuzi sana hao. Mishahara yao unakuta wanajengea nyumba huko kwako na kusomesha wadogo zao ila mshahara wako ndio wanataka mtumie wote mpaka uishe.
Bloodf$$&+*---$ zao.
Ukiwachekea hao nyau watakupusua pesa zote ziishe alafu haooooo wanakukimbia.Nimemchana, acheni Ujinga mnatunza pesa zako chai utumie pesa za wenzio... Hii Tabia ni ya kishenzi....
Mpaka ananiita Bairi, okey Mimi bairi wee ambae sio bairi umenunua Nini.
Mkuu naona umejitolea kuwa mwalimu wa lughaUkiandika "acheni" unamaanisha tulikuwepo na sisi wote?Na hilo neno "bairi" unamaanisha nini wewe ajira mpya?
Yeye kaja kuwashtaki JF.Ukiwachekea hao nyau watakupusua pesa zote ziishe alafu haooooo wanakukimbia.